Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

INSIDER MAN kwanini unakuwa ni mtu wakupelekeshwa na kupangiwa na watu, mwanzoni ulikuwa unaleta story kadiri ulivyopata muda, lakini baadae wakaja watu wakatibua mambo mwisho wa siku ukasema utakuwa unaleta story ijumaa, jumamosi na jumapili halikuwa na pingamizi hilo lakini kadiri muda ulivyokuwa unasonga ukawa unaleta story kulingana na muda unaopata kufanya hivyo na hatukuwa na shida sasa leo hii anapotokea mtu na kukupangia ulete story weekend na wewe unakubali, je itakuwaje ikifika hiyo weekend alafu ukawa na mwingiliano wa ratiba inamaana hutaweza kuleta story, maana utakuwa na ratiba nyingine,
Ushauri wangu kwako embu jitahidi kufanya vile ambavyo umepanga kufanya toka hapo awali ulipoamua kuanzisha story hii ili jamii ijufunze kupitia wewe na nikuombe usipangiwe na mtu, utakapopata muda hata kana ni jumanne wewe leta story yako na siyo kuwa mtu wa kupangiwa ndg,
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza ndg
 
Zaaa ndaniiiiiii kabisa ni kuwa insider hawezi kuleta stori week hii maana yupo kwenye msiba wa iryne
 
wapi amepangiwa mzee
 
Nakazia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…