Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mzee watu wa humu jf wanachuki sana mimi imenitokea kwa vitendo na wakati huo sijawahi watukana au kuwakosea...yaani just kwa love tu nikawaletea story na kitu kibaya nikaleta na screenshots kama kuwaaminisha kitu ni kweli bana weeee .....acha tu
We ukisikia unafiki wa kitanzania unadhani ni UPI labda
 
Well said
 
Mzee achana nao nao wajinga hao wengi tunaamin unaongea ukweli tofauti ni kuwa wewe unaweza kuelezea Kwa ufasaha matukio yote
 
Haya maneno nikiongea mm naonekana nina mdomo ila kiufupi watu wengi wa jf ni masikini kuanzia kula yao, vaa yao , ongea yao, elimu zao yaani majitu haya exposure kabisa yani yaani ni mashamba haswaaa..yaani ni matakataka
 
We ukisikia unafiki wa kitanzania unadhani ni UPI labda
Haya mambo unaweza ukazani ni utani watu wakishuhudia ila haya mambo yapo watu wa humu wengi ni matakataka yaani hayana akili na mengi yamejua kusoma yalipo fika darasa la sita
 
Haya maneno nikiongea mm naonekana nina mdomo ila kiufupi watu wengi wa jf ni masikini kuanzia kula yao, vaa yao , ongea yao, elimu zao yaani majitu haya exposure kabisa yani yaani ni mashamba haswaaa..yaani ni matakataka
Sio wote specify Mimi sio mjinga au mtu wa kumtukana au kumbishia mtu kitu ambacho sikjui na hata km nakijua basi sio lzm nimkosoe...... Nakaa mbali
 
Huna baya kaka angu binafsi najifunza sana... achana na hao wagumu kuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…