Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Prisca ana wivu sanaaaaa wa hatari kwa kutoweza uvumilivu... lazima alioipata pake akikutegenea uwe naye kama kwa chini iwe nusu ya wiki umekuwa nae. Wazazi hukumalizana nao... Dodoma trip I hope hakuchokonoa mwili wake na chochote... si alishaanza ya tumbo...
 
Ila hii story jamani hapana, yaani mtu mmoja mirija ya hela inatiririka kwake tuu muda wote khaa
Yaani inatufanya mpaka wengine tujione hatuna bahati au sijui hatuna akili ya kutafuta hela
Cycle yako ni ya watu wasio na hela kama mimi. Unatagemea uzipate kutoka wapi? Zaidi ya hao wanaokuzunguka ambao wamechoka zaidi kiuchumi kukuomba wewe uwasaidie?

Kumbuka msemo huu; "Show me your friends and I will tell you who you're!"
 
Kama unasoma hii story na shida zako za maisha sijui huna ajira nashauri bora tu uache mana utapata presha zote na vidonda vya tumbo juu[emoji23] utaona kama wewe umekuja kusindikiza watu duniani afu utaishia kumlaumu MUNGU uchume na dhambi buree ila kama unasoma for fun utaenjoy mnoo yani[emoji119][emoji119]

we soma tu kama story za kina singano vile afu pita hivii kwenye maisha kila mtu na njia zake za mafanikio usitake kujifananisha na mtu utaumia sanaa

Kuna watu inabidi tuhustle sana kupata pesa ila kuna watu njia zao sio ngumu wakigusa tu kitu kinatiki ko we mshukuru MUNGU afu songa mbele[emoji4]
Mkuu hii paragraph ya mwisho ni kama umeniandikia mie, na'hustle sana na mchuzi unakuja sana. Nikilegeza tu kidogo naona kabisa itakua chali kwangu.
 
Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Kwani umelazimishwa kusoma? Kuelezea undani wa biashara nalo kuzuri kunatoa funzo nenda kwenye Uzi wa Kula tundra kimasihara wewe ni wale wapenda nyuzi za kudinyana tu ...
 
Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Nothing Serious here, just Entertainment and some lessons to learn .

Unakaza mishipa ya Shingo hivyo ya nn mzee?
 
Mkuu hii paragraph ya mwisho ni kama umeniandikia mie, na'hustle sana na mchuzi unakuja sana. Nikilegeza tu kidogo naona kabisa itakua chali kwangu.

wengi wetu tupo hivo yani kula yetu ni ya kumwaga jasho sanaa ko tuendelee kupambana tu mkuu[emoji4][emoji4] Na tujifunze kuwa binadamu hatufanani kwenye mambo mengi sana
 
Kama unasoma hii story na shida zako za maisha sijui huna ajira nashauri bora tu uache mana utapata presha zote na vidonda vya tumbo juu[emoji23] utaona kama wewe umekuja kusindikiza watu duniani afu utaishia kumlaumu MUNGU uchume na dhambi buree ila kama unasoma for fun utaenjoy mnoo yani[emoji119][emoji119]

we soma tu kama story za kina singano vile afu pita hivii kwenye maisha kila mtu na njia zake za mafanikio usitake kujifananisha na mtu utaumia sanaa

Kuna watu inabidi tuhustle sana kupata pesa ila kuna watu njia zao sio ngumu wakigusa tu kitu kinatiki ko we mshukuru MUNGU afu songa mbele[emoji4]
Aisee upo sahihi sana[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Sijasema mbele ya mama J..namaanisha kuna uwepo wa mama J sio lazima awe mbele yako...mfano hapo mlipokua sijui site...si ulisogea pembeni ukaongea nae na I love u juu?.. any way tuendelee..
Punguza wivu mwanaume haolewi yeye ndiye anaoa hivyo anaweza kwenda popote kutoa upwiru
 
Back
Top Bottom