Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hamna mkuu,demu kisu anajitenga kwenye kuonekana wa kawaida kwa mwanaume rijali yoyote. Anaeweza kuonekana wa kawaida kwa wengine na kwa wengine mzuri ni hawa wa kawaida. Lakini wapo mademu visu,visu kweli kweli. Kila mwanaume mwenye utimamu lazima amuone mzuri.
Ok
 
Kiukweli nimetosheka na penzi lako na Iryn, ni muda sasa wa kuachana na michepuko uirudie familia yako, nilikua sijui kama namkubali sana Mama J hadi nilipofika hii episode ya 68.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwakweli hata mm nilikua sijui kama namkubali mama j hivi
 
Huyu ndio Irene mwenyewe
Screenshot_20231023-102035.jpg


Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
RYN: “I know, unafikiri Mzee atafikiri nini wewe usipolala hapa?”
dem sengerema sana hili we unaliwa kando unataka kuwa kina sijampenda shes cheap whore af still anataka kwenda kwako kusalimia bla bla nawewe insaida njaa zitakuua mtoto wa kiume mpk unasahau familia sasa ngoja mke akuache uone venye utaokota makopo sipendi mianaume ya bei rahisi isio na msimamo inanunulika na kupelekeshwa mazafanta na hii fiction siendelei tena kusoma
 
Kwa Prisca mlikuwa kimya ila kwa Iryn haya yameanza kutokea why?[emoji3]
Mwamba huko kote watu walikua hata hawana muda sana, watu walikua wanasoma wakiwa na shauku ya kukutana na Iryn tu. Hauoni siku umeiweka mambo wazi wengine wakasema ndio mwisho wa kufuatilia huu uzi? Sio kwamba walikua wanakubaliana na jambo lako na Prisca ila Kuna kitu kikubwa zaidi walikua na shauku nacho.
 
dem sengerema sana hili we unaliwa kando unataka kuwa kina sijampenda shes cheap whore af still anataka kwenda kwako kusalimia bla bla nawewe insaida njaa zitakuua mtoto wa kiume mpk unasahau familia sasa ngoja mke akuache uone venye utaokota makopo sipendi mianaume ya bei rahisi isio na msimamo inanunulika na kupelekeshwa mazafanta na hii fiction siendelei tena kusoma

Jifunze kwanza uandishi alafu urudi kutoa dukuduku,
 
Mwamba huko kote watu walikua hata hawana muda sana, watu walikua wanasoma wakiwa na shauku ya kukutana na Iryn tu. Hauoni siku umeiweka mambo wazi wengine wakasema ndio mwisho wa kufuatilia huu uzi? Sio kwamba walikua wanakubaliana na jambo lako na Prisca ila Kuna kitu kikubwa zaidi walikua na shauku nacho.

Wengi walisema hivyo ila naona bado tuko wote hapa tunalia Arosto[emoji28]
 
Kuna mwanamke ukichepuka naye hata mke wako anakusifia[emoji3]
Ni sawa but usiuze utu wako kisa pesa/ madaraka!
Mtu mmetoka mbali mmehasoo mmepambana leo hii unamuigizia na mchepuko wako kweli???? Mmeshafanyana hukoo hamjaridhika hadi ujinga unapeleka kwa mkeo???? Hamjakatazwa muendelee mambo yenu huko ila sio nyumbani kwako kiukweli!

Hapo Insider alikosea sana pamoja na misimamo yake hapo alifeli sana!
 
Wengi walisema hivyo ila naona bado tuko wote hapa tunalia Arosto[emoji28]

Of course Bado wapo lakini walimaanisha kiu iliridhishwa, hii ni kama bhakhsish tu. Yaani Ile nyongeza lakini siku Ile ilipopugwa mechi ndio watu wengi walikua wanapasubiria
 
dem sengerema sana hili we unaliwa kando unataka kuwa kina sijampenda shes cheap whore af still anataka kwenda kwako kusalimia bla bla nawewe insaida njaa zitakuua mtoto wa kiume mpk unasahau familia sasa ngoja mke akuache uone venye utaokota makopo sipendi mianaume ya bei rahisi isio na msimamo inanunulika na kupelekeshwa mazafanta na hii fiction siendelei tena kusoma
Binafsi ujasiri wa kumfanyia ukatili wa hivo mwanamke mwenzangu sinaaa! Its ok Umetoka na mume wake huko sawa ndio umnafkie kihivo kweli dahh! Hio sehemu sijui kwanini imeniuma mnooo!😔
 
Hakuna kitu kinauma kama kugundua mwenzako ana mchepuko ila hakuna kinachouma ndani ya Ndoa ugundue mchepuko wenyewe ni mtu wako wa karibu, anakuja kwako anacheka anakula kwako hiyo kitu isikie tu Kwa mwenzako. Yaani unakuwa na feeling yaan alikuwa ananisanifu muda wote....Duhhhhh walopitia tu ndo wataelewa...
Mayiii unatokea Uru ipi?
 
Kuna mwanamke ukichepuka naye hata mke wako anakusifia[emoji3]
Mke aheshimiwe na watu wote mkuu! Usimfananishe mke na mchepuko urembo haufanyi mtu kuwa mke kama ni mrembo mbona hajaolewa anaswampa tu na kung'ang'ania mume wa mtu????

Fanyeni mambo yenu hukoo ila sio mbele za wake zenu jamani!
Iryn namkubali sana ila hapo ameniumiza sana!
 
Hakuna kitu kinauma kama kugundua mwenzako ana mchepuko ila hakuna kinachouma ndani ya Ndoa ugundue mchepuko wenyewe ni mtu wako wa karibu, anakuja kwako anacheka anakula kwako hiyo kitu isikie tu Kwa mwenzako. Yaani unakuwa na feeling yaan alikuwa ananisanifu muda wote....Duhhhhh walopitia tu ndo wataelewa...
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌!


Inauma mnoooo!!
 
Jifunze kwanza uandishi alafu urudi kutoa dukuduku,
em kanye west huko wewe unaejua kuandika mbona umemalizia na mkato badala ya nukta yani washamba mnakuaga wajuaji kafe huko mazafantus
 
Back
Top Bottom