Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Duh! Mkuu! Una phd ya dogs? au? Maana, si kwa lecture hii!Inategemea na unahitaji kwa ajili ya nini mKuu.
Kama ni Family Dog, chukua wale pet dogs, Border collie na wakina Golden retriever.
Kama ni Part family, part security basi Chukua German shepherd au Belgian Millnois mkuu. Hata wakina Boerbels na Rotweillers wanafaa sema hawa aggression yao inashinda IQ yao. Inahitaji ukaribu na upendo mwingi na wanapakia sana.
Kama ni Kuwinda chukua wakina Kangaal, greyhounds, ridgeback au wakina Pitbulls kutegemena na unachowinda.
Kama unaogopa gharama basi chukua hawa stray au local dogs, hawachagui vyakula,wanahimiri magonjwa na wasikivu sana.
Habari lifisi weyeee nakusalimiainsider man
nakuomba kaka epsod ya kumla iryn, tafadhal ielezeee vzur sana kwa utuliv mkubwa,,ulivyoanza na ulianzia wap na ulianzaje mpka ukaweka mhogo,jins alivyokuwa analalamika mpk mwisho wake na hapa kaka jitahid epsod nzima iwe ya kula tunda tu hakuna cha sm sijuw ulipigiwa ikakatisha mambo, yani hapa tunataka tufaid ote wanaume tutakaosoma hio ep;maana tunakatabia ketu ss me kakutengeneza kaclip ukiwa unasoma ep special ka hiyo tunayoisubili kwa ham sana;..tafadhal kaka utulie kabsa uwe na utuliv kabisa wa hali ya juu:
Wameuza soul kwa Lucifer ili wawe famous international....
Hata hawa iringa sherfad (bibi,Popi)nao ni wazuri kwa matumizi ya kawaida kama hutaki mambo mengi maana nao wakiwa trained wanakua poa pia.Inategemea na unahitaji kwa ajili ya nini mKuu.
Kama ni Family Dog, chukua wale pet dogs, Border collie na wakina Golden retriever.
Kama ni Part family, part security basi Chukua German shepherd au Belgian Millnois mkuu. Hata wakina Boerbels na Rotweillers wanafaa sema hawa aggression yao inashinda IQ yao. Inahitaji ukaribu na upendo mwingi na wanapakia sana.
Kama ni Kuwinda chukua wakina Kangaal, greyhounds, ridgeback au wakina Pitbulls kutegemena na unachowinda.
Kama unaogopa gharama basi chukua hawa stray au local dogs, hawachagui vyakula,wanahimiri magonjwa na wasikivu sana.
Duh! Kwahiyo mbwa mzuri yupi, kwenye kufuga?
Umemiss matusi wee fisi[emoji28]Insider kama hukumdinya Irny before basi naomba fanya lolote kwenye hii story umdinye tuu.
Mawazo ya fisi yamekaa kulakula tuuYaani kama hajamla Iryn hii story inakosa maana kabisa ajue [emoji38][emoji38][emoji38].
Alaf leo nimekuona Palm Village kweli[emoji28][emoji28]Siwezi kuandika kitu kwa kufurahisha mtu nitaandika kilichotokea kweli,
Mawazo ya mafisiVijana wangu mna Arosto sana nimecheka sana [emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1544]
Alaf leo nimekuona Palm Village kweli[emoji28][emoji28]
Hivi maana ya kuuza soul kwa Lucifer ndio maana yake niniWameuza soul kwa Lucifer ili wawe famous international....
Milioni 3 zote kununua mbwa [emoji15] nyiee kweli watu mna pesa za jumla na rejareja[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Aseeeeee!!Kuna mbwa hadi wa 5M na zaidi
Hivi maana ya kuuza soul kwa Lucifer ndio maana yake nini
[emoji52]Hali ni mbaya mtu yuko tayari akupe million 5 kisa umfumue marinda [emoji1316][emoji1316].
Ukiwa dereva wa Uber kukutana na hawa watu ni kawaida inabidi uzoee, na wanatongoza Wanaume kabisa. Wamenisumbua sana hawa watu enzi zangu kuna wengine maarufu tu huko mitandaoni.
Bora Bongo umeenda South Africa? [emoji1544][emoji1544]
utasikia Uncle nipeleke Tips
Aseeeeee!!
Basi nimekufananisha [emoji28][emoji28]Leo nilikuwa Masaki toka asubuhi na nimerudi home kwa kutumia barabara ya Sinza.