kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Anatembea na 1m per day mkuu jamaa ni tajiriHakuna mtu Ana stress mnachoshidwa kuelewa ni kwamba .
Mambo anayoongea jamaa hayaendani na uhalisia wa hali halisi ya maisha hata kama unalipwa million 5.
From no where haiwezekani umpe.mtu laki 2 bila mpangilio hapa umetupiga.
Flow yako ya kutoa hela na kupokea imeonekana ni nyepesi.
Jamaa ni chief Godlove aliyechangamka
Wanatuchukulia watoto wenzao humu wakati wengine tunao wanneGharama ila mnazaa na Malaya wanawafanya vitenga uchumi tuna watoto na tunalea.
Tunachoangalia na kuzingatia ni mahitaji ya lazima mfano maziwa lactogen,nguo,unga wa uji kama ameanza kula pampas .
Sasa mnavyotuambia wanamaliza hela hela gani mnaongea nyie.
Acheni Hizo au mnadhani ndo nyie mnaolea peke yenu
Sio kwa 3.5m kwa mwezi lakiniHuyu katoa kwa mlinzi mmoja kuna mwamba mmoja ni mpambe tu wa boss wa hizi timu za k.koo aliwapa walinzi 3 50k kila mmoja wakati huohuo na staff wa bnk wakalamba 100k kila mmoja kuna raia kuacha maokoto kwao sio shda
Mnawafunga nn sasa watoto?Hiyo nadhani kwa jinsi wewe ulivyotengeneza fomula hiyo kwe familia yako sisi wengine watoto wetu hawafungwi pampus ni mpaka wako safari kwa dharura,tunajua madhara ya hizo pampas
Tufanye Review kidogo tulikotoka na tunakokwenda,
1. Prisca nishampiga chini, vipi atakubali kirahisi?
2. Mpak sasa kibarua changu kipo matatani “Boss lady” kawaka sana.
3. Best yangu Sumaiya kaachishwa kazi, [emoji23][emoji23]
4. Mama J atajua sakata la mimba ya Prisca?
5. Lucy kaniingiza choo cha kike nimeishiwa kuchapwa kibao,[emoji28]
What to expect in the Next Epsode? [emoji2371]
KAMBAAA !By the way...... Kuna watu Wana hela sio mchezo kipind nipo IFM om ni sinza tuu apo Ila Kuna dogo alikuwa usafiri wake BOLT...... hajawah panda dala dala na alkuwa anaish sinza A hii iliopo opposite na MLIMAN CITY..... sku moja nkamshawish tupande mwendkas anisndkze UBUNGO maji pale...... Anatka kulia kulivobanana kweny gari[emoji16][emoji16]
Sasa bhn Kuna siku tukiwa campus maeneo ya canteen pale..... Akashangaa mtu anakula ugali na dagaa wa mwanza like what is this? Like seriously!! Nkamwambia hapana kila mtu ana favorite food na maeneo tuliyotokea plus uchumi........
Chai kwa sababu story haina uhalisia hata kidogo! Sio kuna serena kwa bill ya 500kEither kuna watu wanastress and they don't want to believe what they hear or see. Kula brunch Serena , Rotana au Hyatt unajua ni kiasi gani? Kuna watu wana reservation ya mwaka (kila jumapili) na bill siyo chini ya 500,000. Tafuteni hela na wacha kulalamika na kusema hii ni Chai
Kaka wewe ni mshamba pro max!!Leta letaa mkuu isiwe chai tu
Ishu ni maslahi budda,Hata bar za uswahili kuna manager
Kuna watu matatizo yanafuata daily,vipi hiyo ndo kawaida?Kinachonishangaza na kunistaajabisha kwenye huu uzi ni jinsi pesa flow ya pesa zinavyomfuata jamaa, kitu ambacho sio kawaida
Sijui tatizo ni nini?. Daymond ana wengi wanaomchukia,tena wengi vijana. Hawana sababu ya msingi ya kumchukia. Wanamchukia sababu ya mafanikio yake tu
Muda mwingine mtu tumia hata akili kidogo tu. Huu sio kwa u-fans tu kwani kama nyie mnaona haifai kwa nini msiachane nayo tu mkasepa kimya kimya?huwajui insider fans wewe, tulia uone
unaona, wameanza kuja.Muda mwingine mtu tumia hata akili kidogo tu. Huu sio kwa u-fans tu kwani kama nyie mnaona haifai kwa nini msiachane nayo tu mkasepa kimya kimya?
Lini hii next epsod INSIDER MANTufanye Review kidogo tulikotoka na tunakokwenda,
1. Prisca nishampiga chini, vipi atakubali kirahisi?
2. Mpak sasa kibarua changu kipo matatani “Boss lady” kawaka sana.
3. Best yangu Sumaiya kaachishwa kazi, [emoji23][emoji23]
4. Mama J atajua sakata la mimba ya Prisca?
5. Lucy kaniingiza choo cha kike nimeishiwa kuchapwa kibao,[emoji28]
What to expect in the Next Epsode? [emoji2371]
Tufanye Review kidogo tulikotoka na tunakokwenda,
1. Prisca nishampiga chini, vipi atakubali kirahisi?
2. Mpak sasa kibarua changu kipo matatani “Boss lady” kawaka sana.
3. Best yangu Sumaiya kaachishwa kazi, [emoji23][emoji23]
4. Mama J atajua sakata la mimba ya Prisca?
5. Lucy kaniingiza choo cha kike nimeishiwa kuchapwa kibao,[emoji28]
What to expect in the Next Epsode? [emoji2371]
Jinyongee......KAMBAAA !
Anasubir muda wakuwatundika na kuwavuta kama mbuziJinyongee......
Unatundikwa na wewe ukiwemoAnasubir muda wakuwatundika na kuwavuta kama mbuzi