Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mwanao anasema haogopi mtu hapa jf. Mwambie kuna wafukunyuaji na roho mbaya zaidi ya mange kimambi
acha uchawi mkuu, acha watu wapewe connection, nyie ndo mkipataga vihela mnataka ukoo mzima uwaabudu.
 
Niite franckkimm..... A.k.a the REDFROG.....tutampinga INSIDER MAN....mpaka akiri hii storiii Ni fictional TU!!!!!....pia atoe lile neno TRUE aweke FICTIONAL Hilo tuu!!!....pia mwambieni huyo ndugu yenu na moderators waache kufuta comments zangu kwenyee huu uziii....natoa maoni yangu binafsi why ufute comment Kama situmiii lugha ya matusiii????.....#JUSTICE.....
unateseka kutokea wapi ndugu...
 
Brother suala la Fursa angalia njia nyingine inawezekana umepost kwa mazuri lakini you have to be careful, hata kama ni kampuni nyingine rafiki wa mama Janeth, think

Mimi kama mwenyekiti wa kamati ya Roho mbaya hizo CV acha nazo na usithubutu kuonana na watu wapya nje na unaowajua, kama mazungumzo weka email, unakumbuka ulilamika walianza kuweka personal ishu zako??

So kila mtu ana jema kuna mwingine hapo anataka kufanya Research tu, sikiliza ushauri wa wana huko juu hata mimi naunga mkono.

una Roho ya kusaidia but try it on another way. Wewe ni classmate wangu lazima nikushauri, hizo CV zipige chini.
Mimi ni muhanga wa haya mambo kibaya zaidi wengine wakamfata mtoto mzuri akafungue kesi mahakamani ili wanipige hela ..yaani mtu ukisikiliza maongezi yake jinsi anavyo mpanga demu akushitaki hadi unajiuliza huyu jamaa nilimkosea nini hadi anataka kunifanyia hivi.

Uzuri Muhusika alinipenda kweli pamoja na hayo yote alichagua kunisamehe na kuwalamba block wajinga wote na kubaki na mimi. Tupo vizuri now
 
Kama walivyokuharibia kwa ile pisi yako[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Bora hata wangeharibu tu basi ila watu wakaanza kumfundisha pisi jinsi ya kunishitaki mahakamani na atalipwa fidia kubwa ambayo wangegawana.

Fikiri unaanza kuhuzuria mahakamani ndugu wanajua,mke,watoto familia na jamii yako yote kwa kisa kama kile mkuu

Manzi alikua anawarekodi alafu ananitumia unakaa chini unajiuliza huyu jamaa nimewahi mkosea nn hadi anifanyie hivi......? Watu wanaroho mbaya shetani akasome.

Ila ndio hivo pisi alisamehe na tukayajenga now tupo vizuri sana kuzidi hata huko nyuma ningekua sijaoa ningemuoa
 
Bora hata wangeharibu tu basi ila watu wakaanza kumfundisha pisi jinsi ya kunishitaki mahakamani na atalipwa fidia kubwa ambayo wangegawana.

Fikiri unaanza kuhuzuria mahakamani ndugu wanajua,mke,watoto familia na jamii yako yote kwa kisa kama kile mkuu

Manzi alikua anawarekodi alafu ananitumia unakaa chini unajiuliza huyu jamaa nimewahi mkosea nn hadi anifanyie hivi......? Watu wanaroho mbaya shetani akasome.

Ila ndio hivo pisi alisamehe na tukayajenga now tupo vizuri sana kuzidi hata huko nyuma ningekua sijaoa ningemuoa
Aiseeee, kuna watu majuha sana humu kama hali ilifikia hivi.
 
Kuna Time JF inakatisha sana tamaa kutokana na tabia za wachache
Fikiria Mwana alishadhamiria kuwasaidia watu humu. Sasa tena atalazimika kugairi

Mkuu @insiderman kama lengo ni kusaidia kweli I plead you usikatishwe tamaa. Angalia tu namna bora ya kuzungumza na muhusika if at all kama alikua anawaza kufatilia na ku expose ya humu Asithubutu kufanya hivyo na by the way mtu alieyekwenda shule na jitu zima haitaji rocket science kuelewa hili.... After all kwanza umemsaidia pakubwa

Ndugu zangu watu tunaoishi nao huko huko uraiani ndio hawa tunaowaona humu labda tofauti tu ni nicknames. Tushindwe kusaidiana kisa Fear of Expose?? Hapana siyo kweli ndugu zangu

Binafsi naamini watu wanaojielewa wapo humu kama tu nilivyo mimi na ukiwa na mentality hiyo utakutana tu na wanaojielewa pia that's how life goes. Unajisikiaje siku umemsaidia mtu na amefika stage anatoa ushuhuda humu kwamba dah jamaa we just met at JF but today we are like bloody bro or sister?

Tuache mentality mbaya ndugu zangu na by the way humu watu wengi sana wameshaonana na kufahamiana and they just socialise more than words to say

Insider go ahead but make sure you make ultimatum agreement with the one ili aki saliti na umemsaidia alaaniwe kabisa 😂

hakuna mwenye wivu ndugu isipokuwa tumempa tahadhari ili mambo yake yasiharibike huko mbele. Hivi unawajua wanawake au unawasikia? Tena wanaofanya kazi za saluni unajua walivyo wambea? Eti afanye siri na asipofanya siri je utamfanyaje? Nakuhakikishia akiajiri mtu aliyetoka huku JF ni lazima atasema tu.
Yeye mwenyewe ndie kakosea kwani kama angetafuta msichana kwa kutumia ID nyingine tena kwa kufungua uzi mwingine tu huko kwenye forum ya urembo nani angemjua kama ni yeye? isingekuwa rahisi lakini kwa hapa alivyoiweka hilo tangazo la kazi kwa ID yake na katika huu uzi wake mwenyewe basi ajiandae tu kuharibiwa CV yake yeye mwenyewe!!
 
Mimi ni muhanga wa haya mambo kibaya zaidi wengine wakamfata mtoto mzuri akafungue kesi mahakamani ili wanipige hela ..yaani mtu ukisikiliza maongezi yake jinsi anavyo mpanga demu akushitaki hadi unajiuliza huyu jamaa nilimkosea nini hadi anataka kunifanyia hivi.

Uzuri Muhusika alinipenda kweli pamoja na hayo yote alichagua kunisamehe na kuwalamba block wajinga wote na kubaki na mimi. Tupo vizuri now
Wanasema "sio Kila anae kuchekea anakufurahia"
 
Kwa sababu irene ameonesha nia ya kumtaka irene na insider kamuweka irene kwenye mabano yaani awe nae sawa na asipo kuwa nae sawa .

Wakati huo irene anajiona yeye ndio anampenda insider na anamtaka na haya maji alisha yavulia nguo tangu ajue insider ameoa na anamtoto lkn hicho hakikua kikwazo bado irene aliendeleza mapambano.

Ni wazi kwamba hili la akina prisca haliwezi mtoa kwenye reli lita mstress tu lkn nia haifi .labda insider utudanganye.

Na mwanamke akisha kupenda anapenda ukweli na irene kampenda insider ukweli hajamtaka kwa sababu ya njaa ila ni naturally love. So nothing can stop her.

Na hadi hapa irene mwenyewe atajihukumu kwa kazi yake ya masaji hivyo ita regulate na Visa vya akina prisca yaani vita ji cross multiplication vitakua resolved. Hivyo bidada atapata nguvu mpya na sababu mpya ya kuhakikisha insider wanaingia nae kwenye mapenzi.

Hadi hapa Lucy ajiandae kuwa na special mission kuhakikisha irene na insider wanaanza kudinyana na ili mambo yake yaende vizuri na atafanya hivyo

Hadi hapa irene bado ni wa insider bado hana sababu ya msingi ya ku give up
Kibongobongo sawa ila wanawake wenye element za Tabia ya ki Europe sahau basi ina maana basi unless otherwise
 
Hii siyo chai naamini kwa asililimia 100%,
Kwani story imekaa kwa mpangilio mzuri wa kueleweka tofauti na hapo Kama ni chai ungekuta kashajichanganya sehemu pia kwa wakati mwingine Kama binadamu kwa matukio yaliyo pita waweza Changanya.

Maswali wanayouliza wanao sema ni chai ni ya kawaida mnoo
Mf:Hili la kwa Mzee Pama Insaderman kuweweseka ni kawaida mnoo, unaweza kutana na mtu Maishani mkashibana kuliko ndugu au mzazi akawa Kama Mzazi Rafiki na Mshauri kwa wakati mmoja kwanini usiumie akitoweka .
Kaka yangu alifiwaga na Rafiki yake akawa Kama mwehu ,akawa anasema heri angekufa yeye,haya yapo.

Hili la kwa Lyin hata Mimi nilisha lifanya,Nimechukua chumba na demu tena nilikuwa Bachela ,kufika ndani katika story akaniuliza kabila nilipo mtajia akasema hapana silali nakuogopa akataka kuondoka usiku saa Saba na madakika nikamwambia kwanini uondoke ukivamiwa na vibaka usiku huu au likitokea tatizo ntaingia matatani na ilionekana nimeondoka na wewe ,akakubali ushauri akasema tulale ila tusifanye chochote nikakubali ,kweli tukajifunika shuka moja mpaka saa kumi na moja ndio anaanza kuniangalia anatabasamu Mimi kimya, Mara aniwekee mguu Mara mkono anishike mb-o akakuta kitu kipo chuma
Ila ndio sitaki nikamwambia tuheshimu makubaliano akaanza tena kuchukua akanipokonya na simu alipoona nipo bize nayo na bado sikupiga
Saa kumi na mbili huyo nikaingia bafuni nikaoga nikamuaga naondoka nikachukua simu ,akuamini akaanza kujiliza Mimi huyo nikafungua mlango nikang`oa .
Ilikuwa tukionana hataki kabisa tukutane kwani hakuwa anaishi mbali

Kumbuka Lyin na Insaderman ni mtu na boss hivyo alivyo ambiwa simu inaita ata yeye mwenyewe alikuwa anaisikia hivyo ile kauli na kweli unapoishika simu na ujumbe unaokutana nao unakutoa kwenye Rali ,kwani pia unakuwa na wasiwasi naweza nikabaki na nisile Tunda kwa kauli ya pokea aua usikii simu unawaza pengine ni namna ya kunitoa kwake ,na pia aliyenipigia ananihitaji kwanini asimpigie mwingine lazima uone Kama wewe nu msaada kwake hata alipo mweleza Lyin angejibiwa achana naye njoo tuinjoy.

Pia swala la lyin kutoa laki tatu ni kawaida Sana kwani ali msaport Insaderman Mara nyingi watu wanaojitambua huunga mkono swala jema ukizingatia hela anazo na ndio maana anafadhili hata yatima.

Mtu mwenye Roho mbaya na Mchawi Daima hapendi kumwona mwenzake akipiga hatua au akipitia katika kipindi kizuri katika maisha na ndivyo ilivyo hapa Jf watu wanaumia Sana .
Pia watu wapumbavu wasiyo elewa maana ya maisha na kudhibiti pamoja na kuheshimu hisia zako na za mwingine wanachukia na kufura kwa tukio la kutokuliwa kwa Lyin au inapotokea wapo katika hali flani wanakatishwa na Jambo flani hilo lipo tena Sana tu,Alafu unakuta ni mwanamke mmoja mpaka unawaza labda Kuna kitu Mungu ananiepusha nacho.
Mwisho Kuna upumbavu kiwango cha lami watu wanauliza swali ni kweli ni haki yako unajibiwa bado unakaza hukubaliani na majibu huu ni zaidi ya upumbavu kwani una majibu yako na haupo tayari kubadilika na ndio maana ya mpumbavu hafundishiki.

Mimi binafsi naona hii ni story ya kweli kwani hakuna swali lililoshidwa kujibiwa na pia hakuna maruweruwe kwa walio makini kwa ufwatiliagi au kisa kilichojitokeza gafla bila mtiririko wa story
Ilivyo ndefu nikajua episode 62
 
Nashukuru tu nilikutana na mwanamke muelewa wangekua ni hawa wa fursa sijui hali ingekuaje. Kupitia hayo maumivu nilio yapitia ndio maana namuonya sana insider asije akafanya hicho kitu kuna watu wanaroho mbaya mnoo roho za kuharibu
Andaa Uzi kuhusu Hilo tukio
 
Back
Top Bottom