Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kiujumla story ni nzuri sana tu inaburudisha.

Sema nawasifu baadhi ya wasimuliaji wa hapa JF akiwemo huyu kwa uwezo wao wa kumbukumbu hasa - majina ya siku,
  • muda uliotumika toka sehemu moja kwenda nyingine.
  • Kufika sehemu au kupokea simu saa flani na dkk flani.
  • Muda uliotumika kumsubiri mtu na muda wa kuondoka maeneo tofauti tofauti na siku tofauti tofauti - Kiasi cha fedha ndogo ndogo anazotoa au kupokea.
  • Maongezi ya kwy simu neno kwa neno,
  • matukio ya kila siku toka jtatu hadi jpili kwa wiki nzima

Naamini watakua wana andika kwy diary na si vinginevyo hata kama walilishwa sana vichwa vya samaki utotoni. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio kila thread lazima usome, zingine ziache zipite tu kushoto zina watu wake.
Mkuu unataka kunipangia cha kufanya?? Simu/computer ni yako? Bundle umeninunulia wewe, we ndo ulinipeleka shule nikajua kusoma na kuandika, ako na shida na mm?
 

Yaani sasa wanavyokumaa na kuiita TRUE STORY. Daah nashindwa kuelewa labda muandishi alizaliwa na memory card ila kwa ubongo wa mwanadamu hakuna anayekumbuka kila kitu kwa miez 3 tu nyuma ila mwamba yupo full detail ya miaka m3 nyuma.. story ni nzuri sana ila ni myth hakuna ukwel wwte tuendelee tu na burudani [emoji23]
 
KAMA NI MYTHS MBONA MNAIFUATILIA SI MUACHANE NAYO TUU, NYUZI ZIKO KIBAO SIO LAZINA HUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…