Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Una balaa kama mrembo wa ajabu ....hii kozi masters yake umechukua wapi
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🤣
 
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🤣
Apa maana nna tafakari huu uzoefu ni mdogo......ngoja upate PhD si itakuwa balaaaa 😂😂
 
IRENE....., Code zishafunguka au nitaje mpaka jina lake...., ofisi zake....., Na kwa hyo Bi mkubwa wake ambaye now hayupo TZ[emoji28][emoji28]View attachment 2781966
✅ hii code imefunguka!...

Ni mwenye kuwaza kwa jicho la tatu ATAJUA!....Huyu ni Irene!

Nilishawahi ku-connect dots kwenye story ya jamaa mmoja alikuwa akiitwa The bold humu...

Nikamtajia mpaka majina yake matatu, shule aliyosoma, anapoishi... na anapofanya kazi....

Jamaa alinifuata inbox tukaonana ana kwa ana
.. hakuamini!...

Alinibana sana nimwambie nimewezawezaje!?... Hadi leo Huwa nikimkumbusha Huwa tunacheka saana...

Alisema ...."nilidhani mimi ni perfect kwa vitu vingi sana, nasoma vitu vingi mno...na niko deep kuliko wengine... ila nimekuvulia kofia chief"
 
Apa labdah Mary ndoo ananipa wasiwasi .....awa wengine wapo kwenye system Asmah anapenda kazi yake,,, Sumaiya yupo sehemu nyingine na Vicky sister wake Jane ana mlinda balaaaa
Asmah ni mchepuko wa siri Rebeca alikuwa ana wa spy kumbuka alipewa iPhone kwa ajili ya kuwa spy insideer Sumaiya na Asmah

Marry anaumia insideer kamtenga ndio kinacho muumiza hata Jane kashaliona hilo ndio maana kaamua kumsapoti

Sumaiya kapelekwa kampuni ya usafi kaongezewa mshahara hapo anaamini insideer ndio kafanikisha na anajiweka karibu naye akiwa amepania kumtunuku

Insideer hapa sijui atapangaua vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asmah ni mchepuko wa siri Rebeca alikuwa ana wa spy kumbuka alipewa iPhone kwa ajili ya kuwa spy insideer Sumaiya na Asmah

Marry anaumia insideer kamtenga ndio kinacho muumiza hata Jane kashaliona hilo ndio maana kaamua kumsapoti

Sumaiya kapelekwa kampuni ya usafi kaongezewa mshahara hapo anaamini insideer ndio kafanikisha na anajiweka karibu naye akiwa amepania kumtunuku

Insideer hapa sijui atapangaua vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mwenye maamuz ni insider ya kuwacontrol ngoja tusubiri muendelezo
 
Nami nichangia kwa kuomba ushauri kidogo.
Hii incidence ya Mary kumpenda INSIDER MAN kimapenzi ilhali akijua kuwa jamaa ameishakuwa na mahusiano na mdogo wake wa kuzaliwa tumbo moja kimaadili imekaaje wakuu?
Mimi sio kama INSIDERMAN ila ninakabiliwa na changamoto ya dada mtu kunitaka kimapenzi wakati nilishakuwa na mahusiano na mdogo wake hapo kabla. Kwa sasa hatuko pamoja ingawa bado anaonyesha
Maoni yangu...

1.Kimaadili ni tabia isiyokubalika kabisa, sidhani kama Mtu ukiwa na akili timamu unaweza kula au kukubali kuliwa mtu aliyekula Dada na Mdogo mtu.

2.Kiimani - viungo vya uzazi vinapokutana maana roho za wawili zinaungana, sasa jiulize unayezini naye ana roho ya aina gani, kama ana roho ya mafanikio fresh jichanganye ubebe roho ya mikosi ndio shida itakapoanzia.

3.Kiafya - kitendo cha kukutanisha via vya uzazi inaweza pelekea kupata magonjwa ya kuambukiza, mbaya zaidi jamaa anaonekana ni Mzee wa kavukavu, sasa wewe mfuate jamaa uyavae magonjwa yasiyotibika.

4.Kikawaida - imeonyesha jinsi akili za baadhi ya kina dada zilivyo finyu, tizama Iryn kajua jamaa ana mke, kajua jamaa anatoka na Sumaiya, kajua jamaa alimtia mtu mimba still na yy anaingia humohumo, huu ni ukichaa narudia kusema hata kama moyo unapenda narudia kusema ni ukichaa.
 
Mkuu sasa ngoja turudi kwenye kikao chetu cha dharura na INSIDER MAN...

Mwanamke yeyote ukishazoeana naye kwa kiwango kama ambacho yeye na Genevieve wamezoeana, huwa wanapenda kujua mipaka ya mazoea...

Ukimuonesha kuwa unampenda na kumtamani halafu unachelewa kufunguka, atakusubiri kidogo na ukichelewa zaidi ataendelea na mishe zake (lakini utaendelea kusalia moyoni tu)...

Sasa ndugu yetu kulingana na simulizi lake, bado hajaweka bayana kwa Genev...kwamba mahusiano yao mengine nje ya kazi yaweje na uzuri ni kwamba bibiye kampa chances kibao za kufanya hivyo tokea wanashinda wote enzi za apartments za Kijitonyama mtaa wa Grandvilla...

Katika hali waliyofikia hapo pa huyo bibiye kukasirika, sio kwamba kakasirika INSIDER MAN kuwa na mchuchu tofauti na Mama J, ila kilichomuudhi ni kwamba huyo mchuchu si yeye bali ni Prisca...

So Insider man kama atapata nafasi ya kuongea na Genevieve tena, kitu pekee anachoweza kufanya ni kufunguka kwake kwamba muda wote mtu aliyekuwa moyoni ni yeye isipokuwa aliona kama angeweza kuharibu uhusiano wao endapo angemfungukia na hakuwa tayari kuumiza moyo wake...

Pia amwambie kuwa yeye na Prisca walishaachana (amkandie kimtindo Prisca lakini sio ile sanaaaa)...
A lesson of how to twist a real story into fictional one
 
Mi nimeshaanza kumchukia Jane anavyomshawishi amkule Mary mtu keshamwambia ametembea na mdogo wake halafu bila aibu anamwambia we mkule tu, wanawake wengine sijui wakoje[emoji57][emoji57]
Marry kampenda Insideer tangua mwanzo baada ya kujua wanamahusiano na Prisca nadhani hili lilimuumiza na akanyamaza anakitu moyoni anashindwa kumfungukia hili Jane kaliona na kumuambia Insideer hapa sijui atapangua vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo unamwambiaje Insider kuwa analelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana Mkuu nimekoment kiujumla nikisema Inapendeza zaidiii ad a man kuprovide si kwamba nilimlenga yeye!
 
Kak Sasa hyo kujuwa Ni wapi itasadia nn kwenye story alfu wee Ni bonge moja la mshamba Basi tu hujijui kuwa Ni mshamba sna kupiga picha na Kisha kuhoji hapa HV Ni wapi ?😏 Ni akili unazo au matope umejaza kichwani


Kwanza maliza story yako acha kujifanya unafanya review kila siku ili tu kufikia malengo yako uliyopanga na sijui unapata faida gani kuchelewesha hi chai yako ,kma Ni umaharufu Bado Sana hutapata Happ jamii forum kuwaziid kina mshanna , gentamycine ,pascal na wengine kadhaa ila wewe Bado Sana utakaa Sana Hadi upate umaharufu Kam kina umughaka
 
wengine hawako kama ww, kuna tour guider mmoja alikutana na mama mjane wa kizungu yuko loaded kiquma yaani, mama akamwelewa mwamba na akamchana live anataka kuwa naye, mwamba ana mke mchaga, akaenda akamuuzia mke mchongo, mke akamuuliza kwan anatala umuoe, mume, hapana anataka tu mahusiano, mke, una uhakika ana hela? Mume, mke wangu yule mzungu ana hela kiquma, mke, imeisha hyo, babaa nenda kalete hela acha ufala,
Wazungu wa Arusha ndio zao wanakupa mtaji umpe mke wako alaf umuachie mme
 
Maisha ukiyachekea yanakuchekea, mtu akisinzia chukua nafasi. Maana hata alivyoiacha nafasi kuna mtu mwingine atakuja kuichukua that is how life is. Maisha inabidi uwe flexible na ukubali kuna muda hautokuwepo hapo ulipo.
Acha kuandika upumbafu hadharini kjna
 
Kuna watu Wana bahati ya kupendwa kwenye hii dunia nyie acheni tu!!

Laiti ningepewa nafasi Moja ya kuchagua nikitakacho kwa hii dunia...

Basi ningechagua nafasi ya INSIDER MAN bahati ya kupendwa kulikotukuka na hao viumbe...

Magari, fedha na takataka za kufanana na hizo, umaarufu...n k.....Ningewaachia nyinyi!!
 
Back
Top Bottom