Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ndugu zangu habari nina Ombi naamini kuna wazazi humu ndani.

Kuna tatizo sasa kuhusu NHIF hasa kwenye Bima za watoto masharti yameongezeka na utaratibu wa kuwaandikisha watoto umebadilika.

Kuna watoto 10 ambao Iryn alikuwa anawalipia bima sasa nimejaribu kufuatilia utaratibu imekuwa ngumu sana na bima zao zime expire tayari.

Kama kuna mtu anaijua kampuni ya bima inayoweza kukata Bima za watoto naomba msaada kwa hili, NHIF wamezingua sana nafikiri hawajaangalia upande wa watoto yatima ambao wanasaidiwa.
Check na na jubilee insurance..wana package za watoto..kwa levels tofauti kulingana na mfuko wako
 
Kurefusha story hahahaaa[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!!
Ngoja tusubirie tuone itavokua itabidi siku akiweka scene ya kumla Iryn asimulie the whole process !!
Asieleze kila kitu itakuwa kama naangalia porn naishia kupata tabu na kile chama nisharudisha kadi kitambo
 
Asieleze kila kitu itakuwa kama naangalia porn naishia kupata tabu na kile chama nisharudisha kadi kitambo
🤣🤣🤣🤣! Afanye hivo buana make Iryn ndie anaenogesha hii story!!
Na Hapo tu ndio watu wanaposubiria kwa hamu Ndiomana hata akisema amemla Sijui mary sumaiya lucy Cammila mama wa2 watu hata hatushtuki ...!
Iryn ana uspesho kiukweli!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Afanye hivo buana make Iryn ndie anaenogesha hii story!!
Na Hapo tu ndio watu wanaposubiria kwa hamu Ndiomana hata akisema amemla Sijui mary sumaiya lucy Cammila mama wa2 watu hata hatushtuki ...!
Iryn ana uspesho kiukweli!!
Najua ataweka kila kitu in detail tusubiri ila mjue Iryn akiliwa picha ndio inaisha.
 
Back
Top Bottom