Pilau masala
Member
- Mar 8, 2016
- 33
- 28
Hapana waasherati ni wale hawajaoa wala kuolewa waki do sex hao wanafanya uasheratiKwa tuaokumbuka mafundo ya komunyo na kipaimara maelezo ndo yalikua hayo hayo mkuu uasherati ni kuzini ukiwa ndani ya Ndoa
OkHamna mkuu,demu kisu anajitenga kwenye kuonekana wa kawaida kwa mwanaume rijali yoyote. Anaeweza kuonekana wa kawaida kwa wengine na kwa wengine mzuri ni hawa wa kawaida. Lakini wapo mademu visu,visu kweli kweli. Kila mwanaume mwenye utimamu lazima amuone mzuri.
Kiukweli nimetosheka na penzi lako na Iryn, ni muda sasa wa kuachana na michepuko uirudie familia yako, nilikua sijui kama namkubali sana Mama J hadi nilipofika hii episode ya 68.
dem sengerema sana hili we unaliwa kando unataka kuwa kina sijampenda shes cheap whore af still anataka kwenda kwako kusalimia bla bla nawewe insaida njaa zitakuua mtoto wa kiume mpk unasahau familia sasa ngoja mke akuache uone venye utaokota makopo sipendi mianaume ya bei rahisi isio na msimamo inanunulika na kupelekeshwa mazafanta na hii fiction siendelei tena kusomaRYN: βI know, unafikiri Mzee atafikiri nini wewe usipolala hapa?β
Mwamba huko kote watu walikua hata hawana muda sana, watu walikua wanasoma wakiwa na shauku ya kukutana na Iryn tu. Hauoni siku umeiweka mambo wazi wengine wakasema ndio mwisho wa kufuatilia huu uzi? Sio kwamba walikua wanakubaliana na jambo lako na Prisca ila Kuna kitu kikubwa zaidi walikua na shauku nacho.Kwa Prisca mlikuwa kimya ila kwa Iryn haya yameanza kutokea why?[emoji3]
Khakhakhaaaa!!@Antonnia umeumia sana Kwa mama j,naona comment zako mfululizo....itakuwa umewai kupigwa tukio.kama ya mama j...sio Kwa maumivi unaloonyesha hivi.
Khakhakhaaaa!!
Haya mambo yasikie tu kwa jirani! Maumivu yake yanauma kuliko maumivu ya kisu!
dem sengerema sana hili we unaliwa kando unataka kuwa kina sijampenda shes cheap whore af still anataka kwenda kwako kusalimia bla bla nawewe insaida njaa zitakuua mtoto wa kiume mpk unasahau familia sasa ngoja mke akuache uone venye utaokota makopo sipendi mianaume ya bei rahisi isio na msimamo inanunulika na kupelekeshwa mazafanta na hii fiction siendelei tena kusoma
Mwamba huko kote watu walikua hata hawana muda sana, watu walikua wanasoma wakiwa na shauku ya kukutana na Iryn tu. Hauoni siku umeiweka mambo wazi wengine wakasema ndio mwisho wa kufuatilia huu uzi? Sio kwamba walikua wanakubaliana na jambo lako na Prisca ila Kuna kitu kikubwa zaidi walikua na shauku nacho.
Ni sawa but usiuze utu wako kisa pesa/ madaraka!Kuna mwanamke ukichepuka naye hata mke wako anakusifia[emoji3]
Wengi walisema hivyo ila naona bado tuko wote hapa tunalia Arosto[emoji28]
Binafsi ujasiri wa kumfanyia ukatili wa hivo mwanamke mwenzangu sinaaa! Its ok Umetoka na mume wake huko sawa ndio umnafkie kihivo kweli dahh! Hio sehemu sijui kwanini imeniuma mnooo!πdem sengerema sana hili we unaliwa kando unataka kuwa kina sijampenda shes cheap whore af still anataka kwenda kwako kusalimia bla bla nawewe insaida njaa zitakuua mtoto wa kiume mpk unasahau familia sasa ngoja mke akuache uone venye utaokota makopo sipendi mianaume ya bei rahisi isio na msimamo inanunulika na kupelekeshwa mazafanta na hii fiction siendelei tena kusoma
Mayiii unatokea Uru ipi?Hakuna kitu kinauma kama kugundua mwenzako ana mchepuko ila hakuna kinachouma ndani ya Ndoa ugundue mchepuko wenyewe ni mtu wako wa karibu, anakuja kwako anacheka anakula kwako hiyo kitu isikie tu Kwa mwenzako. Yaani unakuwa na feeling yaan alikuwa ananisanifu muda wote....Duhhhhh walopitia tu ndo wataelewa...
Mke aheshimiwe na watu wote mkuu! Usimfananishe mke na mchepuko urembo haufanyi mtu kuwa mke kama ni mrembo mbona hajaolewa anaswampa tu na kung'ang'ania mume wa mtu????Kuna mwanamke ukichepuka naye hata mke wako anakusifia[emoji3]
ππππππππππ!Hakuna kitu kinauma kama kugundua mwenzako ana mchepuko ila hakuna kinachouma ndani ya Ndoa ugundue mchepuko wenyewe ni mtu wako wa karibu, anakuja kwako anacheka anakula kwako hiyo kitu isikie tu Kwa mwenzako. Yaani unakuwa na feeling yaan alikuwa ananisanifu muda wote....Duhhhhh walopitia tu ndo wataelewa...
em kanye west huko wewe unaejua kuandika mbona umemalizia na mkato badala ya nukta yani washamba mnakuaga wajuaji kafe huko mazafantusJifunze kwanza uandishi alafu urudi kutoa dukuduku,