Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kuna watu wanaOverRate uzuri wa iryn vichwani mwao sababu imesemekana ni wa kishua😂😂😂😂
na hichi ndio kinachowasumbua watu,mfano mimi ukinipa nafasi ya kumsifia manzi yangu dakika 2 tu utatamani sana ukutane nae umuone wakati ni msichana wakawaida tu ila kumpamba najua
 
Kuna watu humu visharuwala vinawawasha hatari, hii kutujazia mapicha humu ni nini? Jukwaa la picha za warembo hamlioni? Hii inaonesha kabisa tabia za kisenge mlizokuwa nazo shule
Acha makasiriko
 
Hapa umechanganya mkuu,

Huwezi kufanya uzinzi kama huna ndoa
Mtu (mke au mume)anayefanya mapenzi na asiye mkewe/mumewe ikiwa ana NDOA HALALI huyo anazini.

Kama hujafunga ndoa unafanya uasherati
na sio uzinifu.
 
Waabesh ht Tz tuna copy zao ambao ni wambulu, nyaturu, warangi
Huyu hajawahi enda huko mbulu ndani ndani yaani mtt hair natural zinafika mpaka kaliooni bila ya kuziwekeA chochote yaani Ile naturally kabisa. Yaani ukimuona Hana tofauti na waethiopia ama waaarabu
 
Kuna watu wajinga humu Lodilofa Ana nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…