Remark
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 510
- 989
Wewe unaamini mpaka 2021 vicky kamata alikua hajui kuendesha gari hakuwahi kumiliki hari mpaka aje kufundishwa na Insider..?! Wrong❌TISS data:
Mzee Pama - Likwalile
Jane - Vicky Kamata
Mzee Pama humu kaandikwa kama mstaafu lakini aliachishwa kazi na Magu. Pia alifariki 2021 na ana watoto Canada na wake wengine.
Jane anaishi Mbweni humu katumika kama hawara, kwenye kesi Vicky akisema mke halisi lakini mahakama imeikata doa yake. Pia Vicky ana gombania mali na watoto wa Likwalile wa Canada.
Kila nikisoma huu uzi na kesi ya Vicky Kamata na watoto wa Likwalile naona hao ndio wahusika wa huu uzi.