Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nielekeze jinsi ya kutengeneza hizo link maana naona kama inakupeleka kwenye web
JINSI YA KUTENGENEZA LINK

1. Kwenye kila post ya JF kuna alama (icon) ya "share" upande wa juu.

2. Principle ni kwamba "kwenye kila Episode ya nyuma utaweka link ya Episode ya mbele"
Kwa mfano, kwenye mwisho wa Episode 1 (kule chini) utaweka link ya Episode 2.
Kwenye Episode 27, utaweka link ya Episode 28, n.k

Tuchukulie mfano wa Episode 1 na 2
3. Nenda kwenye Episode 2, bonyeza hiyo icon ya share, then
utachagua ku_copy link.

4. Baada ya hapo nenda Episode 1, chagua sehemu ya ku_edit post. Click then utakuwa kwenye editing mode.

5. Hapo utaona icons za ku-format text mfano Bold, Italic n.k
Click icon ya "link" (utaijua tu, imekaa kama chain)

6. Utaona option ya kuweka link, utapaste ile link ya Episode 2 uliyocopy mwanzo (unaikumbuka eeh?).
Pia utaona sehemu ya kuandika text unayotaka ionekane na wasomaji, kwa mfano "BONYEZA HAPA KUSOMA EPISODE 2"

Save your post.

Done✓
 
Asante sana, hata mimi nimepata somo
 
Sawa
 
Before we Proceed tomorrow, naomba kwa wale mamluki uliovamia uzi wangu naomba mfanye kuignore mapema.
View attachment 2736804
Kweli nimeamini huyu jamaa sasa ashakuwa na pigo za kidemu sasa mtoto wa kiume hatui hivyo Mr ww shusha story hata kwenye maisha maadui ni muhimu sana maana ndo wanatupa hasira za kutafuta sasa na kushangaa ww unayekataa usipingwe kama mitume iliyopita ilipingwa sembuse sisi au ww mr badilika
 

Acha kulalamika Mzee niliandika tutaendelea Jumapili au unafikir mimi sina majukum yan kufanya ni kuandika story tu. Sometimes muwe matured
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…