Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MleKama mwanamke ni mwelewa basi atamheshimu Insider maisha yake yote.
Binafsi imewahi kunitokea same scenario na Binti Classmate na Best yangu sana tukiwa chuo. Mzuri balaa. Ila nilivyojipima nikaona kabisa siyo level yangu nika keep ushkaji.
Tumemaliza chuo tumerejea makwetu mpaka leo ni zaidi ya miaka Kumi nina familia yangu ila Binti ananikubali kinoma, ananiambia hajawahi kutana na mwanaume wa aina yangu. Mpaka ananiulizaga ana kasoro gani, mbona sijawahi kumwonesha kutaka kumla, wakati madume yote yalikuwa yanamyongoza.
Na alikuwa akipata mpenzi mpya sina noma, ila yeye haishi kuwaponda wapenzi wangu niliokuwa namu introduce.
Mpaka leo ni zaidi ya miaka 10, Binti ananiheshimu kama Kaka, na Mumewe ananiheshimu maana amekiri wakizinguana ni mimi pekee huweza kumtuliza Binti.. Na mpaka leo Binti anatamani nimle, ila nimekaza tu ili kuweka heshima.
Ninaamini kama una maslahi mengine na Binti, usiingize mambo ya mapenzi. Utaharibu!
Naunga mkono hoja
Nilivaa viatu vya Irene nimegundua amekasirika alionesha smiling face kibinadamYaani Iryn kaamua kwa busara kiasi. Maana ningekuwa mimi ningevunja mkataba hapo hapo maana unaonekana mi mtu dangerous.
Imagine unapewa siri nzito, na pesa juu na ukaombwa akufahamu ati unamunyesha dada yako ila familia yako hapana... kwanini unaficha nini?
Nakudelete mara moja. ... kama outing muajemi yupo
Wakuu naomba mnionyeshe Episode ya 18,19 ipo no ngapi ?
Nimeikuta ya 20 ipo 2379/
Hizi mbili nimezisaka bila mafanikio.
Asanteni
Asante santa mkuu1740 & 1791
mapenzi na kazi haviendani ni bora alivyofanya huko mbele angekujatengeneza bomu la nyukliaInsider alizembea sana kula mbususu ilitakiwa siku alipomuita chumbani amalize shughuli lakini jamaa akakusha maana Lryn alimpenda sana.Shida nyingine ni pale mtoto alipogundua jamaa ameoa na ana mtoto hapo ndiyo Lryn alipokauka kabisa.Pole yako mkuu sasa lalia kwenye deal ya Msomali ingawa ni dangerouse deal.
Akili za kibongo hiz.Insider alizembea sana kula mbususu ilitakiwa siku alipomuita chumbani amalize shughuli lakini jamaa akakusha maana Lryn alimpenda sana.Shida nyingine ni pale mtoto alipogundua jamaa ameoa na ana mtoto hapo ndiyo Lryn alipokauka kabisa.Pole yako mkuu sasa lalia kwenye deal ya Msomali ingawa ni dangerouse deal.
Yes trueMkuu INSIDER MAN kama ikikupendeza siku za mapumziko kama hizi uwe unazichukulia kama wikends fulani unatupia walau ka episode kamoja karefu ili tusindikize sikukuu ya wakulima maana baada ya Jf hatuna sehemu nyingine ya kwenda wala shughuli za kufanya. Ukiwa na muda wa ziada kwenye ratiba zako tuangalie na sie huku.
Au wadau wenzangu mnasemaje kuhusu holidays zitambuliwe kama wikends kwenye huu uzi?
Nawaza pia huenda Irene alimkuta Mama J na ile simu aliyompa Insider. Unajisikiaje kumpa mtu zawadi then ukute kapewa mwingine?Iryn kilichomuudhi
1. Insider msiri sana, yaani si muwazi.
Hata mimi sipendi kuwa na rafiki msiri msiri wakati mimi namweleza mambo yangu. Nahisi kama ananichora
2. Muongo.
3. Insider anapenda sana pesa, kiasi cha kuanza kumuuza kwa mwajemi kwa tamaa ya pesa.
La Muajemi hata Mimi sijalipenda , INSIDER MAN umemkutanisha Irine na Muajemi kisa umeahidiwa pesa ,, hujajali Kama Irn atadhurika au la muhim kwako pesaIryn kilichomuudhi
1. Insider msiri sana, yaani si muwazi.
Hata mimi sipendi kuwa na rafiki msiri msiri wakati mimi namweleza mambo yangu. Nahisi kama ananichora
2. Muongo.
3. Insider anapenda sana pesa, kiasi cha kuanza kumuuza kwa mwajemi kwa tamaa ya pesa.