Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Eva inabidi ajifunze kubalance shobo imagine ungekuwa na mama j,salamu tu ingetosha maswala ya mimba angemuuliza besty yake[emoji2955][emoji2955]kanibore
 
Chai ya mdalasini na kashata huwa tamu sana acha tule story
 
Chai ina viungo vingi sana kwa sasa acha tule na kashata
 
SASA KAMA ANAKUOANGA MBONA UMEKAZA MAKALIO KUISOMA MUDA WOTE SI UNGEISHIA EPISODE YA 30 UKAAMSHA. KUTWA KUCHWA UMEKAZA MAKALIO KUIFUATILIA. KAMA CHAI UKIIONA IKAUSHIE USIIFUNGUE SIO HADI UCOMMENT HAPA UMELAZIMISHWA? PUMBAVU KABISA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na angefanya hivyo tu hata lyrn mwenyewe angechomoa betri...uaminifu ni kitu kizuri kuliko tamaa.... Watu wa kaliba yako nyinyi ndio wauaji,madhulumati na wasaliti wakubwa pesa utazikwa nazo?
 
Eva alikuwa sahihi maana hata mimi nikimwona dem wa mshikaji wangu lazima nimsalimie.

Kumsalimia sio mbaya ila aina ya mazungumzo ndio Cha kuzingatia. Eva kaleta balaa kwenye bustani Yako Mkuu.

Hapa Kuna SoMo kubwa sana. Ukimkuta mtu mnaefahamiana nae yupo na mtu mwingine, jitahidi kutokuleta story zaidi ya Salam vinginevyo huyo jamaa aanzishe mwenyewe.


Imagine inapigwa na kitu kizito ambacho hata mimba yenyewe ilishatoka. Nani atakuelewa hata ukujieleza? Sema Iryn sio mswahili hii habari ingeweza kumfikia Mama J. Kwa upande mwingine Iryn alikupenda sana na alikua na wivu juu Yako. Hii siku alitaka avunje ukimya Bahati sijui mbaya au nzuri Eva kavuruga upepo.

Watu8 njoo tufanya kikao Cha dharura hapa na kapten
 

Na ndio maana wewe sio INSIDER MAN
 
Wewe unaona kama alikaa sana ila ilikuwa ni chini ya dakika 3 tu, na sio alikuwa anaropoka alikuwa anaongea taratibu tu. Sema Iryn alikuwa makini maana baada ya kusikia shem…

Naomba tumalizie hii story boss maana dah inapoelekea inakera sasa honestly wote humu tunataka kujua kuhusu iryn kama ulishaiandika hadi mwisho ipitie pitie tumalizane nayo tujue ulimla iryn au la maisha yaendelee
Kwa mara ya kwanza nimetamani niingie kwenye simu nikufate huko huko nikukoe makwenzi[emoji35]
 
Kuna chimbo lipo hapa Salasala linaitwa Poripoa ni hatari, kama unakwenda mwisho wa lami. Pametulia sana [emoji1544]
Toka awali nilikuambia wewe ni muongo na hii chai umetunga..asa members wameanza kuona uhalisia wako..

Madereva teksi nawajua vizur mnapenda sifa za kijinga na waongo sana nyie...wewe ni dereva taksi na mtungaji mzuri wa story..Kwan ukisema story ya kutunga unapungukiwa nini Hadi ukaze shingo hapa kudanganywa watu..poor you
 
INSIDER MAN upo vizuri mno ila jaribu kutokurudia rudia maneno 'kwa upande wake/wangu. Limekuwa so monotonous kwenye uandishi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…