Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Afu huyu INSIDER mwanzoni alikuwa anasema Iryn alikuwa anamuita gentleman,,,,ila huo u gentle hatuoni hapa mana aliahidi mwenyewe atakuwa anatoa episodes ijumaa,jmos na jumapili ila jmos hakuna kitu na jpil pia,,,huo ndo u gentle gani sasa akati you can't keep your promises
 
Nimesoma hii story na bado naendelea nayo. Asante sana mkuu INSIDER MAN kwa kushare basi na kuchukua muda wako. Hakika kitu kimeshiba unastahiri tuzo mkuu.

Kweli JF ni mchanganyiko wa mitu mingi,kila mtu na zake. Cha kushangaza mtu anai-dis story mara ya kutunga mara vile. Pamoja na hayo mwamba hakuchoka kuchukua muda wake kuendelea kuwaelimisha.

Ajabu jitu linaponda linaponda halafu bado nalo lipo ubaoni linaendelea kusoma kimya kimya. Mitu kadri muda unavyoendelea mbele kuweni wastaarabu. Kama kitu umekiona hakifai kwako jikate kimya kimya sio mpaka uonyesha upumbavu wako wa kuponda ili uonekane mjanja. Hata kama umezoea kutukanwa tukanwa,badirika nenda na wakati. Hukipendi kitu fulani jikate kimya kimya kama ulivyokuja. Ifanye dunia mahala Salama pa kuishi,sio pa chuki chuki zisizo na maana.
Una nyege mshindo hii mada.iliisha muda mbona
 
Kwanza binafsi nikupongeze kwa moyo mkunjufu kabisa, pamoja na hayo umejitahidi sana hata kufikia hapa ulipo amua kuishia (niliona hili mapema sana na nikaanza kuhisi kama hii simulizi haitokua na mwisho mzuri kutokana na ujuaji wa wengi hapa jf).
Nakupongeza sana na ingekua mimi ndio wewe kwa maneno ya wapuuzi humu ningesha acha kuandika muda mrefu sana.
Lakini pamoja na kuburudika, nimejifunza mambo mengi kupitia simulizi hii ingawa nilitamani iendelee but sina namna nyingine ya kubadilisha maamuzi yako.
Jf ilikua nzuri sana miaka ya nyuma kidogo kabla vijana wengi maJobless hawajaanza kumiliki simu, ambazo wamekua wakizitumia vibaya kutokana na stress za ukosefu wa ajira, basi wanahamishia makasiriko na chuki zao kwa watu wengine ambao wamefanikiwa.
Vijana wa skuizi wamekua na maneno mengi, uvumilivu hawana na ujuaji mwingi usio maana ambao hupelekea makasiriko na wivu wa kijinga kwa watu wengine.
Ukitaka kujua jf imebadilika, chunguza utakuja kugundua memba wengi wameacha kuandika nyuzi na hakuna tena nondo za maana kama zamani wakati watu waliheshimiana sana hapa ndani.
Wengi tumebakia kua wasomaji tu, tumeacha tena kuweka mawazo ya maana na fikra pevu zaidi ya kua wasomaji na wachangiaji tu.
Nakuona kabisa moyo wako ulivyo vunjika, na kutokana na maneno ya wengi mabaya na matusi juu yako bila kusita naamini unaenda kutoweka ama kubadili ID ama kuanzisha ID nyingine, then unabadilika na kua mpenzi mtazamaji hapa jf.
Umeongea ukweli wote mkuu. Serious ndio mambo yako hivyo kwa sasa JF
 
Mkuu INSIDER MAN wiki iliyoisha umeenda kinyume na utaratibu/mkataba wetu maana haukufikisha episode 3 kama tulivyoahidiana kabla. Basi naomba utulipe fidia ya episode yetu ya wiki iliyopita pindi ukiwa na muda au wikend hii kwa kuandika episodes 4.
Pia nashauri kutokana na ufinyu wa muda,siku utakayokuwa unapata muda weka zote 3 halafu utuachie alosto ya siku 6 mbeleni au kama itakuwa inakupendeza utakuwa unatupatia na bonus.
Shukrani.
 
Aisee najiuliza hii simulizi sio ya muda mrefu ni mwaka huu tu hawa akina prisca, maggy,maw2 na wengineo hua hawaiingii jf wakashtuka hata kufungua code kujua ni wao jamaa anawasimulia?
 
Back
Top Bottom