cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Cycle yako ni ya watu wasio na hela kama mimi. Unatagemea uzipate kutoka wapi? Zaidi ya hao wanaokuzunguka ambao wamechoka zaidi kiuchumi kukuomba wewe uwasaidie?Ila hii story jamani hapana, yaani mtu mmoja mirija ya hela inatiririka kwake tuu muda wote khaa
Yaani inatufanya mpaka wengine tujione hatuna bahati au sijui hatuna akili ya kutafuta hela
Mkuu hii paragraph ya mwisho ni kama umeniandikia mie, na'hustle sana na mchuzi unakuja sana. Nikilegeza tu kidogo naona kabisa itakua chali kwangu.Kama unasoma hii story na shida zako za maisha sijui huna ajira nashauri bora tu uache mana utapata presha zote na vidonda vya tumbo juu[emoji23] utaona kama wewe umekuja kusindikiza watu duniani afu utaishia kumlaumu MUNGU uchume na dhambi buree ila kama unasoma for fun utaenjoy mnoo yani[emoji119][emoji119]
we soma tu kama story za kina singano vile afu pita hivii kwenye maisha kila mtu na njia zake za mafanikio usitake kujifananisha na mtu utaumia sanaa
Kuna watu inabidi tuhustle sana kupata pesa ila kuna watu njia zao sio ngumu wakigusa tu kitu kinatiki ko we mshukuru MUNGU afu songa mbele[emoji4]
Kwani umelazimishwa kusoma? Kuelezea undani wa biashara nalo kuzuri kunatoa funzo nenda kwenye Uzi wa Kula tundra kimasihara wewe ni wale wapenda nyuzi za kudinyana tu ...Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Nothing Serious here, just Entertainment and some lessons to learn .Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Mkuu hii paragraph ya mwisho ni kama umeniandikia mie, na'hustle sana na mchuzi unakuja sana. Nikilegeza tu kidogo naona kabisa itakua chali kwangu.
Aisee upo sahihi sana[emoji1][emoji1][emoji1]Kama unasoma hii story na shida zako za maisha sijui huna ajira nashauri bora tu uache mana utapata presha zote na vidonda vya tumbo juu[emoji23] utaona kama wewe umekuja kusindikiza watu duniani afu utaishia kumlaumu MUNGU uchume na dhambi buree ila kama unasoma for fun utaenjoy mnoo yani[emoji119][emoji119]
we soma tu kama story za kina singano vile afu pita hivii kwenye maisha kila mtu na njia zake za mafanikio usitake kujifananisha na mtu utaumia sanaa
Kuna watu inabidi tuhustle sana kupata pesa ila kuna watu njia zao sio ngumu wakigusa tu kitu kinatiki ko we mshukuru MUNGU afu songa mbele[emoji4]
Punguza wivu mwanaume haolewi yeye ndiye anaoa hivyo anaweza kwenda popote kutoa upwiruSijasema mbele ya mama J..namaanisha kuna uwepo wa mama J sio lazima awe mbele yako...mfano hapo mlipokua sijui site...si ulisogea pembeni ukaongea nae na I love u juu?.. any way tuendelee..
Unakunywa Soda gan mkuu ?Punguza wivu mwanaume haolewi yeye ndiye anaoa hivyo anaweza kwenda popote kutoa upwiru
Watu wengi wana stress na hate sana, if something didnt happen or cant happen to them, they claim it not to be true...Dont hate be inspired...watu wengi wana mioyo ya chuki
Mi sio mzee mie mwanadadaNothing Serious here, just Entertainment and some lessons to learn .
Unakaza mishipa ya Shingo hivyo ya nn mzee?
Jamani mwanadada wa watu unamwita Mzee? Pole sana dada! Ebu njoo inbox nitakutumia na yakutolea!Mi sio mzee mie mwanadada
EtiJamani mwanadada wa watu unamwita Mzee? Pole sana dada! Ebu njoo inbox nitakutumia na yakutolea!
Yeah! Njooo!