Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nimecheka hahahah
 
Wenyeji hapo Ni wazaramo bhna of which hawana madhara yoyote

The rest wote Ni wahamiaji haramu walio toka pande zote za nchi hi [emoji23] kutafuta fursa na michongo
Wazaramo ndio wenyeji wa Dar?

Hayo machimbo yote anayozungukia kijana wetu akipeleka wateja yanamilikiwa na wazaramo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaa ila jf jamani
 
Hapo wa kushtakiwa ni wewe unayeiba na kuuza story ambayo hujaitolea jasho.
 
Itakuwa bado upo na wenge la ban mkuu [emoji23][emoji23]
 
Wacha maneno poti.... weka vitu mezani tuendelee kunyonya!!!....

Huu muda unatumia kujibizana na hiyo Nguruwe!.... Ungekuwa umetuongezea raundi 1 wakwetu. Tuendelee kunyonya!
 
F ....you...
 
Master WAPEKEYE hebu kuwa serious kidogo. umeamua kumchana InSIDER MAN ukweli bila kupepesa kama alivyomfanyia bosslady! nakupa ushauri wa kutunga muendelezo huko whatsapp ili uendelee kula pesa. After all, hadi EP64 umeshamfahamu Insider man na uelekeo wake katika hii Thread. just drive on
 
👆This man is just joking😁 wala msimshambulie kwa maneno makali. Jaribu kufikiria angekuwa anaingiza pesa kupitia hii simulizi je angeropoka kiasi hicho!!
Hata kama ningekuwa ni mm nisinge fanya hivyo, kwani najuwa mwenye stori atazingua.... ..
U made my day!!
🤣🤣🤣🤣😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…