camily
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 257
- 621
Kwa nilichoelewa sio kua watu wanakataa icho kiwango cha fedha, matajiri wapo bongo na wanakula bata hasa..Hawa ndo Maison table ya 12million, lakini kuna Maskini wenzangu humu ndani watakwambia CHAI, na Package yao ndo hii na wahuni walikuwa wanajaza table zote [emoji1544]
View attachment 2772953
Changamoto ni kua insider ni dereva uber ambaye asilimia kubwa yumo kwenye ivo viwanja tena anajitoa out, na kuwatoa watu out[emoji2]...
Apo ndo shida inapoanzia, kua uber wote ni matajiri kiasi hiko.??