Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Aminaaa....!
 
Insider, nahitaji email yako plz, njoo PM unipe, kuna mambo nahitaji tuwasiliane ya kunijenga zaidi
 

Kuna swali nimetaka kukuuliza tangu Iryn aliporudi tena..

Je, wahusika wakisoma hawatakitambua?

Mke wako haswa na Iryn hawatakujua ni wewe?

Hao wengine hata sijali zaidi ya hao wawili.

Na je, ulimuomba Iryn ruhusa ya kurusha haya yote maana lazima Kuna watu watamtambua tu wakisoma haswa yake ya biashara yake.

Natumaini majina ya wenzao haswa wa karibu ni ya uongo na yeye. Nakumbuka ulisema Prisca na Mary ndio umeyabadili.. wadogo zao je?

Story nzuri, tunasubiri muendelezo... Kujua pia kama Prisca kajifungua mtoto wa kike au?

R.I.P. Mzee Pama nae wamjuao watamtambua. Bora kwako hayupo tena.
 

Acha kucomplicate mambo mkuu. Kila kitu unachosoma kwenye huu uzi kipo kwa Code sio rahisi mhusika kujua niko makini sana.

Kingine Hao wote hata JF hawaijui kabisa.
 
Pole sana. Ubinadamu kazi
 
Dunia hii unavyoiona sivyo ilivyo. Kuna watu ukiwaona unaweza kudhani umepata watu,lakini watu ni wachawi,sio kabisa kushare nao kwa uwazi
 
Wabongo ni wajinga sana yaani huu ujinga waliniletea hadi mm . Yaani unafanya kitu kwa ajiri yao alafu wao ndio wanakua wa kwanza kuzingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…