Una nyege mshindo hii mada.iliisha muda mbonaNimesoma hii story na bado naendelea nayo. Asante sana mkuu INSIDER MAN kwa kushare basi na kuchukua muda wako. Hakika kitu kimeshiba unastahiri tuzo mkuu.
Kweli JF ni mchanganyiko wa mitu mingi,kila mtu na zake. Cha kushangaza mtu anai-dis story mara ya kutunga mara vile. Pamoja na hayo mwamba hakuchoka kuchukua muda wake kuendelea kuwaelimisha.
Ajabu jitu linaponda linaponda halafu bado nalo lipo ubaoni linaendelea kusoma kimya kimya. Mitu kadri muda unavyoendelea mbele kuweni wastaarabu. Kama kitu umekiona hakifai kwako jikate kimya kimya sio mpaka uonyesha upumbavu wako wa kuponda ili uonekane mjanja. Hata kama umezoea kutukanwa tukanwa,badirika nenda na wakati. Hukipendi kitu fulani jikate kimya kimya kama ulivyokuja. Ifanye dunia mahala Salama pa kuishi,sio pa chuki chuki zisizo na maana.
Umeongea ukweli wote mkuu. Serious ndio mambo yako hivyo kwa sasa JFKwanza binafsi nikupongeze kwa moyo mkunjufu kabisa, pamoja na hayo umejitahidi sana hata kufikia hapa ulipo amua kuishia (niliona hili mapema sana na nikaanza kuhisi kama hii simulizi haitokua na mwisho mzuri kutokana na ujuaji wa wengi hapa jf).
Nakupongeza sana na ingekua mimi ndio wewe kwa maneno ya wapuuzi humu ningesha acha kuandika muda mrefu sana.
Lakini pamoja na kuburudika, nimejifunza mambo mengi kupitia simulizi hii ingawa nilitamani iendelee but sina namna nyingine ya kubadilisha maamuzi yako.
Jf ilikua nzuri sana miaka ya nyuma kidogo kabla vijana wengi maJobless hawajaanza kumiliki simu, ambazo wamekua wakizitumia vibaya kutokana na stress za ukosefu wa ajira, basi wanahamishia makasiriko na chuki zao kwa watu wengine ambao wamefanikiwa.
Vijana wa skuizi wamekua na maneno mengi, uvumilivu hawana na ujuaji mwingi usio maana ambao hupelekea makasiriko na wivu wa kijinga kwa watu wengine.
Ukitaka kujua jf imebadilika, chunguza utakuja kugundua memba wengi wameacha kuandika nyuzi na hakuna tena nondo za maana kama zamani wakati watu waliheshimiana sana hapa ndani.
Wengi tumebakia kua wasomaji tu, tumeacha tena kuweka mawazo ya maana na fikra pevu zaidi ya kua wasomaji na wachangiaji tu.
Nakuona kabisa moyo wako ulivyo vunjika, na kutokana na maneno ya wengi mabaya na matusi juu yako bila kusita naamini unaenda kutoweka ama kubadili ID ama kuanzisha ID nyingine, then unabadilika na kua mpenzi mtazamaji hapa jf.
u unaangalia na alietoa mada, kuna watu wanachomekea story.Mkuu na chai ipo kidogo haiwezekani mlango unaojifunga kwa kad akaweza kufungua akiwa nje bila kufungua wewe ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kila mtu anaijua JamiiForum..Ni wachache mnooo mkuu huwez aminAisee najiuliza hii simulizi sio ya muda mrefu ni mwaka huu tu hawa akina prisca, maggy,maw2 na wengineo hua hawaiingii jf wakashtuka hata kufungua code kujua ni wao jamaa anawasimulia?
NakaziaSio kila mtu anaijua JamiiForum..Ni wachache mnooo mkuu huwez amin
Ni kweli coz sio wote wanapenda kusomaSio kila mtu anaijua JamiiForum..Ni wachache mnooo mkuu huwez amin
Soma hutojutia kaka ata Mimi nlikuwa naupitaga nlisoma ep1 nikaupotezea..ila Kila siku naona unapaa baada ya kuendelea ndio Kama hivii tayari shakuwa addictdah, sijui niisome tu hii story.... naona uzi unatrend balaa[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Insider kafungiwa ndani na ryn kiufupi yupo inside katusahau wadau wake!
WAtu wanapenda kusoma.Sana tu.Ila wanasoma nini hapo ndio tofauti inapoanziaNi kweli coz sio wote wanapenda kusoma
nikipata mda wa kutulia ntaupitia😂Soma hutojutia kaka ata Mimi nlikuwa naupitaga nlisoma ep1 nikaupotezea..ila Kila siku naona unapaa baada ya kuendelea ndio Kama hivii tayari shakuwa addict
Sure mkuuWAtu wanapenda kusoma.Sana tu.Ila wanasoma nini hapo ndio tofauti inapoanzia
HIyo statement ya watu wengi hasa vijana kutoijua JF nilikutana nayo humu humu mtu akisema bas na mimi nikajipa assignment kila napokua katika social groups huwa najitahid sana kuuliza "unaijua jamii forum?" Wengi wanasema hapanaa..Nakazia
Karibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nikipata mda wa kutulia ntaupitia[emoji23]