Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Shida Yako fatema aliwe kimasihara kama riyn, [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Story zinazonishika kwa wakati huu ni hi na ile ya "utajiri wa magofu ya Rapta" ni hatari
Hahahaha......Dudu Au sioKuna wimbi kubwa sana la wanawake wenye fursa za kipesa. Kama wewe ni mtafutaji hakikisha unacheza miguu yote .
Real recognize real ...Lucy alisha kuambia na kuku onya kuwa ukizembea utakosa vyote.
Wewe na Lucy..Lucy ndio alikua wa kwanza kufahamiana na irene hivyo basi Lucy anamjua vyema irene.
Irene anakuvutia upepo tu na anakupenda kweli ....ila ndugu yetu insider ni mbinafsi sana kwa mwamvuli wa utafutaji. Huyu irene alikujali hata nje ya mkataba wa kazi lakini wewe kumpa dudu tu ambayo hupungukiwi kitu uliona kazi.
Kifupi hadi hapa irene akikutafutia mwanaume mwingine ndio awe boss wako ndio akili itakukaa na huyo jamaa awe anakutuma kama mtoto ndio mzani utabalance
Nadhani hii simulizi haihusiani na matukio yaliopo bali yaliopita ... hapa hata tushauri vipi kama INSIDER MAN hakumla mrembo Iryn aandike hivyo hivyo bila kubadili ukweli kwa kuogopa kusemwaKuna wimbi kubwa sana la wanawake wenye fursa za kipesa. Kama wewe ni mtafutaji hakikisha unacheza miguu yote .
Real recognize real ...Lucy alisha kuambia na kuku onya kuwa ukizembea utakosa vyote.
Wewe na Lucy..Lucy ndio alikua wa kwanza kufahamiana na irene hivyo basi Lucy anamjua vyema irene.
Irene anakuvutia upepo tu na anakupenda kweli ....ila ndugu yetu insider ni mbinafsi sana kwa mwamvuli wa utafutaji. Huyu irene alikujali hata nje ya mkataba wa kazi lakini wewe kumpa dudu tu ambayo hupungukiwi kitu uliona kazi.
Kifupi hadi hapa irene akikutafutia mwanaume mwingine ndio awe boss wako ndio akili itakukaa na huyo jamaa awe anakutuma kama mtoto ndio mzani utabalance
doneMwambie na yeye atunge yake
Hv uoni kama iryn kapotea katekwa alfu unahoji hili swali ??? mbona hatuna huruma wanadamu tunawaza mzangamuono tu ndio maana mama wetu kaamua kupiga bandari Bei mijitu inawaza ngono tuKwahiyo insider ukaona bora utudanganye kuwa "KUNA MTU ALISHUGHULIKIWA KISAWA SAWA MLIPOKUA ZANZIZAR" halafu hollah!!!
Nmeona ccy isijekuwa kashatolewa posa na MuajemiLol huko imeendaa enda sana sis mambo yashakua siooo Iryn kapoteaa kusikojulikana!
Muajemi nae anajifanya kumuulizia sis ngoja tusubirie tuone!Nmeona ccy isijekuwa kashatolewa posa na Muajemi
[emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani hii simulizi haihusiani na matukio yaliopo bali yaliopita ... hapa hata tushauri vipi kama INSIDER MAN hakumla mrembo Iryn aandike hivyo hivyo bila kubadili ukweli kwa kuogopa kusemwa