granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
una uhakika gani- kuwa ni wazuriKabisa mkuu yani kuna episodes nilikuwa nasoma mpaka napata hasira jinsi mkuu insider anavyoacha kuwala kimasihara watoto wazuri. Aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una uhakika gani- kuwa ni wazuriKabisa mkuu yani kuna episodes nilikuwa nasoma mpaka napata hasira jinsi mkuu insider anavyoacha kuwala kimasihara watoto wazuri. Aisee!
Kama anakukera ndg siuche kuufuatilia huu uzi, acha chuki binafsi ndg,, hiyo roho ya kichawiAnazunguka zunguka Mara Mary sijui Prisca kitu cha kuelezea katoka out atataja hadi location sijui kaongea na muudumu.
Mara nikafungulia mlango.
Mara naandika siku Tatu ili nikumbuke matukio yaani matukio ya mwaka Jana mtu uyasahau
ndo iryn huyo?Ila mjomba INSIDER MAN ulizingua sana kutomla huyo mrembo
Afadhali umwambie maana anakuwa kama ka mbaleloo (mbuzi mtoto) kananyonya huku kanalia mmeeee, kanapiga kichwa manyonyo ya Mama mwe mwe mweee. . .Wewe unayakumbuka matukio yote ya maisha Yako!?
Huna Kazi zingine zinazo ku keep busy!?
Umelazimishwa kuisoma hii story!?
Kuna ubaya ukikaa kimya kama huipendi!?
Je unashindwa kuipotezea!?
Duniani watu mavimavi huwa hawakosekani
nimeshaona nilipofka 3Basi waalimu wako walipata shida sana
...upo sahihi... mimi ndio wale funga orodha wa mkiani...Basi waalimu wako walipata shida sana
😆😆😆😅😅 na nikikaa sawa nitaleta uzi nilivowala hawa she kimasihara....😂😂😂😂😂😂😂😂.... Dah!! Em fanya na wewe utuletee uzi wako hapa, hata Kama utakuwa chai wananzengo tumekubali, nnahakika humo ndani watu wataliwa mpaka basi
Oya Killo, ishu vipi bwanamdogo?
Haina tabu mkuu, ngoja nimuweke kwenye dustbin!Smarter Ghost,tulikubaliana kuwaignore hawa jamaa. Akiandika negative comment tunairuka kama kinyesi
Ukiona hivyo ujue ana hamu sanaWewe unayakumbuka matukio yote ya maisha Yako!?
Huna Kazi zingine zinazo ku keep busy!?
Umelazimishwa kuisoma hii story!?
Kuna ubaya ukikaa kimya kama huipendi!?
Je unashindwa kuipotezea!?
Duniani watu mavimavi huwa hawakosekani
Sawa sawaSema isiwe too much sasa unapiga kiaina 😅😅😅
Ha haha [emoji23]Ndiyo mkuu
Ijumaa, j mosi na j pili.Samahani iv story itaendelea lini asee
Mbona umeuliza na kujijibu mwenyewe mkuu.nakukera?