Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Alikuwa kashanogewa na **** ya mrembo. Kwahiyo mambo mengine alikuwa anafanya kutokuwa na akili ya kiuwanaume
 
Wote mliotupia picha za Iryn hamjafanya fair kabisa kwamfano anaziona hizi picha mnafikiri driver mnuweka kwenye wakati gani au mnataka afutwe umeneja wa saloon najua wote mliotupia picha zake mlikutana nae huko kwenye katika mambo ya massage
 
Mleta we noma umeniweka more than 2 hrs nasoma, mpaka macho na shingo yanauma, duh!!!!
 
INSIDER MAN naomba ata nione miguu na mikono tu ya iryn ata kiuno pia ukinionyesha mkuu na me ntajisikia moja kati ya watu hapa duniani...though mmeniumiza sana mmetumia ada yangu ya mwaka mzima kwa siku tatu kule zanzibar nimesikia kulia
 
Wote mliotupia picha za Iryn hamjafanya fair kabisa kwamfano anaziona hizi picha mnafikiri driver mnuweka kwenye wakati gani au mnataka afutwe umeneja wa saloon najua wote mliotupia picha zake mlikutana nae huko kwenye katika mambo ya massage

Mtoa mada alishasema Irene sio mtu wa IG hizo picha zisikutishe
 
INSIDER MAN naomba ata nione miguu na mikono tu ya iryn ata kiuno pia ukinionyesha mkuu na me ntajisikia moja kati ya watu hapa duniani...though mmeniumiza sana mmetumia ada yangu ya mwaka mzima kwa siku tatu kule zanzibar nimesikia kulia

Ada ya mwaka? Pesa iliyotumika ni miaka yako mitatu unalipa kma ada pamoja na boom

Room si chini ya USD 2500 (3 nights)= 6M
Nauli weka 700k
Chakula, vinywaji 1M
Mengineyo 500k

Hii ni roughly budget = 8M
 
Bado uko na mmbulu?[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…