hahahaKazi unayo...ugentlomeni umeanza kukulipa
Hiyo ndio desturi ya wazungu............jaribu kutongoza uone kibuti chake...............Huyu jamaa na mwandishi wapo sawa mtoto mzuri unamchekea chekea tu anakudharau.Apo unaona dem kabisa kaelekea kibla ila jamaa anashia kushukuru tu.
View attachment 2750207
Sawa ccyTayarii?? Asante sisy
hahah kapiga kwenye mshono.
tuliyategemea haya ugentleman ukizidi mtoto lazima akune miyeyusho.Duuh iryn kabadilika Ghafla asee mbona hatari hii
Hmna mm nadhani ni kisasi tu kutokana na vituko insider man alivokuwa anamwonesha mara Sumaiya ,mara mary 🙄tuliyategemea haya ugentleman ukizidi mtoto lazima akune miyeyusho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmechekaMkuu umeingia kwenye mfumo wa Iryn [emoji23]
Binafsi nimekuelewa sana MkuuMtu mwenye akili timamu, hawezi kusimulia tukio halisi humu JF bila kutwist baadhi ya matukio ili kulinda identity yake na ya watu anaowazungumzia.
Ukiwa na akili timamu, utalifahamu hilo, na halitakupa shida.
Ukiwa na gubu, ndio utataka kuthibitishiwa some personal details, upewe hadi namba ya Iryn wakati uko zako Kasulu huko.
By the way, story imegusa mambo mengi. Kuna vijana wanafanya Uber humu, I'm sure wamepata madini ya kutosha kwa kazi yao. Kuna masuala ya familia, kuna masuala ya kutengeneza connections na kadhalika.
Sasa kama story yenye mambo mengi namna hii, wewe inakugusa tu ambapo jamaa anashobokewa na mademu, basi hilo ni tatizo lako binafsi!
Dakika ya 60 Insider akiongoza 3 bila ila kufika dakika ya 75
Iryn 5 : 3 Insider
Na uwanja imeinama sana upande wa Insider na anachezeshwa nusu uwanja ngoja tusubir dakika 90 ziishe
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wale mademu wawili wa salon lucy na yule kimbaumbau aliyechaniwa bikini akaachwa na upwiru wake walishayatabiri haya kuwa mwisho wa siku iryn atapata mjanja wa kumkaza utabaki unashangaa tu, hahah.