Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Watu wamekushtukia. Unadanganya sana. Wewe kila msichana uliyekutana naye alikuwa mzuri sana , ana pesa na anakutaka. Kila msichana. Inafikia hatua watu wanaona hizi kamba. Na unasoma wasomaji maoni yao kisha una twist story namna ya kufanya wafurahie. Unakoelekea kuna demu utagonga maana wasomaji wengi wanataka ufanye hivyo au utaamua kuwapa ushindi wale wanaosema jamaa una msimamo.
Mkitoka huko vijijini kwenu kuja hapa mjini mpunguze viherehere mnakera sana,mnasoma story kama kuku anatafutia vifaranga vyake chakula[emoji35]
 
Mkitoka huko vijijini kwenu kuja hapa mjini mpunguze viherehere mnakera sana,mnasoma story kama kuku anatafutia vifaranga vyake chakula[emoji35]
Mnapopambana kutafuta wanaume muwe makini. Hapo tayari unaona kama hizo habari tayari atakuwa na pesa nyingi... So unaanza kujikomba komba kwake... Angalia sana huwa mnaumizwa baadaye mnasema wanaume wabaya
 
Watu wamekushtukia. Unadanganya sana. Wewe kila msichana uliyekutana naye alikuwa mzuri sana , ana pesa na anakutaka. Kila msichana. Inafikia hatua watu wanaona hizi kamba. Na unasoma wasomaji maoni yao kisha una twist story namna ya kufanya wafurahie. Unakoelekea kuna demu utagonga maana wasomaji wengi wanataka ufanye hivyo au utaamua kuwapa ushindi wale wanaosema jamaa una msimamo.
Wapi ameandika kila dem alikua anamtaka, alafu mbona kama ni hao wanawake aliowataja kwenye stori hawazidi nane, ina maana mleta mada yeye kati ya abiria wake tuseme tu ndani ya mwezi mmoja alibeba wanawake nane tu ambao ndo umesema wanawake wote aliowabeba ni wazuri, au ulitaka ataje kila abiria aliyembeba tokea anaanza kazi
Muwe mnawaambia wake zenu wawakande kichwa mkitoka kazini
 
Back
Top Bottom