Weeee sema kweli!! Nilikua sijuiiiiii eti!!Bestie acha zako mbona hela ya mboga hio
Huu mwenendo wake unatia mashaka sana..et anapenda kuwaangalia wakitembeaEeh asije Anza kuwambato🤣🤣
hawa mbwa wakiwa wakubwa huwa kama ndama kudadeki mkono wake ni mkubwa sana wana nguvu mnoo.Hii ni kweli Mkuu.
Kwenye hii category wapo pia Pitbulls [The most dangerous dog breed], Boerbells, dogo argentino na Cane Corsos.
Halafu wote hawa wako aggresive sana, hua wana attack kwa intentions za kuua [Kuhakikisha victim amekaa kimya] na sio kungata kwa warembo wakina German shepherd.
Boerbels on the other hand, ni wapole sana ila wakiwa trained nae ni hatari sana. View attachment 2765247View attachment 2765245View attachment 2765246View attachment 2765248
Watu mnaubobevu wa habari😁😁Whozu anapokua amesafiri ndo kanaplay part yake [emoji23]
hatari sana basi, sasa mbona wamarekani wanawafuga sana? Mkuu ebu anzisha thread ya mbwa maana huku tunachanganya mada.Wale ndo hatari zaidi ni wakukaa nao mbali afu wakichelewa kupewa chakula kwa wakati hawachelew kupoteza kumbukumbu wakakushambulia hata wewe unae wafuga
Wameuza utu wao kwa shetaniUpate mafanikio au umaarufu ila umejitoa sadaka kwa shetani ndo maana yake. Na hawa watu wanalipwa na pia lazima wahakikishe wanaongeza wadau kwa mbinu yoyote ile.
eeh tukute tunajadili mbwa tukiwa tunasubiria muendelezo wa story yetu inayoongoza kwa sasa JF...Sahivi tukae na Mbwa hadi wiki tatu hivi ndio Mwanzmdishi aje au mnasemaje wakuu!?
Kuna aina Nyingi ya Pet dogs mkuu, Ila ambao wako popular zaidi ni Maltese na Japanese spits.Wale Mbwa weupe wadogo wadogo kama paka vile wana manyoya mengii kama yule (Happy walker) wanaitwaje na bei yake kama kuna mtu anajua tafathali Village-in akanyambasira Mtu chuma azyzy omary
Kwann mzee.si knyamahapo kona hio nyumba si ya mama spika
Evening broh
Dah! Hatari sana. kama hao rottweiler nikiwachukua wakiwa wadogo kabisa nikawakuza hadi wakawa wakubwa. Je, watakuwa na madhara the same as nilioanza kuwafuga au kuwachukua wakiwa washakuwa wakubwa tayari?Fuga hawa hawa wa kienyeji. Afundishwe tu sheria za ulinzi. Anakuwa mzuri sana.
Hao wengine wote hao rottweiler, German shepherd wote ni hatari sana. Wengi wanajizungumzia wao lakini ni hatari sana kwa watoto. Hasa watoto kuanzia umri wa kutambaa mpaka kutembea pale,huwa unaweza ukashangaa unapiga story mtoto amekutoroka amemfuata mbwa. Umri huo wanapenda vya kucheza navyo,hasa vinavyo-sogea vyenyewe. Kuja kushtuka wewe kuzunguka nyuma unamkuta mtoto vipande vinne.
Ukifuga hao mbwa ni wa kuwa makini sana nao.
HV seriously kbsa mtu anakufata pm anaomba picha ya iryn , mbna Kuna watu viazi humuNimefunga PM watu hawana point ni usumbufu kuomba picha za Iryn, nikimaliza story nitafungua.
Nitaandika email
Pple aren't serious!! [emoji16][emoji16]HV seriously kbsa mtu anakufata pm anaomba picha ya iryn , mbna Kuna watu viazi humu
How are you