hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Muendelezo saa ngapi mkuuMkuu mpango ni mzuri ila kwa kitu kizito alichopigwa nacho ingekuwa ngumu kujaa hapa. IRYN naye alivimba kwa Muajemi alimwambia ananyumba za kutosha ana pesa za kutosha so habaishwi na pesa zake.
Pia niliona hio pesa ndogo kwake hata isingemuuma, kuna kauli pia inasema usishindane na Tajir maana hachelewi kukulaza kaburini
Huu uzi unanifurahisha jinsi Me mnavyopeana mbinu yaani mko bega kwa bega na Insider [emoji1787]Naona IRYN anampango wa kukupunguza kwenye maisha yake Cha kwanza ilitakiwa uitafune mbususu yake hata akikupunguza uwe ushaweka alama ya kumvua bikin ayaani ungetumia ile ofa ya yeye kukufanyia massage ndio umkandamize hapohapo
Insider alifanya vizuri sana kumpotezea. Insider hakuna kumchekea wala kumbembeleza Lyn kama mbwai iwe mbwai tuHaka ka prisca kanatumia hisia enhee eti yupo tayari kukuzalia tena mxiiu
Halafu huyu Irene huyu atarudi kwako na machozi tupo hapa tunamzoom
Kigi Makasi njoo uone huku
Huu uzi unanifurahisha jinsi Me mnavyopeana mbinu yaani mko bega kwa bega na Insider [emoji1787]Naona IRYN anampango wa kukupunguza kwenye maisha yake Cha kwanza ilitakiwa uitafune mbususu yake hata akikupunguza uwe ushaweka alama ya kumvua bikin ayaani ungetumia ile ofa ya yeye kukufanyia massage ndio umkandamize hapohapo
Hapo sio mbali na makulu road kama unakwenda Udom, ukishakata kushoto ndo kibarabara kinashuka kwenda kwangu, wanaonakaa maeneo haya watakuwa washapata ramani
kasema 22:00Leo mwendelezo upo au ndo hadi ijumaa[emoji276][emoji276]
kasema 22:00
Ina Mana kihisia ama kimapenzi ndio anazidi kuiva fulani kwake.kwa ninavoona iryn hajainjoy penzi jipya au ana hasira venyee ndugu yetu kamlia buyu[emoji23][emoji23] sasa anakasirika nini kwa mfano?? kinachomuuma ni nn?? kwakweli siku insider akimla iryn itakua ndo basi tena[emoji3064][emoji3064]
Insider endelea kuwa busy na mama kijacho tumpotezee chaurembo zaidi
🤣🤣🤣🤣...!Watu mna mipango[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mbona Kama ntyuka Dom
Yah ni kwelii. Ame fail sana katika suala zima ku handle mahusiano yake yoote kasoro kwa......... So far, mimi naona fanani umefeli kwenye mahusiano yako yote kuanzia kwa mkeo, Prisca mpaka kwa Iryn. Ngoja tuone kama kuna comeback!
Naona IRYN anampango wa kukupunguza kwenye maisha yake Cha kwanza ilitakiwa uitafune mbususu yake hata akikupunguza uwe ushaweka alama ya kumvua bikin ayaani ungetumia ile ofa ya yeye kukufanyia massage ndio umkandamize hapohapo
Kuna lodge barabarani hapo
Kwa Stori hii INSIDERMAN umepitia mengi sana, lkn Stori zote Sijaona maahali unaongea na mamety wako wa Chuo wakikupa michongo ya kazi, au ushauri wa maisha unayopitia..zaidi ni Dereva wa Uber na wale wateja wako wa Uber....ndo unawasimulia apa.