Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwa nn Iryn akutane na INSIDER maeneo alipo na hakutaka yy afuatwe?,
1.Alikuwa maeneo karibu na Mlimani City
2.Anataka kujua INSIDER yuko na nani?
Unconfirmed Conclussion:Iryn bado anafeeling kwa Insider ila anasubiri initiation ..but real men never bend a knee
 
Ila mwana sometimes unazingua ujue Iryn anakupigia simu x2 na hupokei,,? Kama alitaka urudi ukamnyandue je,, yani hapo ndio unatukosea wadau angalia tutaanza kukuvua vyeo sasa,,
Hapa kwa Kweli jamaa kazingua sana eti anafanya hvyo ili iry hasijione so [emoji23]special ..Ila insider wew Ni mbuzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umempa makavu kijana
 
naona kisa kimeshindwa kuweka wazi kama mfaransa ndo aina ya gari alilokuwa amekubaliana na Iryn. Pia hakuweza kubainisha kwamba ni kwa nini Iryn aliishi kwenye apartment na sio home kwao ukizingatia ukwasi wa marehemu mama yake aliokuwepo nao
Hapo mwamba nadhani wewe umeshindwa kuiunga story vizuri kwani maelezo yalijitosheleza
 
Tangu jmoss ndio namaliza leo hii story kwahiyo next ni lini ?
 
INSIDERMAN ungetusuprise na Liepisodi limoja apa ungetisha sana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…