Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

acha uchawi mkuu, acha watu wapewe connection, nyie ndo mkipataga vihela mnataka ukoo mzima uwaabudu.
Hapa ni jf center ya watu wa bad. Watu aliowapa muongozo washaanza kutoa siri zake humu. Sanuka hapa ndio maana haturuhusiwi kujianika kila kitu.
 
Hii tabia ya hawa wafuasi wa muandishi alafu wanatutusi inanikera sana!!! Wasihisi tukiamua kuwatafuta tutashindwa

Kama hii ni chai ni chai tu! Inaviashiria vingi kuitwa chai na hawaamini!! Mimi nasoma sana story za watu kama kina sidney sheldom yule mzee akiandika kitabu unakiishiii na unapinga kama ametunga!! Afl kuna mtu anakumbuka matukio ya mwaka juzi j5 saa 6 usiku anakwambia ni TRUE STORY anakichaa kabisaa na akapimwe akili
 
Mkubwa ulichezea banzi,unaleta kamdomo akati watu wamemind[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Why some of your readers are insisting this a fiction? It is because, had it been a true story, by this minute, Mama Jr, Priska, Mary and Irene either all or one of them would have sniffed it by now; either through reading it here or being told by a third person. I guess so because you have deeply exposed yourself
 
Umehisia vizuri ila unafeli kwenye mambo mawili ,nayo ni-
(1) Story kuwa ndefu ni chai?
(2) huja ainisha uongo wa mwandishi.
Alafu sijaona sehemu amerudia tukio.
Hivyo naamini/tunaamini ni story ya ukweli uandishi wake na kutokuwa na uchu ndio sababu kubwa iliyovuta makini ya wasomaji
 
Hiki kipande kimeharibiwa na Eva INSIDER anakumbuka makosa aliyofanya hofu ipo kurudisha mkopo wa mama 2 maana kibarua kipo mbioni kuota nyasi.
Kabisa Eva amezingua sana!
 
Story ukiingozea chumvi that ain't true story anymore Ni obvious Kuna events/matukio utaongeza kwa mwenendo wa kufanya story eiendelee mbele which is not right.....
 
Kila la kheri mkuu Mungu akupambanie na kufanikisha masomo yako IJN!

Wacha tusubirie hizo episodes za mwisho utakapoziweka inshallah!
 
Hapana sio mimi sis hii story nimeisoma imeshaenda sana! Nimeikutia karibia episode ya 18 huko!
Nahisi ni yule alisema Kuwa insider ataenda kusoma haha!! Ngoja tusubirie tuone!!
 
Hamna story za maisha zenye ukweli 100%.

Kuna baadhi ya wahusika hawatakiwi kufahamika kwa hadhira hivyo mwandishi anatwist kidogo kuficha baadhi ya vitu ila content inabaki vilevile lile dhumuni haliharibiwi.

Binafsi naamini pia ni story ya kweli kabisa na ndivyo story za maisha zinavyokuaga.
Wanaosema ni story yq uongo kabisa nao ni maoni yao tu jamaa hana haja ya kuthibitisha hilo.

Hata hivo mambo aliyoandika ni ya kawaida ambayo watu wengi yanawatoa.

Huo mjadala wa chai au sio chai wala sio wa muhimu.
 
Mla Bata wewe ni kifisi lililoshibaaaa hahaha
 
Angalia post za mwanzo kabisa
Rafiki yangu nakupa pole sanaa ila nakushukuru sana maana yapo mengi ya kujifunza. Ninachotaka ujue ni kwamba kweli kila changamoto unayokutana nayo mbele kuna mafanikio so, nimejifunza hivyo maana na mm nimepitia changamoto nyingi hadi nikapata pressure tena ya kushuka but Namshukuru sana Mungu aliyeweka uvumilivu ndani yangu. Ila utafika mbali, maombi ya mama yanafanya kazi. Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na ziwa ulilonyonya, usimsahau mama kwenye kila jambo, umkumbukage mama unapotoa hela kwa wengine anakuombea sana naamini hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…