Kumbe Kuna wendawazimu humu 😂hivi wanathubutu vp,na kwa ujinga wao walifikiri utawatumia kweli?!Nimefunga PM watu hawana point ni usumbufu kuomba picha za Iryn, nikimaliza story nitafungua.
Nitaandika email
niandikie email yako kakaNimefunga PM watu hawana point ni usumbufu kuomba picha za Iryn, nikimaliza story nitafungua.
Nitaandika email
Kwa Nini usiandike kitabu? Trust me utatajirika.muda sio mrefu na Junior hatapata tabu maishani.Work on it.We sema tu mwendelezo wa hii story utakuwa kwenye kitabu toa no zako ingia kwa wanaodeal na vitabu uza idea mbona baada ya muda ni Mambo mswano??? Fanya hivyo mjeshi InsiderNdugu zangu hii weekend ilikuwa tough sana kwa upande wangu ila niliwapa Episode 4. Kesho nitawapa Episode 2 then ratiba itaendelea kama kawaida, mimi pia namajukumu ya kufanya. Junior anahitaji matunzo na Pesa so lazima nichacharike kama mzazi.
Kitendo cha kuwapa epsode kila weekend ili niwe na muda wa kutosha wa kuwapa story nzuri huku nikihakikisha siruki matukio.
Insider niko jikoni kuweni na subira,
Unamlipa sh.ngapi? Ungrateful people like you are so dangerous in lifeAfu huyu INSIDER mwanzoni alikuwa anasema Iryn alikuwa anamuita gentleman,,,,ila huo u gentle hatuoni hapa mana aliahidi mwenyewe atakuwa anatoa episodes ijumaa,jmos na jumapili ila jmos hakuna kitu na jpil pia,,,huo ndo u gentle gani sasa akati you can't keep your promises
Anza kwanza wewe kumlipa kwa alichosimulia tokea ep1 had sasa ep59. Acha maneno mengi!Kwa Nini usiandike kitabu? Trust me utatajirika.muda sio mrefu na Junior hatapata tabu maishani.Work on it.We sema tu mwendelezo wa hii story utakuwa kwenye kitabu toa no zako ingia kwa wanaodeal na vitabu uza idea mbona baada ya muda ni Mambo mswano??? Fanya hivyo mjeshi Insider
😂We Mdigokhan Hii nafasi ungepata tungehesabu mengine ww ni balaaKwanini ulimla mate mwenzako…
Insider kama hukumdinya Irny before basi naomba fanya lolote kwenye hii story umdinye tuu.
insider man
nakuomba kaka epsod ya kumla iryn, tafadhal ielezeee vzur sana kwa utuliv mkubwa,,ulivyoanza na ulianzia wap na ulianzaje mpka ukaweka mhogo,jins alivyokuwa analalamika mpk mwisho wake na hapa kaka jitahid epsod nzima iwe ya kula tunda tu hakuna cha sm sijuw ulipigiwa ikakatisha mambo, yani hapa tunataka tufaid ote wanaume tutakaosoma hio ep;maana tunakatabia ketu ss me kakutengeneza kaclip ukiwa unasoma ep special ka hiyo tunayoisubili kwa ham sana;..tafadhal kaka utulie kabsa uwe na utuliv kabisa wa hali ya juu:
niandikie email yako kaka
INSIDER MAN Ukipost muendelezo naomba unitag
Kwa Nini usiandike kitabu? Trust me utatajirika.muda sio mrefu na Junior hatapata tabu maishani.Work on it.We sema tu mwendelezo wa hii story utakuwa kwenye kitabu toa no zako ingia kwa wanaodeal na vitabu uza idea mbona baada ya muda ni Mambo mswano??? Fanya hivyo mjeshi Insider
Everything goes with research......Kwa Nini usiandike kitabu? Trust me utatajirika.muda sio mrefu na Junior hatapata tabu maishani.Work on it.We sema tu mwendelezo wa hii story utakuwa kwenye kitabu toa no zako ingia kwa wanaodeal na vitabu uza idea mbona baada ya muda ni Mambo mswano??? Fanya hivyo mjeshi Insider
Extract hizi episodes, kuna site nzur za kupost kama pdf then unauza kila episode 500. Wanunuaji waswahili kabisaaa wasoma story za magazeti.Idea nzuri, episode zilizobaki mtalipia bhasi[emoji23][emoji23]
Kwendraaaaa funga sasa hiviNami nafunga pm aisee, wasije wakanisumbua baadaye, japokuwa sahv hawajaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye usumbufu wake afanye sasahv
Sent using Jamii Forums mobile app
Extract hizi episodes, kuna site nzur za kupost kama pdf then unauza kila episode 500. Wanunuaji waswahili kabisaaa wasoma story za magazeti.
Wasiliana na MimiKama sites gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitafuteni mapema jamn, siku zimebaki chache nafunga piemu yanguKwendraaaaa funga sasa hivi