Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hii story niliisoma mwanzoni kabisa nikaipotezea maana niliona mambo sijui ya kariakoo kwa wachina sijui vipi nikaitema,, lakini nashangaa uzi unataradadi tu kila ukifungua JF uko juu pale nikasema ngoja niishi nao,, asee nimesoma story nyingi sana nyingi mno ila hii tayari nimeiingiza top 3 ya story zangu of all time,, ni noma....
 
Story zako pendwa nyingine ni zipi hizo mkuu, Nifatilie nisome huenda nkazipenda pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mwenyewe nilisoma kipande cha kwanza nikaachana nayo, ila now naona ipepea tu nashawishika kuisoma.....Ila nimeamua kupitia kwanza comments za mwisho huku nione kama watu wanaisifia ama kuiponda,...kwa comment yako nafikiri niisome sasa.
 
Kuweni wapole
Tukae tukijua Insider nae anafamilia akija online mayb tomorow anajua namna gani ya kutufidia
Natambua story ina ka alost flani hivi, ila isifike mahala tukajikuta tuna haki sana mpaka yakuzuia dharura zinazompata ama kuingilia harakati zake za kutafuta mkate wa watoto
Tuwe wapole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…