Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Acha mawazo hasi ww.......alikuja (wakati ulopita) irene mzimah tuIrene baadae atakuja kufa, ukisoma maelezo ya mleta story utaskia “IRENE ALIKUA NA ROHO NZURI" kaulizia kama hizo znaonyesha Irene nae kesha enda kwa baba mda huu.
Irene ni mzima kuna sehemu alisema kuwa irene anampenda junior mpaka sasaIrene baadae atakuja kufa, ukisoma maelezo ya mleta story utaskia “IRENE ALIKUA NA ROHO NZURI" kaulizia kama hizo znaonyesha Irene nae kesha enda kwa baba mda huu.
Memories nzuri sana hizo mzee,nadhani huyo mzee mliendana sana kwa kweli.....apumzike salama kwa kweliHii picha niliipiga SAMAKI SAMAKI siku ya kwanza kwenda na Mzee Pama nikiwa na Mary. Na mpango wa kuitengenezea frame na nitaweka seblen kama ukumbusho.
View attachment 2742583
Hata mimi ninge baki nayo kama kitu cha kumuenzi mzee pamaHahahaaaaa mzee unanitega, lazima niendelee kuitumia ili kila nikiendesha nimkumbuke mzee Pama R.I.P.
Jeni mwenyewe mchepuko anaiba mme wa mtu,kila mtu afe na chake, alafu jane si ndio alimpalula Insider vile vyombo alivyopewa na mzee Pama. Kwanza Jane hatoi Tips wala nini kwa Insider mie ningemchinjia baharini tu,. Napita na Dualis kulia yy kushoto hata kwenye Mirathi dualis haijatajwa sasa ya nini kijisumbua kumpa mtu kitu hakipo wala hakijui.
Asante sana Mkuu I appreciate that 🙏!Sema Antonnia nakuelewa sana, moja ya member naowakubali hunaga baya. Big up sana dada ake.
Mkuu unashusha au tulale?Hii picha niliipiga SAMAKI SAMAKI siku ya kwanza kwenda na Mzee Pama nikiwa na Mary. Na mpango wa kuitengenezea frame na nitaweka seblen kama ukumbusho.
View attachment 2742583
Sis tunaendelea kuumizwaRaha ninayoipata ni kwamba Niko page ya 60 so sisibiri nondo Bali napita kama nasoma novel
Usihofu najua huu ni ulevi wako.
Pole mi Niko Pg 76 sina mpango wa Ku catch up .ila this guy is very smart .niliipotezea story mpaka nilipotest sitamani kuacha kusoma. Respect kwa insider manSis tunaendelea kuumizwa
Tatizo MNA dwell Sana kwenye doubts just take it as an entertaining story. Mengine atajua mwenyewe insider kama uongo au ukweli mi nampa maua yake.binafsi nahsi yaweza kuwa modified true storyNimekuwa nikifuatilia story tokea episode one. Kuna kipindi na doubt kama ni fiction ila sasa INSIDER anakupa zile details za ndani mpaka unasema mtu hawezi kutunga. Kama hii episode ya mwisho alivyo describe the horizon, kuanzia games zilizokuwepo. Picha kwenye kile kidaraja na cost za kwenda kwenye island. Kwa ambao mmefika pale ni accurate kabisaa na ile cocktail yao ya nanasi. Yaani akiwa anaelezea outing zake the accuracy of the details za sehemu ni very impressive kusema jamaa ana tunga.
Shida yangu tu ndio Maana nasubiria conclusion ni huyu IRYN. From the story she seems as a well off woman. Ana hela sana and pia ana vyanzo vingi vya mapato kutoka kwa mama yake. Why afanye kazi ya massage? Bado it’s a job ambayo sio respectable kwa mtu mwenye hela vile asinge jihusisha nayo. She makes more from her mother’s business than hio kufuata watu massage. Pia hapo uliposema mtu analipa 1500$ for a massage bila happy ending kidogo kuna fikirisha. The value of amount mentioned ni very unrealistic. Tena for a British guy hapo kidogo umeongeza salt, nadhani huwajui waingereza wewe when it comes to spending. Pia ukaongezea swala la French account, yaani a UK resident awe na account ina a french bank na ikatokea tu as coincidence na Irene nayo anayo. Unajua procedure za kufungua akaunti nje ya nchi especially European countries, Iry sio resident wa France. Kama alisoma inakuwa ni temporary account and it expires the moment your student visa has exhausted.
Attention seeker
Sasa airport ya nini humu Mr medication aka madawa.Sina maisha magumu dada, nilichonacho kinanifanya kuwalipa watu 30 mishahara na wanahudumia familia zaoView attachment 2703007