granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
[emoji1787][emoji1787] Kaz ipo aseeh kwa presentersHawa redio presenters wasio na marinda wanaoongelewa ni wa mawingu au??, halafu bongo hamna celebs ila kuna watu wanajiita celebs.
We ukisikia unafiki wa kitanzania unadhani ni UPI labdaMzee watu wa humu jf wanachuki sana mimi imenitokea kwa vitendo na wakati huo sijawahi watukana au kuwakosea...yaani just kwa love tu nikawaletea story na kitu kibaya nikaleta na screenshots kama kuwaaminisha kitu ni kweli bana weeee .....acha tu
Well saidView attachment 2762765
Naandika hii story kwa shida sana ukiangalia hiyo calendar juu huwezi kuelewa ila ndo matukio yenyewe. Ukiona nakuambia ilikuwa ni siku gani tukio limetokea bhasi elewa huwa narudi kwenye calendar kurecall, na matukio mengi nilikuwa nayaandika kwenye simu.(Code zote nitafungua mwisho wa story)
Nashangaa sana kuona watu JF wana Negative Perceptions na nimegundua humu ndani wengi wako desperate na maisha hawana exposure yoyote ya maisha.
Mimi nilivyo na mambo mengi nipoteze Muda kwa kuandika fiction story? Sina muda wa kupoteza asee hata hii story naandika sababu naamini kuna watu wanajifunza.
Nilisema ningeishia na Epsode ya 30 lakini kutokana na utitiri wa matukio, msinge elewa na ningepata tabu sana kuwalezea mwishoni.
Sijawahi kuwaandikia kuhusu kukutana na Celebrities lakini nimefanya nao kazi wengi sana hasa hawa wakike tena wale maarufu wengi ni washikaji zangu mpaka sasa. Kwa upande wa kiume wengi ni machoko asee hasa hawa presenters [emoji1544][emoji1544], Mungu atusaidie presenters wengi maarufu hawana malinda asee.
Ndugu zangu navyo waambia story nawapa kila weekend muwe waelewa maana kuandika life story sio kitu rahisi, matukio mengi sana huwa nina yaruka na mengine huwa nafuta.
Nikiandika episode lazima niipitie tena kuna vitu vingine huwa nafuta, good news nimeshaandika Epsode zote za kumaliza hii story tatizo ni muda wa kuzipitia tu.
Kwasasa niko busy sana maana kuna Projects zangu naziweka sawa na mwezi ujao nitaanza Masters.
Kwa msilolijua hii story nilipanga kuwaletea toka muda mrefu ila nilikuwa naona uvivu kuiandika na nilianza kuiandika April mwaka huu, July ndo nilianza kuipost.
Na hii ni comment yangu kama ushahidi, kuna ndugu aliuliza kuhusu hii biashara na watu walinisumbua sana PM kuhusu maelezo ya hii biashara ndo nikaamua kuleta huu uzi,
View attachment 2762766
Mzee achana nao nao wajinga hao wengi tunaamin unaongea ukweli tofauti ni kuwa wewe unaweza kuelezea Kwa ufasaha matukio yoteView attachment 2762765
Naandika hii story kwa shida sana ukiangalia hiyo calendar juu huwezi kuelewa ila ndo matukio yenyewe. Ukiona nakuambia ilikuwa ni siku gani tukio limetokea bhasi elewa huwa narudi kwenye calendar kurecall, na matukio mengi nilikuwa nayaandika kwenye simu.(Code zote nitafungua mwisho wa story)
Nashangaa sana kuona watu JF wana Negative Perceptions na nimegundua humu ndani wengi wako desperate na maisha hawana exposure yoyote ya maisha.
Mimi nilivyo na mambo mengi nipoteze Muda kwa kuandika fiction story? Sina muda wa kupoteza asee hata hii story naandika sababu naamini kuna watu wanajifunza.
Nilisema ningeishia na Epsode ya 30 lakini kutokana na utitiri wa matukio, msinge elewa na ningepata tabu sana kuwalezea mwishoni.
Sijawahi kuwaandikia kuhusu kukutana na Celebrities lakini nimefanya nao kazi wengi sana hasa hawa wakike tena wale maarufu wengi ni washikaji zangu mpaka sasa. Kwa upande wa kiume wengi ni machoko asee hasa hawa presenters [emoji1544][emoji1544], Mungu atusaidie presenters wengi maarufu hawana malinda asee.
Ndugu zangu navyo waambia story nawapa kila weekend muwe waelewa maana kuandika life story sio kitu rahisi, matukio mengi sana huwa nina yaruka na mengine huwa nafuta.
Nikiandika episode lazima niipitie tena kuna vitu vingine huwa nafuta, good news nimeshaandika Epsode zote za kumaliza hii story tatizo ni muda wa kuzipitia tu.
Kwasasa niko busy sana maana kuna Projects zangu naziweka sawa na mwezi ujao nitaanza Masters.
Kwa msilolijua hii story nilipanga kuwaletea toka muda mrefu ila nilikuwa naona uvivu kuiandika na nilianza kuiandika April mwaka huu, July ndo nilianza kuipost.
Na hii ni comment yangu kama ushahidi, kuna ndugu aliuliza kuhusu hii biashara na watu walinisumbua sana PM kuhusu maelezo ya hii biashara ndo nikaamua kuleta huu uzi,
View attachment 2762766
Haya maneno nikiongea mm naonekana nina mdomo ila kiufupi watu wengi wa jf ni masikini kuanzia kula yao, vaa yao , ongea yao, elimu zao yaani majitu haya exposure kabisa yani yaani ni mashamba haswaaa..yaani ni matakatakaView attachment 2762765
Naandika hii story kwa shida sana ukiangalia hiyo calendar juu huwezi kuelewa ila ndo matukio yenyewe. Ukiona nakuambia ilikuwa ni siku gani tukio limetokea bhasi elewa huwa narudi kwenye calendar kurecall, na matukio mengi nilikuwa nayaandika kwenye simu.(Code zote nitafungua mwisho wa story)
Nashangaa sana kuona watu JF wana Negative Perceptions na nimegundua humu ndani wengi wako desperate na maisha hawana exposure yoyote ya maisha.
Mimi nilivyo na mambo mengi nipoteze Muda kwa kuandika fiction story? Sina muda wa kupoteza asee hata hii story naandika sababu naamini kuna watu wanajifunza.
Nilisema ningeishia na Epsode ya 30 lakini kutokana na utitiri wa matukio, msinge elewa na ningepata tabu sana kuwalezea mwishoni.
Sijawahi kuwaandikia kuhusu kukutana na Celebrities lakini nimefanya nao kazi wengi sana hasa hawa wakike tena wale maarufu wengi ni washikaji zangu mpaka sasa. Kwa upande wa kiume wengi ni machoko asee hasa hawa presenters [emoji1544][emoji1544], Mungu atusaidie presenters wengi maarufu hawana malinda asee.
Ndugu zangu navyo waambia story nawapa kila weekend muwe waelewa maana kuandika life story sio kitu rahisi, matukio mengi sana huwa nina yaruka na mengine huwa nafuta.
Nikiandika episode lazima niipitie tena kuna vitu vingine huwa nafuta, good news nimeshaandika Epsode zote za kumaliza hii story tatizo ni muda wa kuzipitia tu.
Kwasasa niko busy sana maana kuna Projects zangu naziweka sawa na mwezi ujao nitaanza Masters.
Kwa msilolijua hii story nilipanga kuwaletea toka muda mrefu ila nilikuwa naona uvivu kuiandika na nilianza kuiandika April mwaka huu, July ndo nilianza kuipost.
Na hii ni comment yangu kama ushahidi, kuna ndugu aliuliza kuhusu hii biashara na watu walinisumbua sana PM kuhusu maelezo ya hii biashara ndo nikaamua kuleta huu uzi,
View attachment 2762766
Haya mambo unaweza ukazani ni utani watu wakishuhudia ila haya mambo yapo watu wa humu wengi ni matakataka yaani hayana akili na mengi yamejua kusoma yalipo fika darasa la sitaWe ukisikia unafiki wa kitanzania unadhani ni UPI labda
Sio wote specify Mimi sio mjinga au mtu wa kumtukana au kumbishia mtu kitu ambacho sikjui na hata km nakijua basi sio lzm nimkosoe...... Nakaa mbaliHaya maneno nikiongea mm naonekana nina mdomo ila kiufupi watu wengi wa jf ni masikini kuanzia kula yao, vaa yao , ongea yao, elimu zao yaani majitu haya exposure kabisa yani yaani ni mashamba haswaaa..yaani ni matakataka
Watu wanawaonea wivu akina Mary
AsanteSidhani hata anafikia 2/10 ya uzuri wa Mary, next episode 20:00
Huna baya kaka angu binafsi najifunza sana... achana na hao wagumu kuelewaView attachment 2762765
Naandika hii story kwa shida sana ukiangalia hiyo calendar juu huwezi kuelewa ila ndo matukio yenyewe. Ukiona nakuambia ilikuwa ni siku gani tukio limetokea bhasi elewa huwa narudi kwenye calendar kurecall, na matukio mengi nilikuwa nayaandika kwenye simu.(Code zote nitafungua mwisho wa story)
Nashangaa sana kuona watu JF wana Negative Perceptions na nimegundua humu ndani wengi wako desperate na maisha hawana exposure yoyote ya maisha.
Mimi nilivyo na mambo mengi nipoteze Muda kwa kuandika fiction story? Sina muda wa kupoteza asee hata hii story naandika sababu naamini kuna watu wanajifunza.
Nilisema ningeishia na Epsode ya 30 lakini kutokana na utitiri wa matukio, msinge elewa na ningepata tabu sana kuwalezea mwishoni.
Sijawahi kuwaandikia kuhusu kukutana na Celebrities lakini nimefanya nao kazi wengi sana hasa hawa wakike tena wale maarufu wengi ni washikaji zangu mpaka sasa. Kwa upande wa kiume wengi ni machoko asee hasa hawa presenters [emoji1544][emoji1544], Mungu atusaidie presenters wengi maarufu hawana malinda asee.
Ndugu zangu navyo waambia story nawapa kila weekend muwe waelewa maana kuandika life story sio kitu rahisi, matukio mengi sana huwa nina yaruka na mengine huwa nafuta.
Nikiandika episode lazima niipitie tena kuna vitu vingine huwa nafuta, good news nimeshaandika Epsode zote za kumaliza hii story tatizo ni muda wa kuzipitia tu.
Kwasasa niko busy sana maana kuna Projects zangu naziweka sawa na mwezi ujao nitaanza Masters.
Kwa msilolijua hii story nilipanga kuwaletea toka muda mrefu ila nilikuwa naona uvivu kuiandika na nilianza kuiandika April mwaka huu, July ndo nilianza kuipost.
Na hii ni comment yangu kama ushahidi, kuna ndugu aliuliza kuhusu hii biashara na watu walinisumbua sana PM kuhusu maelezo ya hii biashara ndo nikaamua kuleta huu uzi,
View attachment 2762766
Sidhani hata anafikia 2/10 ya uzuri wa Mary, next episode 20:00
Sidhani hata anafikia 2/10 ya uzuri wa Mary, next episode 20:00