Bro, Issue sio kwenda kampuni nyingine issue ni kuwa yuko connected na Mama Janeth na yeye atakuwa curious kumfahamu Iryn lazima afanye njia yoyote kuprove kile ulikuwa unasimulia Hapo hapo ndo kitaharibikaAhsante kwa ushauri bro but huyu mtu anakwenda ofisi zingine kabisa sio kampuni hii, but nitayafanyia kazi mawazo yenu.
Nime ku PM mkuu wanguUsiogope bro! Am very careful but siwez ogopa mtu sababu ya hii story na nina mpango wa kuchapa kitabu niweke kwa shelf,
Hiki kipande kimeharibiwa na Eva INSIDER anakumbuka makosa aliyofanya hofu ipo kurudisha mkopo wa mama 2 maana kibarua kipo mbioni kuota nyasi.
Kama chai pika yakoKwenye hii chai.
HICHO KIBAO KITAJULIKANA KAMA KIBAO PATANISHI
Isije tu kua ile comment ya Lryn kufariki mhhh hapana hapana.ANNOUNCEMENT
Nitarudi kwenu kumalizia hii story pindi nitakapo maliza kuzipitia Episode zote. Hapa sasa nitaanza kuzipost na story itaishia na Episode ya 70, tuna Episode 8 tu zimebaki.
Niko busy na kuweka mambo sawa maana mwezi huu natarajia kuanza Masomo yangu ya masters Mungu akijalia uzima.
Kwa wale ambao mna ni-Pm nashindwa kureply mtanisamehe maana nakutana na message nyingi sana ila nitazijibu. Nikimaliza hii story wale wenye maswali nitawajibu, wale ambao mnataka kufanya biashara lakini hujui location tutapeana connection.
Kwa wale ndugu zangu “Ladies” kama mpo humu ndani mliomba ile nafasi ya kazi kuanzia kesho mtapigiwa simu kama utakuwa una qualifications nzuri, na Interview itakuwa Jumamosi na ukibahatika kuitwa utaweza kuonana na Mama Janeth na Lucy LIVE.
Naomba muwe na subira mambo mazuri yako njiani, mpaka sasa aliyepatia kuotea mwisho wa hii story ni mmoja tu na aliotea mwanzoni kabisa wakati mambo hayajaanza kukolea. Huyu nitaitafuta comment yake na nitampa zawadi sijui kama bado yuko online.
JIONI NJEMA.
Lucy apewe maua yake kamshauri sana INSIDER ila jamaa hakushaurika sasa ndio anaomba ushauri naimani Lucy anaweza kuwapatanisha na boss lady
nipike ya nn wakati ipo ya bure hapa.Kama chai pika yako
KabisaKila mtu atakufa
Brother suala la Fursa angalia njia nyingine inawezekana umepost kwa mazuri lakini you have to be careful, hata kama ni kampuni nyingine rafiki wa mama Janeth, think
Mimi kama mwenyekiti wa kamati ya Roho mbaya hizo CV acha nazo na usithubutu kuonana na watu wapya nje na unaowajua, kama mazungumzo weka email, unakumbuka ulilamika walianza kuweka personal ishu zako??
So kila mtu ana jema kuna mwingine hapo anataka kufanya Research tu, sikiliza ushauri wa wana huko juu hata mimi naunga mkono.
una Roho ya kusaidia but try it on another way. Wewe ni classmate wangu lazima nikushauri, hizo CV zipige chini.
chukua kama lilivyo usiache kitu heri kuwajua kunguni 10 ila sio humu.Got you bro Ahsanteni ndugu zangu kwa ushauri sikuwaza deep sana, zebri said Fohadi Village-in miles45 A man with no name nknk
Good.Got you bro Ahsanteni ndugu zangu kwa ushauri sikuwaza deep sana, zebri said Fohadi Village-in miles45 A man with no name nknk
Kaka ni.eonaa habari za next week huko juu, asee hiyo adhabu ni kubwa tafuta namna, hata utuchape vi episodi viwili kabla ya j pili..[emoji52]Got you bro Ahsanteni ndugu zangu kwa ushauri sikuwaza deep sana, zebri said Fohadi Village-in miles45 A man with no name nknk
I'm good if you good to me....but I'm so harsh if you act harsh on me....na navurugwa kweliii....thus how we people on northern tz were born it's our nature....so I'm real heshimu maoni yangu nami nitayaheshimu yako[/QUO ACHA KUTISHIA WATU
Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KUTISHIA WATU KAMA CHAI UNAIFUATILIA YA NINI?I'm good if you good to me....but I'm so harsh if you act harsh on me....na navurugwa kweliii....thus how we people on northern tz were born it's our nature....so I'm real heshimu maoni yangu nami nitayaheshimu yako