Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mkitoka huko vijijini kwenu kuja hapa mjini mpunguze viherehere mnakera sana,mnasoma story kama kuku anatafutia vifaranga vyake chakula[emoji35]
 
Mkitoka huko vijijini kwenu kuja hapa mjini mpunguze viherehere mnakera sana,mnasoma story kama kuku anatafutia vifaranga vyake chakula[emoji35]
Mnapopambana kutafuta wanaume muwe makini. Hapo tayari unaona kama hizo habari tayari atakuwa na pesa nyingi... So unaanza kujikomba komba kwake... Angalia sana huwa mnaumizwa baadaye mnasema wanaume wabaya
 
Wapi ameandika kila dem alikua anamtaka, alafu mbona kama ni hao wanawake aliowataja kwenye stori hawazidi nane, ina maana mleta mada yeye kati ya abiria wake tuseme tu ndani ya mwezi mmoja alibeba wanawake nane tu ambao ndo umesema wanawake wote aliowabeba ni wazuri, au ulitaka ataje kila abiria aliyembeba tokea anaanza kazi
Muwe mnawaambia wake zenu wawakande kichwa mkitoka kazini
 
Kimewaka mkuu,yaan utajuta kwa mama junior,utaona bure ungemwambia mishe zako mapemaa[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…