Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Huo sio muongozo, hiyo ni analysis tu na maoni yangu si lazima ayafanyie kazi
 
Sio kiviile!! Iryn ndio masta wa story ! Wee unaona akikosekana inanoga???
Sema we ni team Iryn utaeleweka, ila kijana wetu hajatudhihirisha wazi kuwa mrembo ni nani miongoni mwa hao warembo.

Iryn sijamkubali kabisa, heri hata mama kijacho ana kaurembo kalikomfanya kijana wetu akafanya yake 😍
 
upo sahihi mkuu,, lakini sikuwa na maana mbaya kama unavodhani isome komenti vizuri utanielewa,sikuwahi kwenda kinyume nae,jaribu kufuatilia kote nilipopita humu....
Remark
Tatizo watu huwaga hawapendi kuheshimu mawazo au maoni ya watu wengine, hawa ni wale watu wasiopenda ukweli sehemu inapohitajila ukweli, kwasababu tu wao wanaburudika....

Kingine , Naona watu wengi wana tatizo la afya ya akili bila ya wao kujijua, hivi kweli mawazo au maoni ya mtu ni ya kutaka kupingana nayo kama ni argument au command??

Umetoa maoni, unatukanwa[emoji23]
 
Story nzuri sema uduanzi wake upo kwenye kusubiri hadi ijumaa, jumamosi na jumapili, kisa kuna watu wasiozidi 5 kati ya zaidi ya 100k kutoa negative comments
 
Story nzuri sema uduanzi wake upo kwenye kusubiri hadi ijumaa, jumamosi na jumapili, kisa kuna watu wasiozidi 5 kati ya zaidi ya 100k kutoa negative comments
NO RATIBA YAKE INAMBANA KUANDIKA KILA SIKU NA YEYE BINADAMU ANAMAJUKUMU, KWA HIYO KUANDIKA KILA WAKATI KTK SIKU ZOTE 7 ZA WIKI AANDIKE MFULULIZO STORY NDEFU KWENYE EPISODE MOJA INAKUWA SIO RAHISI HATA INGALIKUWA NIWEWE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema we ni team Iryn utaeleweka, ila kijana wetu hajatudhihirisha wazi kuwa mrembo ni nani miongoni mwa hao warembo.

Iryn sijamkubali kabisa, heri hata mama kijacho ana kaurembo kalikomfanya kijana wetu akafanya yake 😍
Irene ananikosha msimamo wake fulani hivi ...sema wivu wa mama J najiona Mimi kabisa haha 😁😁!!

Priska kaniboa kuzaaa na mume wa mtu kizembe sana na kuonesha kafa kaozaa na eti yuko tayari kumzalia tena😒!
 
Bro hichi si kikao kwamba kina agenda utoe maoni… Watu kama nyinyi ndio mlifanya jamaa akataka kuacha kuendelea kusimulia kwa sababu ya kenge kama nyinyi kuingilia kwenye msafara wa mamba…
Usimfundishe mtu jinsi ya kuelezea story ya maisha yake aelezee kwa perception zako wewe.. huo ni upumbavu ambao watu tunaukataa na ndio unasababisha watu wengi kuacha kusimulia kwa sababu ya kenge kama wewe na wenzako kuingilia msafara wa mamba..

Mtu anafatiliwa na viewers zaidi ya million moja alafu unakuja kenge mmoja au wawili eti mnajifanya mnatoa maoni kwa story ambayo hamkuijua A wala B..

Mjifunze kufunga mabakuli yenu hayo au toeni na nyinyi story zenu muone kama mnaweza kupata hata viewers 1000..

Nikiona kenge yoyote kwenye msafara wa Mamba lazima niruke naee.. MPumbavu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…