Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mimi Iryn akipotea kwenye hii story itakuwa ndio mwisho wangu wa kuisoma. Kiufupi bila Iryn haivutii wala nini..Iryn apatikane tu mana asipopatikana na story ndio iishe tu

Ila umeniacha na stress kama nikusindikize police vile... Dah mrembo wetu kimempata nini???

Next episode usiicheleweshe sana bro and thanks a lot for today
 
Leo umeupiga mwingi
 
Iryn unapoteaje kwenye Scenes na hujaliwa?

Naomba urudi popote Ulipo wanazengo tuna jambo letu .!!!
Najaribu kufikiria itakuwaje kama lryn atakiwa ametekwa na kufikwa jambo baya insider man atakuwa kwenye hali gani maana kitumbua kitakuwa kimeota mchanga,atakuwa amekoswa pia kwa muajemi hataree!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…