Mimi nahisi Mama Janeth somehow anahusika na kupotea kwa Irene.
Its not a conciendence na yeye amehama pale anapoishi, Ni ghafla sana.
Kumbuka anaejua mali za marehemu mama yake Irene ni Mama Janeth.
Something fishy is going on here.
Mama Janeth hawezi kufanya hivyo sababu hakuwa na tamaa ya mali, alitaka Iryn aweke majina yake kwenye Saloon kama business partner na mmiliki wa nyumba za mama yake.
Pia alikuwa ana simamia urithi wa hela ya Organization X na kumpatia Iryn makaratasi yake.
Hapa naona Organization X imempatia Iryn kazi nae Iryn kaikubali kazi location nje ya Tanzania. Ndio maana Iryn kaona ampatie Insider Man Assistant Manager huyu ndie anae muamini zaidi.
Kumbuka Kijitonyama ni sehemu tulivu kwa Iryn kwanini atake ahame si angekubali kupanga hapohapo tu kwa Mama Janeth.
Siku Insider Man alipokwenda na kumkuta Iryn anapanga nguo ndio alikuwa anamuaga. Soma hii lyrics 👇🏾 utanielewa.
You say it would be better
If we stopped seeing each other
If you had only met me first
When you were free
'Cause now you've got commitment
I should not expect things from you
That you can't give to me
Oh, but baby, can't you see?
I can't say goodbye to you
No matter how I tried, you're such a part of me
Without you, I would die deep in the heart of me
I know that you and I were meant to be forever
I can't tell you goodbye
Neither of us planned
That we would fall in love this way
But since we did, why should we be apart?
Sometimes, something's happen
That can never be explained
Now, it's too late for me
I've already given you my heart
I can't say goodbye to you
No matter how I tried, you're such a part of me
Without you, I would die deep in the heart of me
I know that you and I were meant to be forever
I can't tell you goodbye