Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EXTRA EPISODE-04
BY INSIDER MAN

Kuna tukio moja ambalo sikuliandika lakini ni moja ya matukio ambayo sito kuja yasahau kupitia biashara ya Uber.

Ipo hivi,

Kipindi napiga Uber nakesha bhasi nilipataga mteja ambaye nilimtoa pale Kitambaa Cheupe kwenda Kidimbwi, ofcourse ilikuwa saa 6 usiku na baada ya kumshusha jamaa pale Kidimbwi nilitafuta sehemu nzuri ya kupark gari afu nikauchapa usingizi.

Plan yangu ilikuwa saa 8 za usiku niamke ili nivizie request yenye pesa ndefu, kuanzia muda wa saa 8 usiku demand ya abiria huwa inakuwa kubwa sana, hata nauli zinakuwa juu sana. Kwa wale wachumi concept ya demand & supply mnaipata freshy, so unaweza kupata mteja wa kumpeleka Mwenge hadi 30k. Huu mchezo wa kuvizia hizi rate za nauli nimeufanya sana pale Kidimbwi mpaka Airport.

Kwa Airport ipo hivi kuna zile ndege ambazo huwa zina delay kuland sasa unakuta ilitakiwa kuwasili saa6 usiku inaingia saa 8 usiku. Muda huu hata madereva wa Tax za mle ndani wanakuwa hawapo na uber wengi kama weekend huwezi wakuta maeneo yale maana kazi ni nyingi.

Nilikuwa najuaje ratiba za ndege pale JNIA? kupitia da Tyna ndo alikuwa ananisaidia sana kunipa updates na pia kupitia flightradar24. Unakuta fly emirates limeshusha abiria afu usafiri wa shida, muda kama huu wahuni tulikuwa tunazima app afu tunavizia vichwa pale “Arrival door”.

Asilimia kubwa ya wazungu/foreigners wengi huwa wanakwenda Masaki au Posta, sasa wakitoka pale getin tunakuwa tunawauliza
“Masaki..?” utasikia “Yes…. how much?”. Actually tulikuwa tunawachaji $30 kwa Masaki na $50 kwa wanaokwenda Bahari Beach. Hii style ilinipa kuwa na marafiki wengi sana wa nje foreigners, hapo najua kingeli changu cha ukweli na uongo, then unakuwa umependeza afu mkononi umeshika iphone, lazima akuheshimu. (Nimeshawapa CODE ya kupiga hela tayari kwa pale Airport)

Tuendelee, saa 8 usiku nilichukua simu yangu na ile kuwasha tu nikapata request palepale na haikuchukua muda mteja alinipigia simu na ile kupokea alinambia yuko getini nifanye haraka ili tuondoke.

Mimi nilikuwa nimepark gari kwa mbele kidogo ya gate la kuingilia Kidimbwi hivyo nikasogea mpaka pale, na nilimuona dada mzuri sana mashaalaah! ana mtako afu mpaja rangi ya chocolate kavaa kimini.

Baada ya kusogea kwa gari alifungua mlango na akaingia akakaa seat za nyuma,

“Insider eeh.”

“Yes ni mimi.”

“Ok kaka fata ramani.”

Kwa upande mwingine alikuja kaka kwa spidi sana na akawa anataka kufungua mlango wa nyuma ila ulikuwa umefungwa hivyo akaomba nishushe kioo ili aongee na yule dada, lakini dada alikuwa ananisisitiza nisifanye hivyo tuondoke na Jamaa alivyoona kimya aliamua kuondoka.

Location ilikuwa inasoma Ununio, hivyo niliendesha gari mpaka location ilikokuwa inasoma. Niliendesha gari mpaka Ununio shuleni nika kata kona kushoto ile barabara huwa inakwenda kutokea Bagamoyo Road pale “Basihaya”.

Nilipanda na ile barabara kwa mbele kidogo nikakata kona kushoto tena sasa mitaa ile ndo nilistuck na location ilikuwa inasoma mitaa ile na ilikuwa inaishia maeneo yale.

Ilibidi nigeuke ili nimwuulize dada house Namba lakini kwa upande wake alikuwa amelala, hivyo nikajaribu kumuita pale lakini wapi alikuwa hata hasikii. Nikawasha taa ya gari, Damn! paja zote zilikuwa nje afu kimini kimepanda kwa juu mambo yote yako hadharani. Nilishuka nikafungua mlango wa nyuma, nilimuamsha dada kwa kumtikisa na aliamka lakini akawa hatoi ushirikiano,

“Dada location inaonesha tumefika nitajie house namba.”

Mazingira haya kwa usiku yanakuwaga yametulia sana maana ni ushuani.

Dada alikuwa hajielewi kabisa na hakuna jibu nililopewa na akalala kabisa, aisee tako lote lilikuwa nje kiasi kwamba nikaanza kupatwa na mawazo ya ngono.

Muda huu niliwaza inawezekanaje dada apande yuko sawa afu ghafla mara hii azidiwe?, maana nilimwagia mpaka maji lakini wapi hakuamka. Nilihisi pale huenda dada alichanganyiwa dawa kwenye bia na yule jamaa maana muda ule Kidimbwi alikuwa ana beg sana waondoke wote.

Niliwaza pale nitafute lodge ili alale afu asubuhi itafahamika, kama home nimewapeleka sana hawa warembo kulala mpaka mama J akawa anamind na akanipiga marufuku. Yaani kuna mazingira ambayo nilikuwa nawabeba hawa warembo unajikuta huna jinsi naishia kuwalaza home na wengi nimewalaza Lodge.

Kuna Lodge moja ipo juujuu huku kama unakuja kutokea Bagamoyo road kuna Lodge nilimpeleka pale baada ya kuona kibao kinacho direct. Baada ya kufika pale kwa Lodge tulifunguliwa geti nilikwenda reception kuulizia room nikaambiwa ipo ya 30k.

Nilimwelekeza dada ukweli kuhusu yule dada lakini alisema tulale wote lasivyo tutafute sehemu nyingine. Wasiwasi wa dada ni kwamba aliogopa kama atajikojolea au kutapikia mashuka na mimi nilimwambia kama atafanya hivyo nitalipia gharama zote, ilibidi nimbembeleze sana nikampa 40k ndo akakubali, lakini kwa masharti niwe nakwenda kumuangalia mara kwa mara.

Nilimtoa dada kwa gari kwa kumkokota mpaka tunaingia chumbani na nilimvua viatu pale na nikamlaza kwa bed, nikamuwashia AC na mimi nikaondoka kwenda kulala kwa gari pale nje parking.

Kutokana na hili tukio ilibidi palepale niripoti kwa Uber maana ni hatari sana, Ofcourse sikulala kabisa maana kila muda nilikuwa nakwenda kumuangalia dada na nilimua kukaa pale reception palikuwa na makochi ya kukalia.

Nilipitiwa na usingizi pale kwa coach na nilikuja kushtuka asubuhi na nilikwenda kumuangalia dada na alikuwa kaamka tayari hata yeye alikuwa anashangaa kaingiaje pale?.

“Dada mambo Unaendeleaje.”

“Kaka wewe ndo umenileta hapa?”

“Yeah, mimi ni Dereva wa Uber.”

“Imekuaje nimekuja hapa?”

Ilibidi nimuelezee mkanda mzima mpaka namleta lodge,

“Kaka kuna mtu nilikuwa naye jana atakuwa aliniwekea dawa haiwezekani ninywe Savanna 2 tu afu nishindwe kujitambua, ohh my God.”

“Ni nani yule kaka?”

“Ni Ex wangu na jana alikuwa ananiforce sana tuondoke wote.”

“Na ile location ilikuwaje ukakosea?”

“Kule ni kwa rafiki yangu itabidi unipeleke kwake sahivi, mimi nakaa Tegeta Nyuki karibu na shule ya Canossa.”

Dada alinishukuru sana kwa lile jambo maana hakuamini amepona kwenye meno yangu, hata wakati tunaondoka pale reception dada alimwambia huyu kaka ana roho nzuri sana angekuwa mtu mwingine asingemuacha.

Huyu dada mpaka sasa ni rafiki yangu na tunakutana sana out za night hata home huwa anakuja ni kama ndugu. Biashara ya uber ilinipa marafiki wengi sana na wateja zangu wengi wanaendelea na madereva wangu na wengine kama foreigners huwa nawadrive kwa private car yangu.

Kazi ya Uber ni ngumu sana kama huna self control, maana pussies ni nyingi sana kama unakesha usiku bhasi utakutana nazo sana. Kuna wanawake ambao watakulazimisha ulale nao yaani ni mapichapicha mengi, kama wewe kichwa chako cha chini hakina break utawala sana na pussy nyingi ni free.

Na ubaya ukiendekeza hawa wanawake utaishia kuwabeba for free na utaanza kuona ugumu wa kazi, kama unafanya hii kazi kuwa bandidu usicheke cheke na hizi pussy maana mazoea yakizidi hutalipwa nauli na madereva wengi wa Uber ni wahanga wa hili.

Have a Good night[emoji106]
Hizo extra 1,2,3 ziko wapi
 
EXTRA EPISODE-04
BY INSIDER MAN

Kuna tukio moja ambalo sikuliandika lakini ni moja ya matukio ambayo sito kuja yasahau kupitia biashara ya Uber.

Ipo hivi,

Kipindi napiga Uber nakesha bhasi nilipataga mteja ambaye nilimtoa pale Kitambaa Cheupe kwenda Kidimbwi, ofcourse ilikuwa saa 6 usiku na baada ya kumshusha jamaa pale Kidimbwi nilitafuta sehemu nzuri ya kupark gari afu nikauchapa usingizi.

Plan yangu ilikuwa saa 8 za usiku niamke ili nivizie request yenye pesa ndefu, kuanzia muda wa saa 8 usiku demand ya abiria huwa inakuwa kubwa sana, hata nauli zinakuwa juu sana. Kwa wale wachumi concept ya demand & supply mnaipata freshy, so unaweza kupata mteja wa kumpeleka Mwenge hadi 30k. Huu mchezo wa kuvizia hizi rate za nauli nimeufanya sana pale Kidimbwi mpaka Airport.

Kwa Airport ipo hivi kuna zile ndege ambazo huwa zina delay kuland sasa unakuta ilitakiwa kuwasili saa6 usiku inaingia saa 8 usiku. Muda huu hata madereva wa Tax za mle ndani wanakuwa hawapo na uber wengi kama weekend huwezi wakuta maeneo yale maana kazi ni nyingi.

Nilikuwa najuaje ratiba za ndege pale JNIA? kupitia da Tyna ndo alikuwa ananisaidia sana kunipa updates na pia kupitia flightradar24. Unakuta fly emirates limeshusha abiria afu usafiri wa shida, muda kama huu wahuni tulikuwa tunazima app afu tunavizia vichwa pale “Arrival door”.

Asilimia kubwa ya wazungu/foreigners wengi huwa wanakwenda Masaki au Posta, sasa wakitoka pale getin tunakuwa tunawauliza
“Masaki..?” utasikia “Yes…. how much?”. Actually tulikuwa tunawachaji $30 kwa Masaki na $50 kwa wanaokwenda Bahari Beach. Hii style ilinipa kuwa na marafiki wengi sana wa nje foreigners, hapo najua kingeli changu cha ukweli na uongo, then unakuwa umependeza afu mkononi umeshika iphone, lazima akuheshimu. (Nimeshawapa CODE ya kupiga hela tayari kwa pale Airport)

Tuendelee, saa 8 usiku nilichukua simu yangu na ile kuwasha tu nikapata request palepale na haikuchukua muda mteja alinipigia simu na ile kupokea alinambia yuko getini nifanye haraka ili tuondoke.

Mimi nilikuwa nimepark gari kwa mbele kidogo ya gate la kuingilia Kidimbwi hivyo nikasogea mpaka pale, na nilimuona dada mzuri sana mashaalaah! ana mtako afu mpaja rangi ya chocolate kavaa kimini.

Baada ya kusogea kwa gari alifungua mlango na akaingia akakaa seat za nyuma,

“Insider eeh.”

“Yes ni mimi.”

“Ok kaka fata ramani.”

Kwa upande mwingine alikuja kaka kwa spidi sana na akawa anataka kufungua mlango wa nyuma ila ulikuwa umefungwa hivyo akaomba nishushe kioo ili aongee na yule dada, lakini dada alikuwa ananisisitiza nisifanye hivyo tuondoke na Jamaa alivyoona kimya aliamua kuondoka.

Location ilikuwa inasoma Ununio, hivyo niliendesha gari mpaka location ilikokuwa inasoma. Niliendesha gari mpaka Ununio shuleni nika kata kona kushoto ile barabara huwa inakwenda kutokea Bagamoyo Road pale “Basihaya”.

Nilipanda na ile barabara kwa mbele kidogo nikakata kona kushoto tena sasa mitaa ile ndo nilistuck na location ilikuwa inasoma mitaa ile na ilikuwa inaishia maeneo yale.

Ilibidi nigeuke ili nimwuulize dada house Namba lakini kwa upande wake alikuwa amelala, hivyo nikajaribu kumuita pale lakini wapi alikuwa hata hasikii. Nikawasha taa ya gari, Damn! paja zote zilikuwa nje afu kimini kimepanda kwa juu mambo yote yako hadharani. Nilishuka nikafungua mlango wa nyuma, nilimuamsha dada kwa kumtikisa na aliamka lakini akawa hatoi ushirikiano,

“Dada location inaonesha tumefika nitajie house namba.”

Mazingira haya kwa usiku yanakuwaga yametulia sana maana ni ushuani.

Dada alikuwa hajielewi kabisa na hakuna jibu nililopewa na akalala kabisa, aisee tako lote lilikuwa nje kiasi kwamba nikaanza kupatwa na mawazo ya ngono.

Muda huu niliwaza inawezekanaje dada apande yuko sawa afu ghafla mara hii azidiwe?, maana nilimwagia mpaka maji lakini wapi hakuamka. Nilihisi pale huenda dada alichanganyiwa dawa kwenye bia na yule jamaa maana muda ule Kidimbwi alikuwa ana beg sana waondoke wote.

Niliwaza pale nitafute lodge ili alale afu asubuhi itafahamika, kama home nimewapeleka sana hawa warembo kulala mpaka mama J akawa anamind na akanipiga marufuku. Yaani kuna mazingira ambayo nilikuwa nawabeba hawa warembo unajikuta huna jinsi naishia kuwalaza home na wengi nimewalaza Lodge.

Kuna Lodge moja ipo juujuu huku kama unakuja kutokea Bagamoyo road kuna Lodge nilimpeleka pale baada ya kuona kibao kinacho direct. Baada ya kufika pale kwa Lodge tulifunguliwa geti nilikwenda reception kuulizia room nikaambiwa ipo ya 30k.

Nilimwelekeza dada ukweli kuhusu yule dada lakini alisema tulale wote lasivyo tutafute sehemu nyingine. Wasiwasi wa dada ni kwamba aliogopa kama atajikojolea au kutapikia mashuka na mimi nilimwambia kama atafanya hivyo nitalipia gharama zote, ilibidi nimbembeleze sana nikampa 40k ndo akakubali, lakini kwa masharti niwe nakwenda kumuangalia mara kwa mara.

Nilimtoa dada kwa gari kwa kumkokota mpaka tunaingia chumbani na nilimvua viatu pale na nikamlaza kwa bed, nikamuwashia AC na mimi nikaondoka kwenda kulala kwa gari pale nje parking.

Kutokana na hili tukio ilibidi palepale niripoti kwa Uber maana ni hatari sana, Ofcourse sikulala kabisa maana kila muda nilikuwa nakwenda kumuangalia dada na nilimua kukaa pale reception palikuwa na makochi ya kukalia.

Nilipitiwa na usingizi pale kwa coach na nilikuja kushtuka asubuhi na nilikwenda kumuangalia dada na alikuwa kaamka tayari hata yeye alikuwa anashangaa kaingiaje pale?.

“Dada mambo Unaendeleaje.”

“Kaka wewe ndo umenileta hapa?”

“Yeah, mimi ni Dereva wa Uber.”

“Imekuaje nimekuja hapa?”

Ilibidi nimuelezee mkanda mzima mpaka namleta lodge,

“Kaka kuna mtu nilikuwa naye jana atakuwa aliniwekea dawa haiwezekani ninywe Savanna 2 tu afu nishindwe kujitambua, ohh my God.”

“Ni nani yule kaka?”

“Ni Ex wangu na jana alikuwa ananiforce sana tuondoke wote.”

“Na ile location ilikuwaje ukakosea?”

“Kule ni kwa rafiki yangu itabidi unipeleke kwake sahivi, mimi nakaa Tegeta Nyuki karibu na shule ya Canossa.”

Dada alinishukuru sana kwa lile jambo maana hakuamini amepona kwenye meno yangu, hata wakati tunaondoka pale reception dada alimwambia huyu kaka ana roho nzuri sana angekuwa mtu mwingine asingemuacha.

Huyu dada mpaka sasa ni rafiki yangu na tunakutana sana out za night hata home huwa anakuja ni kama ndugu. Biashara ya uber ilinipa marafiki wengi sana na wateja zangu wengi wanaendelea na madereva wangu na wengine kama foreigners huwa nawadrive kwa private car yangu.

Kazi ya Uber ni ngumu sana kama huna self control, maana pussies ni nyingi sana kama unakesha usiku bhasi utakutana nazo sana. Kuna wanawake ambao watakulazimisha ulale nao yaani ni mapichapicha mengi, kama wewe kichwa chako cha chini hakina break utawala sana na pussy nyingi ni free.

Na ubaya ukiendekeza hawa wanawake utaishia kuwabeba for free na utaanza kuona ugumu wa kazi, kama unafanya hii kazi kuwa bandidu usicheke cheke na hizi pussy maana mazoea yakizidi hutalipwa nauli na madereva wengi wa Uber ni wahanga wa hili.

Have a Good night[emoji106]

Nshawahi beba abiria tokea masaki enzi za next door kwenda kinondoni. Kumfikisha kwake alitaka aliwe ili tumalizane
 
EXTRA EPISODE-04
BY INSIDER MAN

Kuna tukio moja ambalo sikuliandika lakini ni moja ya matukio ambayo sito kuja yasahau kupitia biashara ya Uber.

Ipo hivi,

Kipindi napiga Uber nakesha bhasi nilipataga mteja ambaye nilimtoa pale Kitambaa Cheupe kwenda Kidimbwi, ofcourse ilikuwa saa 6 usiku na baada ya kumshusha jamaa pale Kidimbwi nilitafuta sehemu nzuri ya kupark gari afu nikauchapa usingizi.

Plan yangu ilikuwa saa 8 za usiku niamke ili nivizie request yenye pesa ndefu, kuanzia muda wa saa 8 usiku demand ya abiria huwa inakuwa kubwa sana, hata nauli zinakuwa juu sana. Kwa wale wachumi concept ya demand & supply mnaipata freshy, so unaweza kupata mteja wa kumpeleka Mwenge hadi 30k. Huu mchezo wa kuvizia hizi rate za nauli nimeufanya sana pale Kidimbwi mpaka Airport.

Kwa Airport ipo hivi kuna zile ndege ambazo huwa zina delay kuland sasa unakuta ilitakiwa kuwasili saa6 usiku inaingia saa 8 usiku. Muda huu hata madereva wa Tax za mle ndani wanakuwa hawapo na uber wengi kama weekend huwezi wakuta maeneo yale maana kazi ni nyingi.

Nilikuwa najuaje ratiba za ndege pale JNIA? kupitia da Tyna ndo alikuwa ananisaidia sana kunipa updates na pia kupitia flightradar24. Unakuta fly emirates limeshusha abiria afu usafiri wa shida, muda kama huu wahuni tulikuwa tunazima app afu tunavizia vichwa pale “Arrival door”.

Asilimia kubwa ya wazungu/foreigners wengi huwa wanakwenda Masaki au Posta, sasa wakitoka pale getin tunakuwa tunawauliza
“Masaki..?” utasikia “Yes…. how much?”. Actually tulikuwa tunawachaji $30 kwa Masaki na $50 kwa wanaokwenda Bahari Beach. Hii style ilinipa kuwa na marafiki wengi sana wa nje foreigners, hapo najua kingeli changu cha ukweli na uongo, then unakuwa umependeza afu mkononi umeshika iphone, lazima akuheshimu. (Nimeshawapa CODE ya kupiga hela tayari kwa pale Airport)

Tuendelee, saa 8 usiku nilichukua simu yangu na ile kuwasha tu nikapata request palepale na haikuchukua muda mteja alinipigia simu na ile kupokea alinambia yuko getini nifanye haraka ili tuondoke.

Mimi nilikuwa nimepark gari kwa mbele kidogo ya gate la kuingilia Kidimbwi hivyo nikasogea mpaka pale, na nilimuona dada mzuri sana mashaalaah! ana mtako afu mpaja rangi ya chocolate kavaa kimini.

Baada ya kusogea kwa gari alifungua mlango na akaingia akakaa seat za nyuma,

“Insider eeh.”

“Yes ni mimi.”

“Ok kaka fata ramani.”

Kwa upande mwingine alikuja kaka kwa spidi sana na akawa anataka kufungua mlango wa nyuma ila ulikuwa umefungwa hivyo akaomba nishushe kioo ili aongee na yule dada, lakini dada alikuwa ananisisitiza nisifanye hivyo tuondoke na Jamaa alivyoona kimya aliamua kuondoka.

Location ilikuwa inasoma Ununio, hivyo niliendesha gari mpaka location ilikokuwa inasoma. Niliendesha gari mpaka Ununio shuleni nika kata kona kushoto ile barabara huwa inakwenda kutokea Bagamoyo Road pale “Basihaya”.

Nilipanda na ile barabara kwa mbele kidogo nikakata kona kushoto tena sasa mitaa ile ndo nilistuck na location ilikuwa inasoma mitaa ile na ilikuwa inaishia maeneo yale.

Ilibidi nigeuke ili nimwuulize dada house Namba lakini kwa upande wake alikuwa amelala, hivyo nikajaribu kumuita pale lakini wapi alikuwa hata hasikii. Nikawasha taa ya gari, Damn! paja zote zilikuwa nje afu kimini kimepanda kwa juu mambo yote yako hadharani. Nilishuka nikafungua mlango wa nyuma, nilimuamsha dada kwa kumtikisa na aliamka lakini akawa hatoi ushirikiano,

“Dada location inaonesha tumefika nitajie house namba.”

Mazingira haya kwa usiku yanakuwaga yametulia sana maana ni ushuani.

Dada alikuwa hajielewi kabisa na hakuna jibu nililopewa na akalala kabisa, aisee tako lote lilikuwa nje kiasi kwamba nikaanza kupatwa na mawazo ya ngono.

Muda huu niliwaza inawezekanaje dada apande yuko sawa afu ghafla mara hii azidiwe?, maana nilimwagia mpaka maji lakini wapi hakuamka. Nilihisi pale huenda dada alichanganyiwa dawa kwenye bia na yule jamaa maana muda ule Kidimbwi alikuwa ana beg sana waondoke wote.

Niliwaza pale nitafute lodge ili alale afu asubuhi itafahamika, kama home nimewapeleka sana hawa warembo kulala mpaka mama J akawa anamind na akanipiga marufuku. Yaani kuna mazingira ambayo nilikuwa nawabeba hawa warembo unajikuta huna jinsi naishia kuwalaza home na wengi nimewalaza Lodge.

Kuna Lodge moja ipo juujuu huku kama unakuja kutokea Bagamoyo road kuna Lodge nilimpeleka pale baada ya kuona kibao kinacho direct. Baada ya kufika pale kwa Lodge tulifunguliwa geti nilikwenda reception kuulizia room nikaambiwa ipo ya 30k.

Nilimwelekeza dada ukweli kuhusu yule dada lakini alisema tulale wote lasivyo tutafute sehemu nyingine. Wasiwasi wa dada ni kwamba aliogopa kama atajikojolea au kutapikia mashuka na mimi nilimwambia kama atafanya hivyo nitalipia gharama zote, ilibidi nimbembeleze sana nikampa 40k ndo akakubali, lakini kwa masharti niwe nakwenda kumuangalia mara kwa mara.

Nilimtoa dada kwa gari kwa kumkokota mpaka tunaingia chumbani na nilimvua viatu pale na nikamlaza kwa bed, nikamuwashia AC na mimi nikaondoka kwenda kulala kwa gari pale nje parking.

Kutokana na hili tukio ilibidi palepale niripoti kwa Uber maana ni hatari sana, Ofcourse sikulala kabisa maana kila muda nilikuwa nakwenda kumuangalia dada na nilimua kukaa pale reception palikuwa na makochi ya kukalia.

Nilipitiwa na usingizi pale kwa coach na nilikuja kushtuka asubuhi na nilikwenda kumuangalia dada na alikuwa kaamka tayari hata yeye alikuwa anashangaa kaingiaje pale?.

“Dada mambo Unaendeleaje.”

“Kaka wewe ndo umenileta hapa?”

“Yeah, mimi ni Dereva wa Uber.”

“Imekuaje nimekuja hapa?”

Ilibidi nimuelezee mkanda mzima mpaka namleta lodge,

“Kaka kuna mtu nilikuwa naye jana atakuwa aliniwekea dawa haiwezekani ninywe Savanna 2 tu afu nishindwe kujitambua, ohh my God.”

“Ni nani yule kaka?”

“Ni Ex wangu na jana alikuwa ananiforce sana tuondoke wote.”

“Na ile location ilikuwaje ukakosea?”

“Kule ni kwa rafiki yangu itabidi unipeleke kwake sahivi, mimi nakaa Tegeta Nyuki karibu na shule ya Canossa.”

Dada alinishukuru sana kwa lile jambo maana hakuamini amepona kwenye meno yangu, hata wakati tunaondoka pale reception dada alimwambia huyu kaka ana roho nzuri sana angekuwa mtu mwingine asingemuacha.

Huyu dada mpaka sasa ni rafiki yangu na tunakutana sana out za night hata home huwa anakuja ni kama ndugu. Biashara ya uber ilinipa marafiki wengi sana na wateja zangu wengi wanaendelea na madereva wangu na wengine kama foreigners huwa nawadrive kwa private car yangu.

Kazi ya Uber ni ngumu sana kama huna self control, maana pussies ni nyingi sana kama unakesha usiku bhasi utakutana nazo sana. Kuna wanawake ambao watakulazimisha ulale nao yaani ni mapichapicha mengi, kama wewe kichwa chako cha chini hakina break utawala sana na pussy nyingi ni free.

Na ubaya ukiendekeza hawa wanawake utaishia kuwabeba for free na utaanza kuona ugumu wa kazi, kama unafanya hii kazi kuwa bandidu usicheke cheke na hizi pussy maana mazoea yakizidi hutalipwa nauli na madereva wengi wa Uber ni wahanga wa hili.

Have a Good night[emoji106]
69 lini wewe..?
 
EPISODE 68
BY INSIDER MAN

PREVIOUS
Baada ya kupokea simu dada alijitambulisha kuwa yeye ni nesi na amepokea majeruhi wa2 waliokuwa kwenye bodaboda ambao ni kaka na dada na hali zao ni mbaya sana hivyo niende haraka,

CONTINUE….

“Dada anaitwa Asmah ndo alonipa namba yako nikupigie simu, ukifika hapa Muhimbili Hospital nijulishe.” Na akakata simu.

Niligeuza gari kwenye kituo cha mafuta cha Engen Mikocheni na nikaanza safari ya kwenda Muhimbili Hospital na nilikuwa naendesha gari kwa kasi sana. Baada ya kuwasili pale hospitali nilijaribu kumpigia simu dada lakini ilikuwa haipokelewi na nilipiga mara mbili nikaacha, niliwaza atakuwa busy hivyo akiona missed call zangu atanirudia.

Muda huu nilianza kuwaza pale Asmah amepataje ajali? inamaana alipanda bodaboda baada ya kuachana pale Namanga? mimi mwenyewe nilibaki kwenye mshangao.

Kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Iryn akipiga na nikapokea simu yake,

IRYN: “Baby upo wapi? I have been waiting here for 1 hour lakini sioni sign yoyote ya wewe kuja.”

MIMI: “I’m sorry, nimepewa taarifa Asmah kapata ajali na niko hapa hospital, I had to come to the hospital to help her.”

IRYN: “Accident? upo hospital gani? Nitumie jina la hospital nije na mimi.”

Na mimi muda huu nilifanya kutoa taarifa kwenye group la whatsapp kuhusu ajali ya Asmah na wengi walibaki wakishangaa na walikuwa wakiuliza imekuaje?.

Nilimpigia simu mama Janeth na nikampa taarifa na yeye alisema anakuja sio muda mrefu, wakati naongea na mama Janeth kwa upande mwingine nesi alianza kunipigia simu na ilibidi nim-hold mama Janeth na nikapokea simu ya nesi.

Nilimwambia dada niliko na akanielekeza niende jengo la emergency alipo hivyo ilibidi nisogee mpaka pale. Baada ya kufika kwenye eneo husika nilionana na dada na akaaanza kunipa habari kamili, maana ilibidi niulize ilikuwaje?

NESI: “Kuna mtu amewaleta hapa na alikuwepo maeneo haya sijui amekwenda wapi, yeye ndo aliwaleta nafikiri akija atakuambia kila kitu.”

MIMI: “Hali ya Asmah ikoje? maana ulisema wanahali mbaya sana.”

NESI: “Ameumia sana paja la kulia ila hajavunjika, pia anamichubuko mikononi na kiuononi, kilichomsaidia alivaa element, kichwani hana majeraha.”

MIMI: “Na huyo bodaboda?”

NESI: “Amevunjika mkono na ana majeraha sana, inaoneka yeye gari imembamiza sana, ila watakuwa sawa kama Asmah anaweza kutoka kesho akiwa sawa. Nakupa namba ya kaka yake muwasiliane mimi niko busy.”

Nesi aliondoka na mimi nilifanya kuwasiliana na kaka yake Asmah na alinambia yuko njiani anakuja na muda sio mrefu atakuwa amefika.

Ndani ya lisaa Iryn naye alikuwa amefika hospital na mimi nilikwenda kumpokea na tukasogea mpaka eneo la tukio. Iryn aliniuliza chanzo cha ajali na mimi nilimuelezea toka tumeachana na Asmah pale Namanga mpaka napewa taarifa na nesi, na pia nilimwambia yote aliyosema nesi kuhusu ajali.

IRYN: “She will be fine, my prays are with her”

MIMI: “Naamini atakuwa sawa, hata wewe umepata somo leo usipende kupanda bodaboda ni very risk.”

IRYN: “Baby ajali haina kinga, hata upande ndege kama siku yako itabaki kuwa vivyohivyo.”

MIMI: “Upo sahihi lakini kuna ajali za kujitakia.”

Muda huu kaka yake Asmah alianza kupiga simu na baada ya kupokea alinambia amefika tayari hospital na mimi nikamuelekeza sehemu tulipo. Baada ya kuwasili pale kwa upande wake alitaka kujua kilchotokea na mimi nikamwelezea kama nilivyofanya kwa Iryn.

Baada ya lisaa mama Janeth aliwasili pale hospital na tukawa tumekaa pale tunaongea na kufikia saa 4 usiku team yote ya Masaki ilikuwa imewasili pale kasoro Rebecca tu ndo hakuwepo.

Hatukurusiwa kwenda kumwona mgonjwa mpaka asubuhi na ilivyofika saa 6 usiku tuliondoka pale maana ndugu zake Asmah walikuwa wamefika tayari hivyo tuliwaaga na tukaondoka.

Asubuhi mimi na Iryn tuliamka mapema kwaajili ya kwenda kumwona Asmah na baada ya kuwasili pale hospital tulimkuta kaka yake amekaa kwenye bench na sisi tulikwenda ndani kumwona Asmah, alikuwa amelala kitandani na hali yake ilionesha kuwa nzuri na kwa pembeni kulikuwa na dada mwenye uchotara kama yeye akimuangalia.

Asmah baada ya kutuona alionesha tabasamu, alikuwa anaongea vizuri na alitutambulisha yule ni dada yake wa kwanza, na sisi tulianza kuongea naye pale,

IRYN: “Asmah what happened?”

Asmah alisema wakati tumeachana pale Namanga aliona bora achukue bodaboda ili awahi home, baada ya kufika Upanga kuna gari ili-overtake na ikawapush ndo ikawapa majeraha ndo kuwaishwa hospital.

MIMI: “Pole sana, Nesi alinambia kuna baba aliweta hapa ndo anahusika yuko wapi?”

DADA ASMAH: “Alikuja asubuhi na aliaga anakwenda kazini alisema badae atapita tena ndo anayegharamia gharama za hapa.”

MIMI: “Ana Roho nzuri hata hivyo mwingine angekimbia.”

ASMAH: “Nashukuru Mungu mimi ni mzima nimeumia paja na sijavunjika, leo nitaruhusiwa.”

MIMI: “Ukiruhusiwa utanambia sawa eeh.”

Tuliwaaga pale na Iryn alimkabidhi Asmah pesa kwenye bahasha na akamwambia zimetoka kwenye kampuni kwaajili ya emergence na sisi tukaondoka pale hospital.

kampuni yetu huwa inawajali wafanyakazi wake kama wamepatwa na matatizo, kufiwa, kujifungua au sherehe kama hurusi nk, kampuni huwa ina support.

Break yetu ilikuwa ofisini Masaki na tulikuta bado hakuna mtu zaidi ya dada wa usafi na sisi tukaingia ndani. Baada ya kuingia ofisini Iryn naye alianza kuzipitia ripoti zake na mimi nilikuwa busy kuweka mipango ya kazi mapema maana Asmah hakuwepo,

IRYN: “Insider tuko ofisini mapenzi ni baada ya kazi na mimi leo niko hapahapa, naomba taarifa za stock kama ulizichukua nitumie please, pia hujanipa mrejesho wa mzigo umefikia wapi.”

MIMI: “Bossy angalia vizuri kila kitu nimekutumia hapo, mzigo utaingia mwisho wa mwezi.”

IRYN: “Yes nimeona hapa sasa nifanyie estimation ya odda tulizonazo ASAP.”

MIMI: “Ok wait afu inabidi tutafute dada wa kukaa reception, Sumaiya kaondoka kuna gap la mtu mmoja.”

IRYN: “Nililiona hili hata mimi, lakini sihusiki kwenye haya masuala ongea na mama Janeth, kuanzia leo mimi nitakuwa nashinda reception.”

MIMI: “Sawa nitaongea na mama Janeth juu ya hili suala.”

Baada ya kumaliza kuandaa mipango niligawa majukumu pale na kwa upande mwingine wafanyakazi walishangaa kumwona Bossy lady akikaa reception na yeye aliwaambia leo atahudumia mpaka wateja wa makeups.

Mchana tulitoka kwenda kupata lunch na Iryn aliomba twende capetown fish market sababu anaipenda sana beef ya pale, tuliondoka na mimi nilipitia kwanza kwa jamaa mchoma chips maarufu sana pale Masaki ili niweke odda ya sahani za chips, niliamua kutimiza ahadi yangu ambayo niliwapa pia kwenye grupu letu la Whatsapp niliwaambia lunch yao itakuwa juu yangu.

Nilisogea mpaka usawa wa kibanda cha Sele lakini alikuwa bado hajanisoma maana gari ilikuwa ngeni machoni pake, na nilishusha kioo cha gari pale na baada ya kuniona akasogea kwangu chapu,

MIMI: “Sele inakuaje bro!”

SELE: “Tajiri ndo wewe? Nilikuwa sijakusoma, naona una mkoko mpya hatari sana, dada mambo.”

IRYN: “Poa za kazi?”

MIMI: “Afu Sele kuwa na adabu huyu ni shem wako sawa.?”

SELE: “Bossy hongera sana, sasa tunakula lini wali?, hii ni mali safi kabisa ukipeleka home itapita bila kipingamizi, aisee shem karibu sana mimi ndo sele mchoma chips maarufu hapa mjini na hii ndo ofisi yangu.”

MIMI: “Fala wewe sijakupa kazi ya kuendelea kujisifia, naomba niandalie chips kuku sahani 10 ziandae vizuri sana soon tunapitia.”

SELE: “Ondoa shaka wewe utakuta mzigo upo tayari.”

MIMI: “Aisee nilisahau mtu mmoja fanya 11, nilimsahau mlinzi ingekua sio vizuri.”

IRYN: “Sele mimi utaniandalia chips yai kwaajili yangu.”

SELE: “Shem hii nitakupa offa hutailipia.”

IRYN: “Thank you.”

Na sisi tukaondoka kuelekea Capetown na baada ya kuwasili pale tuliagiza chakula na tulikuwa tunapiga story pale,

IRYN: “Baby kumbe ulinipiga picha Zanzibar nikiwa nimelala.”

MIMI: “Ukilala unakuwa mzuri sana.”

IRYN: “Kuna jambo nataka nikwambie, Jumapili kuna mgeni atakuja Dar.”

MIMI: “Ni nani huyo?”

IRYN: “Baby itakuwa surprise utamwona hapohapo.”

MIMI: “Naona surprise zimekuwa nyingi sana sikuhizi.”

Wakati tukiendelea kula Asmah alinipigia simu na alinipa taarifa za kuruhusiwa kutoka hospital na alisema anakwenda kwa dada yake, atakaporudi kwake atanijulisha na mimi nilimtakia kila la kheri.

Baada ya kupata lunch tuliondoka kurudi ofisini na tulipitia kwanza chips kwa Sele na nilifanya malipo kwa Sele na tukaendelea na safari yetu. Baada ya kufika pale ofisini niligawa chips kwa kila mtu na mimi nilimuaga Iryn kuwa nakwenda Mikocheni kuangalia maendeleo ya ofisi na sitochelewa kurudi.

Niliondoka kuelekea Mikocheni na baada ya kuwasili pale Salon nilikwenda moja kwa moja mpaka ndani ofisini , Lucy alikuwa busy na mteja na mimi niliendelea na kazi zangu pale ofisini.

Nilikaa pale mpaka saa 11 jioni na wakati naondoka Lucy naye alikuwa kamaliza mambo yake na alikuja ofisini tukaanza kuongea pale,

MIMI: “Leo naona uko busy sana.”

LUCY: “Busy day, afu nimepata taarifa Asmah alipata ajali jana kutoka kwa Rebby, lini unakwenda twende wote kumuona.?”

MIMI: “Amenambia amekwenda kwa dada yake akirudi atanijulisha.”

LUCY: “Nambie Insider za huko Zanzibar, mmekula bata mpaka naona umeanza kunenepa mshikaji wangu.”

MIMI: “Hahahaa Lucy acha kunidhihaki, mimi nilikuwa kama watchdog tu kule, hamna mpya kabisa.”

LUCY: “Insider I know umemla Iryn ila unanikazia kunambia ukweli sawa lakini.”

MIMI: “Iryn si best yako? na akuamini? bhasi muulize kinachoendelea kati yetu.”

LUCY: “Sawa nitamuuliza, umeniletea zawadi gani kutoka Zanzibar?”

MIMI: “We usijali weekend hii tutatoka out, mimi naondoka kwenda Masaki kumchukua Iryn.”

LUCY: “Poa tutawasiliana.”

Nilirudi Masaki na baada ya kuwasili niliwaona Iryn na Rebecca wamekaa pale reception wanaongea na mimi nilipita nikaendelea na safari yangu ya kwenda ndani. Haikuchukua muda Iryn naye alikuja ndani na akakaa kwenye coach, ilibidi nimuulize tunaondoka muda gani maana muda ulikuwa umekwenda tayari na akasema tutaondoka saa 2 usiku na tutapitia kula kwanza kabla ya kwenda home.

Asubuhi nilikuwa wakwanza kuamka, Iryn alikuwa bado kalala pale kitandani na nikaamua kwenda jikoni kuandaa soup. Kwa upande mwingine pale seblen nilikuta ameiweka picha ya Junior karibu na Tv showcase na mimi niliishia kufurahi maana ilikuwa kama surprise kwangu na nilijisemea Junior kapata mamdogo anayempenda.

Niliandaa soup ya kuku pale na yeye aliamka akaanza kunisaidia kuandaa chapati na wakati tunapata breakfast alinambia tutakwenda kumsalimia best yake Masaki na tutapita kwanza tunavyokwenda ofisini.

Saa 4 asubuhi tuliondoka home kuelekea Masaki na tulikwenda mpaka Marina Towers, baada ya kuwasili pale tulifunguliwa geti na mlinzi na tukaingia ndani. Muda huu mimi nilikuwa nawaza ni nani huyu? ambaye anasema ni rafiki yake?, ukweli alikuwaga ananambia ana best zake lakini sikuwahi kukutana nao.

IRYN: ”Insider unapakumbuka hapa.?”

MIMI: “Yeah the place we met.” (REF EP.06)

IRYN: ”Exactly, na ile siku nilikuwa na rafiki yangu ila aliondoka kwenda masomoni na wakati tuko Zanzibar alinambia karudi.”

Nilikuwa natamani sana kuuliza ni jinsia gani lakini nikavunga, muda huu tulishuka kwenye gari na tulikwenda kwa lift tukapanda mpaka floor ya 4 na tukaelekea kwa apartment ya rafiki yake. Baada ya kufika aligonga mlango na haikuchukua muda best yake akatoka kufungua mlango na alivyomwona Iryn alimkumbatia kwa bashasha sana, alinisalimia pale na akatukaribisha ndani.

Baada ya kuingia seblen Iryn alianza kufanya utambulisho pale,

IRYN: ”Insider huyu anaitwa Claire ni best yangu wa utotoni na tulisoma pamoja utotoni. Claire huyu anaitwa Insider ni mpenzi wangu and I love him.”

Claire baada ya kusikia huu utambulisho alifurahi lakini niliona kama haamini kama mimi kweli natoka na Iryn,

CLAIRE: “Insider nimefurahi sana kukufahamu Iryn ni best yangu sana.”

MIMI: “Ahsante sana Claire kwa kukufahamu shem wangu kama alivyosema mke wangu hata mimi nampenda sana Iryn.”

Baada ya kusema haya maneno Iryn alifurahi sana hata Claire naye alionesha kufurahi, Claire alitoka na alirudi ameshika juice mkononi akatupa. Ofcourse hata Claire naye ni pini balaa mzuri, ila kwa Iryn bado akasome na yeye ana uzungu sana maana amesoma sana nje huko.

CLAIRE: “Iryn naona unazidi kuwa mrembo kila kukicha, Dar inakupenda sana.”

IRYN: ”Naona wewe UK imekupenda zaidi na masomo vipi?”

CLAIRE: “Thank God nimemaliza salama kabisa, sahivi nipo na natakiwa kuripoti kazini next month.

IRYN: “All the best dear”

CLAIRE: “Ndio dear, embu nambie umekutanaje na shem wangu maana wewe ni wa kujifungia sana ndani.”

IRYN: “Mimi na Insider tumekutana hapahapa kwa mara ya kwanza, unakumbuka ile siku ambayo tulikuwa wote unajiandaa na safari?, baada ya kurequest Uber ndo alikuja Insider toka siku ile mpaka leo tumekuwa wapenzi.”

CLAIRE: “Aisee kumbe mmekutana hapahapa kwangu?”

IRYN: “Yes! ndo mwanaume pekee aliyeweza kunifanya mimi kuwa na furaha.”

CLAIRE: “I’m happy for you guys”

IRYN: “Dear mimi nakwenda ofisini, kwaheri.”

Kwa upande wake alisema tumsubiri tuondoke wote maana yeye pale home hakuna anachofanya bora akashinde na Iryn tu pale salon. Claire alikwenda kubadilika na baada ya dakika 10 alitoka tukaondoka kwenda ofisini.

Tulivyowasili ofisini wao walikwenda kukaa pale reception na mimi nilikwenda ofisini, baada ya kuingia ofisini nilimpigia simu Asmah kumjulia hali na baada hapo nikaendelea na kazi zangu.

Mchana nilipigiwa simu na namba ngeni na alikuwa ni yule dogo wa Changanyikeni ambaye aliyenisaidia kununua vitu kipindi kile Prisca anahamia kwake.

“Bro! simwelewi shem namuona na Jamaa anakuja naye sana hapa home nahisi something fishy kinaendelea, kama wewe kaka yangu nimeona nikupe taarifa ili uchukue hatua.”

“Dogo Ahsante sana kwa taarifa wewe endelea kufuatilia afu utanambia kinachoendelea, mimi nitakutumia pesa ya vocha.”

“Sawa bro ondoa shaka nitakuwa nakupa taarifa zote.”

Kwa upande wangu nilizifurahia sana hizi taarifa za dogo maana niliona kama nimepata sababu ya kumnyamazisha Prisca ili asiendelee kunisumbua. Licha ya kumpiga chini lakini Prisca alikuwa bado anasumbua sana na alikuwa anaomba sana turudiane. Niliwaza kwanza natakiwa kumjua huyu mwanaume na nijue muda ambao huwa anaingia na kutoka hapa ndo ningepata picha halisi.

Saa 1 usiku tuliondoka ofisini na tulikwenda restaurant ya “The deck” kwaajili ya kupata dinna, tulikuwa jumla watatu pamoja na Claire. Baada ya kupata dinna tuliendelea kukaa pale huku tunakunywa wine na tuliondoka saa 3 usiku, lakini tulianza kumwacha kwanza Claire pale Marina na sisi tukarudi home.

Baada ya kuwasili home mama J alinipigia simu na muda huu tulikuwa seblen tumekaa kimahaba sana, nilipokea simu yake tukaanza maongezi, mama J alinipa taarifa za kurudi Dar ijumaa hii na alisema atarudi na bibi yake. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa yuko makini sana kusikiliza maongezi yetu na baada ya kufahamu mama J atarudi Ijumaa niliona dizaini kama hajafurahi, na mimi nilimuacha pale seblen nikaenda kulala.

Asubuhi kama kawaida tulikwenda wote ofisini na mimi baada ya kumaliza kuweka mikakati sawa niliondoka kwenda Mikocheni na baada ya hapo nilikwenda Bank kuweka pesa. Sikutaka kuendelea kupoteza muda maana ilikuwa mchana tayari, hivyo nilirudi Masaki na niliingia ofisini nikamkuta Iryn amelala kwenye coach kama mtu ambaye ana mawazo.

MIMI: “Baby are you ok?”

IRYN: “Baby mama J anarudi kesho najua hutakuwa na habari na mimi tena, hata kwangu hutalala tena.”

Na mimi nilisogea mpaka kwenye coach nikakaa na nikawa namchezea kitovu chake,

MIMI: “Baby hiki ndo kinafanya usiwe na amani?”

Na alitingisha kichwa kuonesha ndio,

Muda huu alikuwa akiniangalia kwa macho ya mahaba sana na mimi nilimsogelea tukaanza kunyonyana mate pale, na niliingiza mkono ndani ya chupi ili kutalii serengeti yake na baadae tulianza kupakuana pale kwenye coach. Baada ya wazungu kutoka ndo nilishtuka pale what the fvuck tunafanya hapa na tuko ofisini? ndo kumwacha na nikamwambia tutoke tukapate lunch.
**********
Ijumaa wife ndo alikuwa anatarajia kuwasili Dar na ile jioni nilitoka ofisini nikaenda JNIA terminal 2 kuwapokea na muda huu walikuwa wamewasili tayari. Baada ya kutoka ndani nilimnyanyua Junior maana nilikuwa nimemmiss, nilimsalimia bibi na tukaondoka kwenda parking ili tuondoke. Kwa upande mwingine wife alionekana kunawiri sana na kama uzuri uliongezeka hata Junior alionekana kunenepa sana.

Wakati tuko njiani tulikuwa tunaongea habari za huko Moshi na nilikuwa naulizia hali ya bibi na nikaambiwa imebidi aje Dar kwaajili ya matibabu zaidi. Tulikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa mama J (ukweni) na mimi nilishinda pale mpaka usiku nikapata na dinna kabisa ndo nikaaga nikaondoka.

Nilirudi kwa Iryn na baada ya kuingia ndani sikumkuta ikabidi nimpigie simu na akanambia yuko swimming, nilizunguka kwenda swimming na kweli nilimkuta anaswim na upande wa pili pembeni kulikuwa na dada anaswim pale.

MIMI: “Baby hujachoka tu na hizi swimming?”

IRYN: “Baby njoo bhasi tuswim wote.”

Na mimi nilijifikiria pale na wakati bado sijui nifanye nini alinimwagia maji nikawa nimelowa hapa ndo ikabidi nivue nguo niingie ndani, na tukaanza kucheza mle ndani kama watoto.

IRYN: “Darling mama Junior karudi?”

MIMI: “Yes amerudi tayari na yuko kwao.”

IRYN: “Anarudi lini home.?”

MIMI: “Hajasema bado ila karudi na bibi yake anaumwa hivyo anaweza akakaa sana kwao.”

IRYN: “Mimi nimemmiss Junior wangu.”

MIMI: “Nimeona umeweka picha yake seblen imependeza sana.”

Na alianza kuishika AK-47 yangu mle swimming na tukaanza kupeana makiss pale na hatukujali kama kuna dada pembeni au laah. Tulikaa mle swimming mpaka usiku sana ndo tukatoka kwenda ndani na kama kawaida tulinyanduana mpaka tukalala.

Jumamosi asubuhi tuliamka mapema kujiandaa kwaajili ya kwenda ofisini, tulikuwa kama mume na mke tayari asubuhi tunakwenda ofisini pamoja na tunarudi pamoja. Baada ya kupata breakfast tuliondoka na kama kawaida tulimpitia Claire pale kwake na tukaenda Salon.

Mchana nilichomoka kwenda Morocco kuonana na dealer wa magari, na alikuwa ni yule jamaa aliyemuuzia Mzee pama Dualisi. Lengo langu nilitaka kutafuta Ist kali kwaajili ya kuendelea na biashara ya Uber maana walikuwa mbioni kufungua App yao, Jane alikuwa katisha tayari, hivyo sikuona sababu ya kuendelea kukaa na hela ningeishia kuitumia tu.

Kwa upande mwingine nilikuwa na wateja wengi sana wa private ukijumlisha na foreigners hivyo niliona kuagiza gari naweza poteza muda tu, niliwaza nikifanikisha kupata gari nitaajili dereva wa kuingia naye mkataba.

Baada ya kuwasili pale Morocco show room ambazo ziko oppositie na Vodacom tower ndo niliweza kuonana na jamaa pale, tulisalimiana na uzuri alikuwa ameniandalia ist tatu kali. Baada ya kupiga macho vizuri niliipenda ist moja ilikuwa ni ya grey na ilikuwa nzuri imenyooka,

MIMI: “Chief hii nikupe ngapi tufanye biashara leoleo.”

MWARABU: “Bossy hiyo chombo nipe 16M kwakuwa ni wewe.”

MIMI: “Chief Ist ishafika 16m toka lini? au unafikiri nahela sana hiyo Audi niliyokuja nayo isikupe kiwewe ni ya Bossy wangu ndugu, hii Ist ndo level zangu.”

MWARABU: “Hahahaa hata hivyo imenyooka sana naona ni new model, Bossy una drive gari ya pesa mingi sana.”

MIMI: “Turudi kwenye mada yetu nikupe kiasi gani nitransfer pesa hapa chap maana leo ni weekend mambo mengi, nisije nikahonga bure.”

MWARABU: “Lipia 15.7M, wewe si unaona chombo hii imenyooka sana ni auction grade 4.5 imekuja na kila kitu, kwanza low millage ina rim kali sana. Tajiri hii gari ni msumali, nakuuzia bei hii kwaheshima ya Mzee maana alisema wewe ni kijana wake.”

MIMI: “Tajiri tusifanye mambo yawe mengi mimi nalipia 15M hapa, pia unafanya kwa kumuenzi Mzee.”

MWARABU: “Tajiri naona unataka nikimbie Dar hii nirudi home maana unaniua kabisa.”

Baada ya kurupukushani nyingi ilibidi akubali tu na mimi nilifanya kutransfer ile amount na niliomba kijana wa kunipa kampani ya kuendesha mpaka kwangu. Baada ya kurudi home na kuachana na Jamaa niliamua kwenda kulala maana nilikuwa nimechoka sana.

Jioni Iryn alinipigia simu na aliniuliza nilipo maana alikuwa hanioni toka mchana na nimeondoka bila kumuaga, nilimwambia niko home mara moja na soon nitakwenda kumchukua. Kwa upande wake alinambia nijiandae kwani itabidi tutoke out na Claire na nitawakuta Marina.

Niliingia kuoga na wakati navaa Mama J alinipigia simu na akanipa taarifa kuwa Jumapili ambayo ni kesho atarudi kwake. Kwa upande wangu hizi taarifa zilikuwa mbaya sana maana nilijua sitalala na Iryn tena, mapenzi aliyokuwa ananipa yalifanya muda wote niwe nawaza kumla tu.

Saa 1 usiku nilitoka kwenda Masaki ofcourse nilikuwa nimewaka sana, sikutaka kumuaibisha Iryn mbele ya Claire. Nilitumia kama nusu saa kuwasili Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka apartment ya Claire na nikagonga mlango, Iryn ndo aliyetoka kufungua mlango na baada ya kuniiona alifurahi sana,

“Wow baby you look great,” na alikuja akanikumbatia na makiss juu.

Kwa upande wao walikuwa wamejiandaa tayari aisee walikuwa wamewaka sana, Iryn alizidi kuoneka mrembo sana, claire naye alikuwa kawaka balaa.

MIMI: “Warembo mmependeza sana.”

CLAIRE: “Mhhh! shem kuliko wewe?.”

MIMI: “Honestly mmependeza sana.”

IRYN: “Guys tunakwenda kula wapi?”

CLAIRE: “Kuna mgahawa upo pale Seacliff ni mzuri sana.”

IRYN: “Na baada ya hapo tunamalizia wapi?”

Muda huu kila mtu alikuwa kimya hakuna aliyekuwa anapendekeza sehemu ya kwenda na Iryn akanigeuzia mimi,

“Baby tunakwenda wapi?”

MIMI: “Wavuvi camp au Samakisamaki chagueni.”

CLAIRE: “Wavuvi sijawai fika twende hata hapo ila pawe na vibe.”

MIMI: “Done.”

Tuliondoka muda huu na tulianza kwenda Sea cliff kupata dinna na tulikuta restaurant kidogo imejaa watu walikuwa wengi mida hii na wakati tunaingia tulikuwa tunapigwa sana macho. Nilikuwa najiskia ufahari mkubwa sana kuongozana na wanawake wazuri tena warembo afu nimekaa nao meza moja niliona sio jambo dogo.

Baada ya kupata dinna pale restaurant na tulitumia kama lisaa na baada ya hapo tulikwenda Wavuvi camp Cocobeach kumalizia. Na baada ya kuwasili tulipata angle nzuri tukachili na muda huu na ziliagizwa Moet 3 yaani kila mtu na yake na story zilipamba sana moto.

Niligundua Claire ndo rafiki namba moja wa Iryn na wamekua wote toka utotoni na walikuwa ni majirani pale Masaki.

Muda ulivyozidi kwenda Iryn alianza kuonesha mahaba yake waziwazi kwangu na mbele ya Claire, hata hakuwa na wasiwasi na alionesha kuhitaji sana Dudu. Baada ya kumaliza vinywaji vyetu tuliamua kuondoka na Claire aliclear bill yote na alifanya kuchanja, nilijisemea hawa warembo wana jeuri sana ya Pesa.

Tuliondoka maeneo yale na tulimdrop Claire pale kwake na sisi tukaendelea na safari ya kurudi home, baada ya kuwasili home mipakuano iliendelea kama kawaida, ilikuwa ni kama dozi ya siku lazima tupakuane.

Jumapili asubuhi niliamshwa na simu ya mama J na alikuwa ananipa taarifa kwamba saa 4 asubuhi atakuwa yuko home tayari. Kwa upande wangu nilikuwa nimesahau kama wife anarudi home na nilimwambia mimi nimetoka kidogo hivyo nitamkuta,

WIFE: “Kwani Baba J umeenda wapi asubuhi hii?”

MIMI: “Niko ofisini Mummy nitakukuta nunua na mboga kabisa ukiwa njiani.”

WIFE: “Okay nakuja na bibi ndomana nataka akukute hapo anataka kuongea na wewe.”

MIMI: “Sitochelewa mummy.”

Iryn hakuwepo pale chumbani alinitangulia kuamka na mimi niliamua kwenda seblen na nilimkuta amelala kizembe pale, nilimsogelea mpaka kwenye coach nikakaa.

MIMI: “Mummy umeamkaje?”

IRYN: “Safi tu, you?”

MIMI: “Mimi naondoka baby mama J amenipigia simu anakuja, afu yuko na bibi so acha niende”

IRYN: “It’s okay, you’re free to go.”

MIMI: “Mummy are you alright?”

IRYN: “Yeah baby, don’t worry about me.”

Mimi nilikwenda kujiandaa na baada ya dakika 15 nilitoka na yeye alikuwa bado amelala pale kwenye coach,

IRYN: “Baby ndo unaondoka? nimeandaa breakfast tayari.”

MIMI: “Ok mummy twende tukanywe wote”

IRYN: “Badae mgeni anaingia jioni so usisahau ili twende wote.”

MIMI: “Sawa mummy tutakwenda usijali nipo kwaajili yako.”

Na mimi nilimuaga pale kwa kumkiss shavuni na wakati naondoka nilisikia akinambia,

IRYN: “Baby, just be careful na mama J.”

MIMI: “I will mummy.”

Baada ya kuwasili home nilimkuta mama J yuko pale nje anafua nguo na Junior alikuwa anaendesha gari yake pale uwanjani,

MIMI: “Nambie mke wangu umefika na kufua badala upumzike.”

WIFE: “Baba J hivi ulikuwa unalala humu ndani?”

MIMI: “Kwani umeona nini mpaka unauliza hivyo.”

WIFE: “Jikoni mavyombo umeyaloweka, boxer zako umeloweka huzifui na nyumba inaonesha ulikuwa hukai kabisa hapa.”

MIMI: “Umeanza mambo yako swahiba unazingua ujue. Bibi yuko wapi?”

WIFE: “Yuko ndani sebleni”

MIMI: “Junior my Man lets go inside nigga.”

Muda huu Junior alikuwa hataki kabisa kutoka kwenye gari yake na alionekana kuimiss sana gari yake, dizaini alikuwa anaona huyu mshua vipi mbona kama anazingua hivi.

Baada ya kuingia ndani nilimkuta Bibi pale seblen anaangalia TV na nilimsalimia nikakaa, tulianza kuongea pale na Bibi kwa upande wake alionekana kunifurahia sana. Tuliongelea ugonjwa wake unaomsumbua na alisema kesho atakwenda hospital na mama Junior kwaajili ya ukaguzi zaidi.

Kwa upande mwingine mama J alinambia bibi ataendelea kukaa na sisi mpaka pale atakapo jisikia kuondoka kwani anataka kuwa karibu na mjukuu na kitukuu chake.

Saa 10 jioni nilitoka home kwenda kwa Iryn maana alikuwa kashanitumia text za kunikumbusha kuwahi kwenda JNIA. Wakati niko njiani nilimpigia simi Mary na nilimpa taarifa za mimi kurudi Zanzibar na nilimuomba badae tuonane, kwa upande wake Mary alifurahi sana kusikia habari hizi na alisema nikiwa tayari nitamjulisha.

Baada ya kuwasili kwa Iryn alikuwa yuko tayari na alishuka akiwa ameshikilia key za Audi,

IRYN: “Baby tuondoke na hii gari.”

MIMI: “Mummy ndo umegoma kunambia tunakwenda kumpokea nani?”

IRYN: “Baby utaona Hapohapo si nilikwambia surprise?”

MIMI: “Ok lets go.” Na nikaslap kalio lake

Baada ya kuwasili pale Airport terminal 3 tulikaa tukisubiri na Iryn alinambia ndege ilidelay kutoka huko na tulikuwa pale Bao cafe tukipata juice na bites, muda huu tulikuwa tunapiga sana story maana tulikuwa wapenzi tayari,

IRYN: “Baby coochie inauma sana sikupi tena mpaka nikae sawa.”

MIMI: “Naona umeanza kuniwekea limit sawa lakini mimi sina shida.”

IRYN: “Mama Junior anasemaje baada ya kurudi.”

MIMI: “Amehisi kama nilikuwa silali pale but everything is cool.”

IRYN: “Insider unajua sometimes I feel guilty but I don’t know why I love you, you’re driving me so crazy.”

MIMI: “Mimi naamini wewe ulikuja Tanzania kwaajili yangu huna haja ya kujihisi una hatia, mimi bado sijaoa.”

IRYN: “But sitaki kuja kuwa chanzo cha mgogoro na familia yako ujue.”

MIMI: “Baby what are you talking about?, usimwone mama J ni perfect sana.”

IRYN: “What’s your point Insider?”

MIMI: “My point, sitaki kukuona ukiwa lonely because of me, remember I promised to make you happy.”

IRYN: “Sawa baby, ile gari yako ya Uber iko wapi?”

MIMI: “Anaitumia Jane kwenye kujifunzia driving ndomana kaniachia gari yake niendelee kutumia.”

IRYN: “I remember that you told me gari ni ya bossy wako mliingia mkataba hii imekaaje anaitumia Jane.?”

MIMI: “Jane ameiharibu gari ameibonda bonda na bossy alipewa pesa ananunue mpya na ile gari kwasasa ni ya kwake, alisema akijifungua ataichukua hii.”

IRYN: “So wewe huna gari kwasasa.”

MIMI: “Ndio baby sina gari kwasasa hata Junior kanizidi baba yake.”

IRYN: “Hahahaha afu nimemmiss mme wangu mdogo, kesho nitakwenda kuwasalimia.”

MIMI: “Utawakuta ukamwone na bibi yake mama J.”

IRYN: “Baby twende kwenye screen tukaangalie kama ndege imeland maana naona watu wameanza kutoka.”

Tulisogea mpaka kwenye screen kucheki,

“Baby mgeni anakuja na Ethiopian Airlines na imeland tayari 10 minutes ago.”

Muda huu furaha ya Iryn ilianza kuongezeka na kwa upande wangu nilikuwa najiuliza huyu ni nani anayekuja na nilikuwa nashauku kubwa sana ya kumjua huyu mgeni lakini ilibidi niwe mpole maana niliambiwa ni surprise.

Tulikuwa bado tumekaa pale cafe na macho yake yalikuwa makini sana kuangalia wageni wanaotoka mle ndani, kwa upande mwingine kulikuwa na watu mbalimbali wakiwasubiri ndugu zao.

Baada ya dakika 20 kupita nilimwona Iryn sura yake imeanza kuchanua tabasamu na alikuwa akisema “that’s him” na alikuwa anaangalia upande wanaotokea abiria. Mimi nilikuwa najiuliza pale that’s him ni nani huyu? na nikitizama naona watu kibao.

Nilishangaa Iryn kaiunuka ghafla afu akaita kwa nguvu “Daddy” na akakimbia kwenda kumkumbatia Mzee wake, na mimi wakati Iryn anamkumbatia baba yake nilimchukua video na picha juu kama surprise. Baba yake ni Mzungu na alioneka ni baba mjanja ana swagga na alikuwa kavaa miwani meusi na chini alikuwa kavaa raba za adidas, na Iryn alinambia baba yake ana 56 yrs (REF EP.15)

Kwa upande wangu ilibidi nisogee mpaka pale na muda huu walikuwa wameacha kukumbatiana na nilisalimia pale na Iryn akaanza kufanya utambulisho,

IRYN: “Dady this is Insider and he’s my boyfriend, I have told you before.”

MZEE VIRGIL: “Yeah I remember very well and I’m glad meeting with him today.”

IRYN: “Insider this is my father Virgil, ndo huyu nilikwambia ni surprise.”

MIMI: “It’s my pleasure meeting you Sir, welcome again in Tanzania.”

MZEE VIRGIL: “Thank you, I heard everything about you from my daughter and I really appreciate.”

IRYN: “So daddy where are we going?”

MZEE VIRGIL: “Coral Beach hotel.”

IRYN: “Okay, baby twende Coral beach.”

Tuliondoka pale JNIA na safari yetu ilikuwa kwenda “Coral beach hotel” ya Masaki na tukiwa njiani tulikuwa tunapiga sana story na Mzee Virgil alionekana kunifurahia sana. Kwa upande wangu niliulizia maendeleo yake ya afya na alisema kwasasa yuko vizuri afya yake imerudi kama zamani.

Baada ya kuwasili pale Coral hotel tulikwenda ndani na mzee aliacha bag zake pale reception ili apelekewe room yake na tukaenda restaurant kupata dinna. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na mimi niliagiza seafood, nikiendaga hotel kubwa kama hizi, hiki ndo chakula ambacho huwa ninaagiza maana hata kula ni kwa msimu.

Wakati tunakula Mzee Virgil alisema jumatano anakwenda USA kisha baada ya hapo atakwenda Netherlands na atatumia week 2 huko, hata kuja Tanzania ni kwaajili ya kumsalimia bint yake Iryn, na niligundua mzee anampenda sana bint yake.

Kwa upande mwingine Mzee toka aumwe hakuwai kutoka nje na South Africa, pia alimwambia Iryn wasafiri pamoja kwenda huko lakini Iryn alimwambia Mzee wake hawezi kwenda sababu anataka kutuliza akili kwaajili ya kuanza masomo na mwezi ujao atarudi South Africa.

Baada ya lisaa Mzee aliongozana na bint yake kwenda ndani na Iryn alinambia nimsubiri pale restaurant, baada ya kuondoka nilitoa simu yangu mfukoni na nilikuta missed call 3 za Mary, nikakumbuka nilimpa ahadi ya kuonana naye.

Niliwaza pale huyu Mary namfanyaje? maana Iryn haeleweki anatoka sangapi nikasema hapa acha kwanza niendelee kubuy time kwanza before sijampigia simu. Baada ya nusu saa Iryn
alitoka na akanambia Mzee wake amebook rooms mbili kwaajili yake na sisi hivyo itabidi nilale pale hotelini.

Taarifa za Iryn zilinishtua maana wife ndo kwanza alikuwa karudi home afu leo nisilale home asingenielewa kabisa na ingeleta matatizo, pia isitoshe bibi yuko pale home ningeonesha picha mbaya sana kwa bibi.

MIMI: “Baby si unajua wife karudi home leo afu nilale nje atanielewa? Think again about this.”

IRYN: “I know, unafikiri Mzee atafikiri nini wewe usipolala hapa?”

MIMI: “Wewe unaangalia Mzee na mimi naangalia wife kule home na amerudi leo na yuko na bibi.”

IRYN: “Baby please do something, just for today.”

MIMI: “Na wazo ila wewe ndo itabidi uhusike kwenye huu mpango.”

IRYN: “Okay tell me what’s it?”

MIMI: “Nampigia simu mama J namwambia naenda bandarini kufuatilia mzigo naweza nikarudi mapema au nisirudi kabisa, mama J namjua vizuri anaweza kukupigia simu ili a-confirm kutoka kwako, you have to clean up the mess for me.”

IRYN: “No problem na kesho mimi nitakwenda asubuhi mapema kabla yako.”

Na mimi nilimpigia simu mama J na nikampanga vizuri kabisa, nilishangaa sana kuona mama J kwa mara ya kwanza hana wasiwasi na aliitakia kazi njema. Baada ya kukata simu ilibidi nijiulize ndo huyu mama J nayemjua mimi? nilihisi huenda huko uchagani wamemfunda namna ya kuishi ma mume.

Baada ya kumalizana na wife ilibidi tuendelee kunywa pale, kwa upande mwingine alikuja dada mzungu ambaye ni Manager wa hii Hotel na akasalimiana na Iryn pale na akakaa wakawa wanaongea. (Ref EP 10)

Tulikaa pale mpaka saa 5 usiku na tulikwenda kulala na kilichoendelea pale kitandani ni siri ya kambi. Ilibidi nilale pale hotelini na Iryn maana sikuwa na jinsi na isitoshe alikuwa tayari kaniheshimisha sana kwa baba yake.

Saa 3 asubuhi tuliondoka pale hotelini na kwa upande mwingine Mzee wake alikuwa amekuja kuchukuliwa na rafiki yake ambaye ni mzungu na Iryn alikuwa anamfahamu na wakasalimiana pale. Rafiki yake Virgil alionesha kumind kwanini Iryn yuko Tanzania kwa muda mrefu na hajawahi hata kwenda kumsalimia?.

Tuliwaaga pale na mzee wake alimwambia Iryn wataonana mchana kwa maongezi zaidi na tukaondoka maeneo haya.

“Baby unakumbuka before nilikwambia sipendi kuishi Masaki na Oysterbay kwaajili ya haya, huku Mzee ana marafiki wengi na mama pia, na wananijua vizuri sana.”

“Nakumbuka sana baby.”

Baada ya kuachana pale tulikwenda moja kwa moja mpaka kwake na yeye alikuwa anataka kwenda kumsalimia mama J ili akaweke na mambo sawa. Nilimwambia atangulie na gari yake mimi nitakuja nyuma baadae, lengo wife asiingiwe na wasiwasi maana kuingia wawili pale ingeweza kufanya mama J afikirie vibaya.

MIMI: “Baby najua atakuuliza kuhusu mimi wewe utajua namna ya kuongea naye maana anajua nilikuwa bandarini.”

IRYN: “Usijali baby nitamweka sawa afu nitakujulisha uje.”

Iryn aliondoka na mimi nilisubiri kwa lisaa ndo akanitumia ujumbe kuwa kila kitu kipo sawa ndo nikaondoka kuelekea home. Ilikuwa ni saa 5 asubuhi wakati nakanyaga pale home na baada ya kuingia ndani niliwakuta wamekaa seblen wanaongea na mimi niliwasalimia pale na Iryn alinikonyeza,

IRYN: “Insider mmemaliza sangapi?”

MIMI: “Nimeacha wanashusha mzigo Mikocheni hapa nilipo nasikia usingizi nimerudi kulala mara moja.”

IRYN: “Ooh kapumzike mimi niko hapa mpaka mchana kama utakuwa umeamka utanikuta.”

MIMI: “Bibi yuko wapi?”

MAMA J: “Amelala, unywe chai kabisa before hujakwenda ndani.”

MIMI: “Mimi niko full usijali”

Niliwaacha pale seblen wakiongea na mimi niliingia chumbani ili nilale lakini sikuwa hata na usingizi, haikuchukua muda wife alikuja chumbani na tukaanza kuongea pale,

WIFE: “Baba J nenda kakae na mgeni wako seblen, sio vizuri.”

MIMI: “Sio mgeni wangu ni wako, hajanambia kama anakuja nyumbani, so amekuja kwaajili yako.”

WIFE: “Umenunua gari mpya.?”

MIMI: “Ndio ila usianze kuropoka, yule dada niliyekuwa nimempa gari yangu ajifunzie ameiharibu so amenipa pesa ninunue mpya.”

WIFE: “Nzuri, itabidi unifundishe na mimi kuendesha.”

MIMI: “Anza kwenda Driving school mengine nitakusaidia.”

WIFE: “Sawa mimi nakwenda kupika.”

Baada ya wife kutoka haikuchukua muda Iryn alinitumia text anaondoka kwenda kuonana na Mzee wake kule Masaki ili wakatembelee nyumba yao iliyokuwa inahitaji kufanyiwa ukarabati, pia alisema kuna kiwanja wanakwenda kukiangalia hukohuko Masaki na badae watakwenda kumsalimia mama Janeth. (REF EP.41)

Muda huu pia Mary alipiga simu na nikaipokea pale na ilibidi kwanza nimwombe msamaha kwa kumdanganya na ilibidi nimpe sababu za uongo pale, japo hakuonesha kumind ila alinielewa na akanambia yeye anasafiri kwenda Kenya akirudi atanicheki ili tuonane.

Hii siku nilishinda pale home naikagua gari na jioni niliondoka kwenda Mbezi shule kuonana na fundi wangu ili aikague gari kwa mashine na baada ya ukaguzi alinambia ipo vizuri hakuna uhuni wowote, chuma iko sawa.

Asubuhi nilimka mapema kwenda jogging na tulikuwa na wife tukifanya mazoezi na baada ya kurudi nilijiandaa haraka nikaenda ofisini, nilianza na Mikocheni. Baada ya kuwasili pale nilionana na Lucy, alilalamika kwa kumdanganya kumtoa out weekend na mimi ilibidi nimpe sababu za uongo pale then nikaondoka kwenda Masaki.

Baada ya kuwasili ofisini nilimkuta Rebby pale reception kwa upande wa duka ambako huwa tuna display products zetu. Rebby baada ya kuniona alinisalimia na tukaanza maongezi,

REBBY: “Manager bora nimekuona, unaona tunakaa hapa reception tunashindwa kufanya kazi, kuna gap tayari la watu wa2.”

MIMI: “Natambua hili kuhusu Asmah mimi nimeshikilia majukumu yake, suala la reception kuajiri mtu lipo chini ya mama na bado sijapata muda wa kuonana naye, nalifanyia kazi na akitoa kibali nitafanya hivyo haraka, lakini kwasasa inabidi muwe mnafanya rotation lakini Iryn yupo alisema atakuwa anakaa hapa mpaka apatikane mtu.”

REBBY: “Bossy mwenyewe kama hivi toka jana hayupo hapa.”

MIMI: “Amepata emergence ndomana hajaja hata jana tulikuwa wote.”

REBBY: “Sawa manager mzigo pia unakata huko store.”

MIMI: “Mzigo unachelewa kufika ila upo njiani kama kuna product unahitaji unasema, Mikocheni wana stock kubwa bado.”

Suala la kupata dada wa kukaa reception niliona ni la umuhimu sana na hapa nikawaza kuonana na mama Janeth, kumpigia simu niliona sio busara ukitegemea masuala ya kikazi nikona nimtumie ujumbe kwenye email kuhusu hili suala.

Niliendelea kushinda pale ofisini mpaka jioni maana nilikuwa nimekaimu na majukumu ya Asmah hivyo sikuwa na budi kushinda pale ofisini. Jioni Iryn alinipigia simu akanambia nipitie kwake navyotoka ofisini, pia nimpelekee na maziwa mtindi.

Saa 1 usiku nilitoka pale ofisini na nilipitia Namanga nikanunua mtindi nikaendelea na safari yangu ya kwenda Kawe. Baada ya kuwasili pale kwake nilipark gari na nikaingia ndani nikapeleka maziwa jikoni na nikaingia chumbani, alikuwa kalala.

MIMI: “Baby unalala afu hufungi mlango.”

IRYN: “Niliacha kwaajili yako.”

MIMI: “Umelala mapema sana, unaumwa.?”

IRYN: “Nimetoka kuoga hapa nimepumzika come close please.”

Na mimi niliishia kuvua nguo tukasex na baada ya kumaliza alinambia kesho Mzee wake anaondoka na ndege ya mchana, pia kwa asubuhi atakuja pale kwake na tutaondokea pale. Nilitumia kama masaa 2 pale kwake na nikamuaga nikaondoka kurudi home kwa mama watoto wangu.

Saa4 Asubuhi nilikuwa nimewasili tayari pale kwa Iryn na baada ya kuingia ndani niliwakuta Mzee wake pamoja na Claire, na mimi niliwasilimia na hatukukaa tukaanza safari ya kwenda JNIA.

Tulitumia lisaa mpaka tunawasili Airport Terminal 3 na baada ya kushuka kwa gari tulipiga picha ya pamoja tukiwa wanne na tukaingia ndani, Departure. Ofcourse ilikuwa ndo muda wa kucheck-in na Mzee alituaga pale na wakaishia kukumbatiana na bint yake,

“Daddy I will see you soon, I love you.”

“Nakupenda pia binti yangu, takecare.”

Mzee Virgil pia anaongea kiswahili maana aliishi Tanzania so anakijua vizuri kabisa.

Tuliachana na Mzee na sisi tuliondoka pale Airport kurudi na tulianza kumdrop Claire pale kwake na sisi tukaenda ofisini kuweka mambo sawa na baada ya nusu saa tuliondoka kwenda kwangu mbezi beach.

Baada ya kufika home tulikuta mama J na bibi hawapo na tuliambiwa wamekwenda hospital, hivyo alikuwepo Junior na dada yake wamekaa pale seblen. Iryn alimchukua Junior na akatoka naye nje akaanza kumuendesha na gari yake kwa remote, jinsi alivyokuwa anacheza naye ungesema ni mwanaye, kwa upande wa Junior muda wote alionekana kumfurahia sana mama yake mdogo.

Baada ya masaa 2 kupita hatimaye walirudi kutoka hospital na nilifanya kuulizia maendeleo ya bibi na nikaambiwa anaendelea vizuri, muda huu wife alikuwa anaongea na Iryn na mimi niliwaacha nikaenda kulala chumbani. Hii siku tulishinda na Iryn mpaka usiku ndo akaondoka na nilifanya kumpa ride mpaka kwake na wakati tuko njiani alikuwa anaichezea bunduki yangu kiasi kwamba tulivyofika kwake ilibidi tusex ndo nikarudi home.

Kwa upande mwingine wiki hii mwishoni siku ya Jumapili usiku baada ya kuachana na Iryn, alinambia atakwenda kukaa na best yake Claire Masaki maana hataki kuishi peke yake kipindi hiki, na mimi sikutaka kumuuliza maswali sana nilimwambia haina shida. Hii week nzima mpaka inaisha Iryn alikuwa anashinda sana home na mama J pamoja na Junior na ile jioni nilikuwa napitia kwake then tuna sex, ilikuwa ni ratiba tayari tumejiwekea.

Kutokana na hili suala nilijikuta nakuwa natumika sana kwa Iryn kuliko kwa wife maana hata hamu ya kusex na wife nilikuwa nakosa, muda wote nilikuwa natamani niwe nasex na Iryn. Nilianza kupoteza hisia za kusex na wife, totally nilipoteza hisia kwake lakini ukija upande wa pili wa mke mdogo Iryn yaani nilikuwa napatwa na hisia sana tukiwa kwa bed.

Japo nilikuwa napretend tukiwa wote kwa bed lakini, wife kwa upande wake alishtuka na alihisi somethin fishy kinaendelea kwangu,

WIFE: “Bae unajua now sikuelewi kabsa na toka nirudi Moshi naona mabadiliko makubwa sana kwako.”

MIMI: “Kwanini mke wangu umeona mabadiliko gani?”

WIFE: “Anyway nitafound out soon naona kuna sehemu unatumika ila kwangu kama unajilazimisha.”

MIMI: “Hapana mke wangu mimi niko sawa sema siku hazifanani, usianze kuwaza vibaya.”

Niliwaza nikaona kuna namna inabidi nifanye juu ya hili maana tatizo likija kuwa kubwa itakuja kuleta matatizo mbeleni. Nilitafakari inabidi nizi control hisia zangu kama ilivyokuwa kwa Prisca na wife hakushtuka mpaka namuacha, niliona hata kwa Iryn naweza kufanya hivi.

******
Tulikuwa tumeingia week ya mwisho ya mwezi september na kwa pale ofisini suala la reception lilikuwa bado ni shida maana hata Iryn alikuwa haji ofisini japo alisema angekua anakuja kushinda. Kwa upande wangu sikuwa na neno lolote juu yake maana yeye ni bossy na suala la kuajiri mtu lilikuwa chini ya Mama Janeth na alisema tutadiscuss mwisho wa mwezi.

Kwa upande mwingine Camilla binti ya Mzee Juma alinipigia simu na akanipa taarifa kuwa mwezi october tarehe 8 kutakuwa na hafla ya sherehe pale kwao na Mzee amemwambia anipe taarifa niende na familia yangu, na mimi nilimwambia sitakosa. Niliuzia Mzee kama amerudi na Camilla alisema atarudi siku moja kabla ya sherehe, tuliagana pale na akakata simu.

Ijumaa ya mwisho wa mwezi mzigo ulikuwa umewasili na Agent alikuwa amepiga simu mapema nikaufuate na nilikwenda na Lucy, lengo langu kubwa naye apate experince kuhusu haya mambo hata nikiwa sipo iwe rahisi kwake kucover.

Baada ya kutoka Posta tulianza kushusha box za product Masaki na Lucy aliondoka na dereva kwenda Mikocheni. Hii siku nilikuwa nimetingwa sana na baada ya kuachana na Lucy nilitoa simu yangu na nikakutana na ujumbe wa Iryn alikuwa ameutuma Whatsapp saa moja iliyopita na ilikuwa ni voice note, na ilibidi niisikilize muda huu maana ilionekana kuwa ndefu sana,

“Hi Insider pole na kazi, nakupenda sana lakini kuna jambo naomba nikuweke wazi mapema kwani nimeona sio sawa. Nakuona upo na furaha sana na familia yako na mimi sitaki kuwa chanzo cha kuiharibu familia yako na future yenu. I feel bad kuona nalala na mume wa mtu na isitoshe mama J ni best yangu, before things get worse ni bora nika step down for the sake of your family. Kwa yote tuliyofanya lets assume like nothing happened between us, nimekusubiri sana ofisini ili tuongee lakini hukurudi mapema, kuonana mimi na wewe ni ngumu kwasasa na nitakutafuta before sijaondoka. Don’t feel bad, hata mimi najisikia vibaya but this is for your family, I LOVE YOU.”

Ni taarifa ambayo ilinishtua sana na niliwaza pale huenda kuna kitu kinaendelea chini ya carpet mimi sijakifahamu maana kwa level tuliyokuwa tumefikia ingekuwa ngumu Iryn kupindua. Nilihisi Claire atakuwa mchawi wangu wala sio mtu mwingine, niliwaza pale itakuwa kamjaza ujinga Iryn ndo kachukua maamuzi haya. Pia tangu tumeanza hii week toka jumatatu tulikuwa hatujaonana zaidi ya kuwasiliana kwa simu na hakukuwa na sign yoyote mbaya kati yetu, niliwaza huyu ni Claire.

Muda ulikuwa ni saa 12 jioni tayari hivyo nikajisemea acha kwanza niandae report then nitampigia simu badae ili tuongee vizuri, nijue tatizo ni nini?.

Nilitoka kwenda kwenye gari kuchukua documents na wakati naingia ndani niliona range ya mama Janeth ikiingia na ilibidi nisimame nimsubiri ashuke, baada ya kushuka alikuja usawa wangu na tukasalimiana pale na alionesha kuwa na furaha sana,

MA’ JANETH: “Insider unaendeleaje?.”

MIMI: “Salama mama nimefurahi kukuona afu umependeza sana.”

MA’ JANETH: “Thank you lets go inside tukaongee na masuala ya ofisi, nilikuwa busy sana hapa katikati.”

MIMI: “Karibu sana mama.”

Tuliingia ndani ofisini na yeye akakaa kwenye coach tukaendelea na mazungumzo,

“Mama kama nilivyokwambia tunahitaji dada mmoja wa kukaa reception, pengo la Sumaiya halijazibwa bado mpaka sasa na Asmah mgonjwa.”

MA’ JANETH: “Asmah kesho ataanza kuja ofisini nimetoka kuongea naye sio muda mrefu sana and she is doing well.”

MIMI: “Good news aje hata akae reception.”

MA’ JANETH: “Exactly na mimi nitakuletea dada wa kukaa reception kuanzia jumatatu atareport.”

MIMI: “Sawa mama naomba afanye kureport mapema tu.”

MA’ JANETH: “Utamfanyia interview pia ili ujiridhishe.”

MIMI: “Sawa mama usiwe na wasiwasi na hili.”

MA’ JANETH: “Okay one more thing, una mahusiano gani na Iryn? be honesty with me.”

Mama Janeth alinipiga swali gumu sana ambalo hata sikujua najibuje na mimi niliona limekaa kimtego sana.

EXTRA EPISODE 4[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
duuuh!!!
 
EXTRA EPISODE-04
BY INSIDER MAN

Kuna tukio moja ambalo sikuliandika lakini ni moja ya matukio ambayo sito kuja yasahau kupitia biashara ya Uber.

Ipo hivi,

Kipindi napiga Uber nakesha bhasi nilipataga mteja ambaye nilimtoa pale Kitambaa Cheupe kwenda Kidimbwi, ofcourse ilikuwa saa 6 usiku na baada ya kumshusha jamaa pale Kidimbwi nilitafuta sehemu nzuri ya kupark gari afu nikauchapa usingizi.

Plan yangu ilikuwa saa 8 za usiku niamke ili nivizie request yenye pesa ndefu, kuanzia muda wa saa 8 usiku demand ya abiria huwa inakuwa kubwa sana, hata nauli zinakuwa juu sana. Kwa wale wachumi concept ya demand & supply mnaipata freshy, so unaweza kupata mteja wa kumpeleka Mwenge hadi 30k. Huu mchezo wa kuvizia hizi rate za nauli nimeufanya sana pale Kidimbwi mpaka Airport.

Kwa Airport ipo hivi kuna zile ndege ambazo huwa zina delay kuland sasa unakuta ilitakiwa kuwasili saa6 usiku inaingia saa 8 usiku. Muda huu hata madereva wa Tax za mle ndani wanakuwa hawapo na uber wengi kama weekend huwezi wakuta maeneo yale maana kazi ni nyingi.

Nilikuwa najuaje ratiba za ndege pale JNIA? kupitia da Tyna ndo alikuwa ananisaidia sana kunipa updates na pia kupitia flightradar24. Unakuta fly emirates limeshusha abiria afu usafiri wa shida, muda kama huu wahuni tulikuwa tunazima app afu tunavizia vichwa pale “Arrival door”.

Asilimia kubwa ya wazungu/foreigners wengi huwa wanakwenda Masaki au Posta, sasa wakitoka pale getin tunakuwa tunawauliza
“Masaki..?” utasikia “Yes…. how much?”. Actually tulikuwa tunawachaji $30 kwa Masaki na $50 kwa wanaokwenda Bahari Beach. Hii style ilinipa kuwa na marafiki wengi sana wa nje foreigners, hapo najua kingeli changu cha ukweli na uongo, then unakuwa umependeza afu mkononi umeshika iphone, lazima akuheshimu. (Nimeshawapa CODE ya kupiga hela tayari kwa pale Airport)

Tuendelee, saa 8 usiku nilichukua simu yangu na ile kuwasha tu nikapata request palepale na haikuchukua muda mteja alinipigia simu na ile kupokea alinambia yuko getini nifanye haraka ili tuondoke.

Mimi nilikuwa nimepark gari kwa mbele kidogo ya gate la kuingilia Kidimbwi hivyo nikasogea mpaka pale, na nilimuona dada mzuri sana mashaalaah! ana mtako afu mpaja rangi ya chocolate kavaa kimini.

Baada ya kusogea kwa gari alifungua mlango na akaingia akakaa seat za nyuma,

“Insider eeh.”

“Yes ni mimi.”

“Ok kaka fata ramani.”

Kwa upande mwingine alikuja kaka kwa spidi sana na akawa anataka kufungua mlango wa nyuma ila ulikuwa umefungwa hivyo akaomba nishushe kioo ili aongee na yule dada, lakini dada alikuwa ananisisitiza nisifanye hivyo tuondoke na Jamaa alivyoona kimya aliamua kuondoka.

Location ilikuwa inasoma Ununio, hivyo niliendesha gari mpaka location ilikokuwa inasoma. Niliendesha gari mpaka Ununio shuleni nika kata kona kushoto ile barabara huwa inakwenda kutokea Bagamoyo Road pale “Basihaya”.

Nilipanda na ile barabara kwa mbele kidogo nikakata kona kushoto tena sasa mitaa ile ndo nilistuck na location ilikuwa inasoma mitaa ile na ilikuwa inaishia maeneo yale.

Ilibidi nigeuke ili nimwuulize dada house Namba lakini kwa upande wake alikuwa amelala, hivyo nikajaribu kumuita pale lakini wapi alikuwa hata hasikii. Nikawasha taa ya gari, Damn! paja zote zilikuwa nje afu kimini kimepanda kwa juu mambo yote yako hadharani. Nilishuka nikafungua mlango wa nyuma, nilimuamsha dada kwa kumtikisa na aliamka lakini akawa hatoi ushirikiano,

“Dada location inaonesha tumefika nitajie house namba.”

Mazingira haya kwa usiku yanakuwaga yametulia sana maana ni ushuani.

Dada alikuwa hajielewi kabisa na hakuna jibu nililopewa na akalala kabisa, aisee tako lote lilikuwa nje kiasi kwamba nikaanza kupatwa na mawazo ya ngono.

Muda huu niliwaza inawezekanaje dada apande yuko sawa afu ghafla mara hii azidiwe?, maana nilimwagia mpaka maji lakini wapi hakuamka. Nilihisi pale huenda dada alichanganyiwa dawa kwenye bia na yule jamaa maana muda ule Kidimbwi alikuwa ana beg sana waondoke wote.

Niliwaza pale nitafute lodge ili alale afu asubuhi itafahamika, kama home nimewapeleka sana hawa warembo kulala mpaka mama J akawa anamind na akanipiga marufuku. Yaani kuna mazingira ambayo nilikuwa nawabeba hawa warembo unajikuta huna jinsi naishia kuwalaza home na wengi nimewalaza Lodge.

Kuna Lodge moja ipo juujuu huku kama unakuja kutokea Bagamoyo road kuna Lodge nilimpeleka pale baada ya kuona kibao kinacho direct. Baada ya kufika pale kwa Lodge tulifunguliwa geti nilikwenda reception kuulizia room nikaambiwa ipo ya 30k.

Nilimwelekeza dada ukweli kuhusu yule dada lakini alisema tulale wote lasivyo tutafute sehemu nyingine. Wasiwasi wa dada ni kwamba aliogopa kama atajikojolea au kutapikia mashuka na mimi nilimwambia kama atafanya hivyo nitalipia gharama zote, ilibidi nimbembeleze sana nikampa 40k ndo akakubali, lakini kwa masharti niwe nakwenda kumuangalia mara kwa mara.

Nilimtoa dada kwa gari kwa kumkokota mpaka tunaingia chumbani na nilimvua viatu pale na nikamlaza kwa bed, nikamuwashia AC na mimi nikaondoka kwenda kulala kwa gari pale nje parking.

Kutokana na hili tukio ilibidi palepale niripoti kwa Uber maana ni hatari sana, Ofcourse sikulala kabisa maana kila muda nilikuwa nakwenda kumuangalia dada na nilimua kukaa pale reception palikuwa na makochi ya kukalia.

Nilipitiwa na usingizi pale kwa coach na nilikuja kushtuka asubuhi na nilikwenda kumuangalia dada na alikuwa kaamka tayari hata yeye alikuwa anashangaa kaingiaje pale?.

“Dada mambo Unaendeleaje.”

“Kaka wewe ndo umenileta hapa?”

“Yeah, mimi ni Dereva wa Uber.”

“Imekuaje nimekuja hapa?”

Ilibidi nimuelezee mkanda mzima mpaka namleta lodge,

“Kaka kuna mtu nilikuwa naye jana atakuwa aliniwekea dawa haiwezekani ninywe Savanna 2 tu afu nishindwe kujitambua, ohh my God.”

“Ni nani yule kaka?”

“Ni Ex wangu na jana alikuwa ananiforce sana tuondoke wote.”

“Na ile location ilikuwaje ukakosea?”

“Kule ni kwa rafiki yangu itabidi unipeleke kwake sahivi, mimi nakaa Tegeta Nyuki karibu na shule ya Canossa.”

Dada alinishukuru sana kwa lile jambo maana hakuamini amepona kwenye meno yangu, hata wakati tunaondoka pale reception dada alimwambia huyu kaka ana roho nzuri sana angekuwa mtu mwingine asingemuacha.

Huyu dada mpaka sasa ni rafiki yangu na tunakutana sana out za night hata home huwa anakuja ni kama ndugu. Biashara ya uber ilinipa marafiki wengi sana na wateja zangu wengi wanaendelea na madereva wangu na wengine kama foreigners huwa nawadrive kwa private car yangu.

Kazi ya Uber ni ngumu sana kama huna self control, maana pussies ni nyingi sana kama unakesha usiku bhasi utakutana nazo sana. Kuna wanawake ambao watakulazimisha ulale nao yaani ni mapichapicha mengi, kama wewe kichwa chako cha chini hakina break utawala sana na pussy nyingi ni free.

Na ubaya ukiendekeza hawa wanawake utaishia kuwabeba for free na utaanza kuona ugumu wa kazi, kama unafanya hii kazi kuwa bandidu usicheke cheke na hizi pussy maana mazoea yakizidi hutalipwa nauli na madereva wengi wa Uber ni wahanga wa hili.

Have a Good night[emoji106]
Wenye moyo huu ni wachache sana
 
Nshawahi beba abiria tokea masaki enzi za next door kwenda kinondoni. Kumfikisha kwake alitaka aliwe ili tumalizane
Hapo wanaume wengi tunaweza kumla[emoji23].Tunaona golden chance[emoji23]

Ikawaje mkuu?
 
EXTRA EPISODE-04
BY INSIDER MAN

Kuna tukio moja ambalo sikuliandika lakini ni moja ya matukio ambayo sito kuja yasahau kupitia biashara ya Uber.

Ipo hivi,

Kipindi napiga Uber nakesha bhasi nilipataga mteja ambaye nilimtoa pale Kitambaa Cheupe kwenda Kidimbwi, ofcourse ilikuwa saa 6 usiku na baada ya kumshusha jamaa pale Kidimbwi nilitafuta sehemu nzuri ya kupark gari afu nikauchapa usingizi.

Plan yangu ilikuwa saa 8 za usiku niamke ili nivizie request yenye pesa ndefu, kuanzia muda wa saa 8 usiku demand ya abiria huwa inakuwa kubwa sana, hata nauli zinakuwa juu sana. Kwa wale wachumi concept ya demand & supply mnaipata freshy, so unaweza kupata mteja wa kumpeleka Mwenge hadi 30k. Huu mchezo wa kuvizia hizi rate za nauli nimeufanya sana pale Kidimbwi mpaka Airport.

Kwa Airport ipo hivi kuna zile ndege ambazo huwa zina delay kuland sasa unakuta ilitakiwa kuwasili saa6 usiku inaingia saa 8 usiku. Muda huu hata madereva wa Tax za mle ndani wanakuwa hawapo na uber wengi kama weekend huwezi wakuta maeneo yale maana kazi ni nyingi.

Nilikuwa najuaje ratiba za ndege pale JNIA? kupitia da Tyna ndo alikuwa ananisaidia sana kunipa updates na pia kupitia flightradar24. Unakuta fly emirates limeshusha abiria afu usafiri wa shida, muda kama huu wahuni tulikuwa tunazima app afu tunavizia vichwa pale “Arrival door”.

Asilimia kubwa ya wazungu/foreigners wengi huwa wanakwenda Masaki au Posta, sasa wakitoka pale getin tunakuwa tunawauliza
“Masaki..?” utasikia “Yes…. how much?”. Actually tulikuwa tunawachaji $30 kwa Masaki na $50 kwa wanaokwenda Bahari Beach. Hii style ilinipa kuwa na marafiki wengi sana wa nje foreigners, hapo najua kingeli changu cha ukweli na uongo, then unakuwa umependeza afu mkononi umeshika iphone, lazima akuheshimu. (Nimeshawapa CODE ya kupiga hela tayari kwa pale Airport)

Tuendelee, saa 8 usiku nilichukua simu yangu na ile kuwasha tu nikapata request palepale na haikuchukua muda mteja alinipigia simu na ile kupokea alinambia yuko getini nifanye haraka ili tuondoke.

Mimi nilikuwa nimepark gari kwa mbele kidogo ya gate la kuingilia Kidimbwi hivyo nikasogea mpaka pale, na nilimuona dada mzuri sana mashaalaah! ana mtako afu mpaja rangi ya chocolate kavaa kimini.

Baada ya kusogea kwa gari alifungua mlango na akaingia akakaa seat za nyuma,

“Insider eeh.”

“Yes ni mimi.”

“Ok kaka fata ramani.”

Kwa upande mwingine alikuja kaka kwa spidi sana na akawa anataka kufungua mlango wa nyuma ila ulikuwa umefungwa hivyo akaomba nishushe kioo ili aongee na yule dada, lakini dada alikuwa ananisisitiza nisifanye hivyo tuondoke na Jamaa alivyoona kimya aliamua kuondoka.

Location ilikuwa inasoma Ununio, hivyo niliendesha gari mpaka location ilikokuwa inasoma. Niliendesha gari mpaka Ununio shuleni nika kata kona kushoto ile barabara huwa inakwenda kutokea Bagamoyo Road pale “Basihaya”.

Nilipanda na ile barabara kwa mbele kidogo nikakata kona kushoto tena sasa mitaa ile ndo nilistuck na location ilikuwa inasoma mitaa ile na ilikuwa inaishia maeneo yale.

Ilibidi nigeuke ili nimwuulize dada house Namba lakini kwa upande wake alikuwa amelala, hivyo nikajaribu kumuita pale lakini wapi alikuwa hata hasikii. Nikawasha taa ya gari, Damn! paja zote zilikuwa nje afu kimini kimepanda kwa juu mambo yote yako hadharani. Nilishuka nikafungua mlango wa nyuma, nilimuamsha dada kwa kumtikisa na aliamka lakini akawa hatoi ushirikiano,

“Dada location inaonesha tumefika nitajie house namba.”

Mazingira haya kwa usiku yanakuwaga yametulia sana maana ni ushuani.

Dada alikuwa hajielewi kabisa na hakuna jibu nililopewa na akalala kabisa, aisee tako lote lilikuwa nje kiasi kwamba nikaanza kupatwa na mawazo ya ngono.

Muda huu niliwaza inawezekanaje dada apande yuko sawa afu ghafla mara hii azidiwe?, maana nilimwagia mpaka maji lakini wapi hakuamka. Nilihisi pale huenda dada alichanganyiwa dawa kwenye bia na yule jamaa maana muda ule Kidimbwi alikuwa ana beg sana waondoke wote.

Niliwaza pale nitafute lodge ili alale afu asubuhi itafahamika, kama home nimewapeleka sana hawa warembo kulala mpaka mama J akawa anamind na akanipiga marufuku. Yaani kuna mazingira ambayo nilikuwa nawabeba hawa warembo unajikuta huna jinsi naishia kuwalaza home na wengi nimewalaza Lodge.

Kuna Lodge moja ipo juujuu huku kama unakuja kutokea Bagamoyo road kuna Lodge nilimpeleka pale baada ya kuona kibao kinacho direct. Baada ya kufika pale kwa Lodge tulifunguliwa geti nilikwenda reception kuulizia room nikaambiwa ipo ya 30k.

Nilimwelekeza dada ukweli kuhusu yule dada lakini alisema tulale wote lasivyo tutafute sehemu nyingine. Wasiwasi wa dada ni kwamba aliogopa kama atajikojolea au kutapikia mashuka na mimi nilimwambia kama atafanya hivyo nitalipia gharama zote, ilibidi nimbembeleze sana nikampa 40k ndo akakubali, lakini kwa masharti niwe nakwenda kumuangalia mara kwa mara.

Nilimtoa dada kwa gari kwa kumkokota mpaka tunaingia chumbani na nilimvua viatu pale na nikamlaza kwa bed, nikamuwashia AC na mimi nikaondoka kwenda kulala kwa gari pale nje parking.

Kutokana na hili tukio ilibidi palepale niripoti kwa Uber maana ni hatari sana, Ofcourse sikulala kabisa maana kila muda nilikuwa nakwenda kumuangalia dada na nilimua kukaa pale reception palikuwa na makochi ya kukalia.

Nilipitiwa na usingizi pale kwa coach na nilikuja kushtuka asubuhi na nilikwenda kumuangalia dada na alikuwa kaamka tayari hata yeye alikuwa anashangaa kaingiaje pale?.

“Dada mambo Unaendeleaje.”

“Kaka wewe ndo umenileta hapa?”

“Yeah, mimi ni Dereva wa Uber.”

“Imekuaje nimekuja hapa?”

Ilibidi nimuelezee mkanda mzima mpaka namleta lodge,

“Kaka kuna mtu nilikuwa naye jana atakuwa aliniwekea dawa haiwezekani ninywe Savanna 2 tu afu nishindwe kujitambua, ohh my God.”

“Ni nani yule kaka?”

“Ni Ex wangu na jana alikuwa ananiforce sana tuondoke wote.”

“Na ile location ilikuwaje ukakosea?”

“Kule ni kwa rafiki yangu itabidi unipeleke kwake sahivi, mimi nakaa Tegeta Nyuki karibu na shule ya Canossa.”

Dada alinishukuru sana kwa lile jambo maana hakuamini amepona kwenye meno yangu, hata wakati tunaondoka pale reception dada alimwambia huyu kaka ana roho nzuri sana angekuwa mtu mwingine asingemuacha.

Huyu dada mpaka sasa ni rafiki yangu na tunakutana sana out za night hata home huwa anakuja ni kama ndugu. Biashara ya uber ilinipa marafiki wengi sana na wateja zangu wengi wanaendelea na madereva wangu na wengine kama foreigners huwa nawadrive kwa private car yangu.

Kazi ya Uber ni ngumu sana kama huna self control, maana pussies ni nyingi sana kama unakesha usiku bhasi utakutana nazo sana. Kuna wanawake ambao watakulazimisha ulale nao yaani ni mapichapicha mengi, kama wewe kichwa chako cha chini hakina break utawala sana na pussy nyingi ni free.

Na ubaya ukiendekeza hawa wanawake utaishia kuwabeba for free na utaanza kuona ugumu wa kazi, kama unafanya hii kazi kuwa bandidu usicheke cheke na hizi pussy maana mazoea yakizidi hutalipwa nauli na madereva wengi wa Uber ni wahanga wa hili.

Have a Good night[emoji106]
Asante
 
EXTRA EPISODE-04
BY INSIDER MAN

Kuna tukio moja ambalo sikuliandika lakini ni moja ya matukio ambayo sito kuja yasahau kupitia biashara ya Uber.

Ipo hivi,

Kipindi napiga Uber nakesha bhasi nilipataga mteja ambaye nilimtoa pale Kitambaa Cheupe kwenda Kidimbwi, ofcourse ilikuwa saa 6 usiku na baada ya kumshusha jamaa pale Kidimbwi nilitafuta sehemu nzuri ya kupark gari afu nikauchapa usingizi.

Plan yangu ilikuwa saa 8 za usiku niamke ili nivizie request yenye pesa ndefu, kuanzia muda wa saa 8 usiku demand ya abiria huwa inakuwa kubwa sana, hata nauli zinakuwa juu sana. Kwa wale wachumi concept ya demand & supply mnaipata freshy, so unaweza kupata mteja wa kumpeleka Mwenge hadi 30k. Huu mchezo wa kuvizia hizi rate za nauli nimeufanya sana pale Kidimbwi mpaka Airport.

Kwa Airport ipo hivi kuna zile ndege ambazo huwa zina delay kuland sasa unakuta ilitakiwa kuwasili saa6 usiku inaingia saa 8 usiku. Muda huu hata madereva wa Tax za mle ndani wanakuwa hawapo na uber wengi kama weekend huwezi wakuta maeneo yale maana kazi ni nyingi.

Nilikuwa najuaje ratiba za ndege pale JNIA? kupitia da Tyna ndo alikuwa ananisaidia sana kunipa updates na pia kupitia flightradar24. Unakuta fly emirates limeshusha abiria afu usafiri wa shida, muda kama huu wahuni tulikuwa tunazima app afu tunavizia vichwa pale “Arrival door”.

Asilimia kubwa ya wazungu/foreigners wengi huwa wanakwenda Masaki au Posta, sasa wakitoka pale getin tunakuwa tunawauliza
“Masaki..?” utasikia “Yes…. how much?”. Actually tulikuwa tunawachaji $30 kwa Masaki na $50 kwa wanaokwenda Bahari Beach. Hii style ilinipa kuwa na marafiki wengi sana wa nje foreigners, hapo najua kingeli changu cha ukweli na uongo, then unakuwa umependeza afu mkononi umeshika iphone, lazima akuheshimu. (Nimeshawapa CODE ya kupiga hela tayari kwa pale Airport)

Tuendelee, saa 8 usiku nilichukua simu yangu na ile kuwasha tu nikapata request palepale na haikuchukua muda mteja alinipigia simu na ile kupokea alinambia yuko getini nifanye haraka ili tuondoke.

Mimi nilikuwa nimepark gari kwa mbele kidogo ya gate la kuingilia Kidimbwi hivyo nikasogea mpaka pale, na nilimuona dada mzuri sana mashaalaah! ana mtako afu mpaja rangi ya chocolate kavaa kimini.

Baada ya kusogea kwa gari alifungua mlango na akaingia akakaa seat za nyuma,

“Insider eeh.”

“Yes ni mimi.”

“Ok kaka fata ramani.”

Kwa upande mwingine alikuja kaka kwa spidi sana na akawa anataka kufungua mlango wa nyuma ila ulikuwa umefungwa hivyo akaomba nishushe kioo ili aongee na yule dada, lakini dada alikuwa ananisisitiza nisifanye hivyo tuondoke na Jamaa alivyoona kimya aliamua kuondoka.

Location ilikuwa inasoma Ununio, hivyo niliendesha gari mpaka location ilikokuwa inasoma. Niliendesha gari mpaka Ununio shuleni nika kata kona kushoto ile barabara huwa inakwenda kutokea Bagamoyo Road pale “Basihaya”.

Nilipanda na ile barabara kwa mbele kidogo nikakata kona kushoto tena sasa mitaa ile ndo nilistuck na location ilikuwa inasoma mitaa ile na ilikuwa inaishia maeneo yale.

Ilibidi nigeuke ili nimwuulize dada house Namba lakini kwa upande wake alikuwa amelala, hivyo nikajaribu kumuita pale lakini wapi alikuwa hata hasikii. Nikawasha taa ya gari, Damn! paja zote zilikuwa nje afu kimini kimepanda kwa juu mambo yote yako hadharani. Nilishuka nikafungua mlango wa nyuma, nilimuamsha dada kwa kumtikisa na aliamka lakini akawa hatoi ushirikiano,

“Dada location inaonesha tumefika nitajie house namba.”

Mazingira haya kwa usiku yanakuwaga yametulia sana maana ni ushuani.

Dada alikuwa hajielewi kabisa na hakuna jibu nililopewa na akalala kabisa, aisee tako lote lilikuwa nje kiasi kwamba nikaanza kupatwa na mawazo ya ngono.

Muda huu niliwaza inawezekanaje dada apande yuko sawa afu ghafla mara hii azidiwe?, maana nilimwagia mpaka maji lakini wapi hakuamka. Nilihisi pale huenda dada alichanganyiwa dawa kwenye bia na yule jamaa maana muda ule Kidimbwi alikuwa ana beg sana waondoke wote.

Niliwaza pale nitafute lodge ili alale afu asubuhi itafahamika, kama home nimewapeleka sana hawa warembo kulala mpaka mama J akawa anamind na akanipiga marufuku. Yaani kuna mazingira ambayo nilikuwa nawabeba hawa warembo unajikuta huna jinsi naishia kuwalaza home na wengi nimewalaza Lodge.

Kuna Lodge moja ipo juujuu huku kama unakuja kutokea Bagamoyo road kuna Lodge nilimpeleka pale baada ya kuona kibao kinacho direct. Baada ya kufika pale kwa Lodge tulifunguliwa geti nilikwenda reception kuulizia room nikaambiwa ipo ya 30k.

Nilimwelekeza dada ukweli kuhusu yule dada lakini alisema tulale wote lasivyo tutafute sehemu nyingine. Wasiwasi wa dada ni kwamba aliogopa kama atajikojolea au kutapikia mashuka na mimi nilimwambia kama atafanya hivyo nitalipia gharama zote, ilibidi nimbembeleze sana nikampa 40k ndo akakubali, lakini kwa masharti niwe nakwenda kumuangalia mara kwa mara.

Nilimtoa dada kwa gari kwa kumkokota mpaka tunaingia chumbani na nilimvua viatu pale na nikamlaza kwa bed, nikamuwashia AC na mimi nikaondoka kwenda kulala kwa gari pale nje parking.

Kutokana na hili tukio ilibidi palepale niripoti kwa Uber maana ni hatari sana, Ofcourse sikulala kabisa maana kila muda nilikuwa nakwenda kumuangalia dada na nilimua kukaa pale reception palikuwa na makochi ya kukalia.

Nilipitiwa na usingizi pale kwa coach na nilikuja kushtuka asubuhi na nilikwenda kumuangalia dada na alikuwa kaamka tayari hata yeye alikuwa anashangaa kaingiaje pale?.

“Dada mambo Unaendeleaje.”

“Kaka wewe ndo umenileta hapa?”

“Yeah, mimi ni Dereva wa Uber.”

“Imekuaje nimekuja hapa?”

Ilibidi nimuelezee mkanda mzima mpaka namleta lodge,

“Kaka kuna mtu nilikuwa naye jana atakuwa aliniwekea dawa haiwezekani ninywe Savanna 2 tu afu nishindwe kujitambua, ohh my God.”

“Ni nani yule kaka?”

“Ni Ex wangu na jana alikuwa ananiforce sana tuondoke wote.”

“Na ile location ilikuwaje ukakosea?”

“Kule ni kwa rafiki yangu itabidi unipeleke kwake sahivi, mimi nakaa Tegeta Nyuki karibu na shule ya Canossa.”

Dada alinishukuru sana kwa lile jambo maana hakuamini amepona kwenye meno yangu, hata wakati tunaondoka pale reception dada alimwambia huyu kaka ana roho nzuri sana angekuwa mtu mwingine asingemuacha.

Huyu dada mpaka sasa ni rafiki yangu na tunakutana sana out za night hata home huwa anakuja ni kama ndugu. Biashara ya uber ilinipa marafiki wengi sana na wateja zangu wengi wanaendelea na madereva wangu na wengine kama foreigners huwa nawadrive kwa private car yangu.

Kazi ya Uber ni ngumu sana kama huna self control, maana pussies ni nyingi sana kama unakesha usiku bhasi utakutana nazo sana. Kuna wanawake ambao watakulazimisha ulale nao yaani ni mapichapicha mengi, kama wewe kichwa chako cha chini hakina break utawala sana na pussy nyingi ni free.

Na ubaya ukiendekeza hawa wanawake utaishia kuwabeba for free na utaanza kuona ugumu wa kazi, kama unafanya hii kazi kuwa bandidu usicheke cheke na hizi pussy maana mazoea yakizidi hutalipwa nauli na madereva wengi wa Uber ni wahanga wa hili.

Have a Good night[emoji106]
INSIDER, lete Episode nyingine. Kila wakati tunachungulia kwneye huu uzi kujua kama kuna jipya.
 
dem sengerema sana hili we unaliwa kando unataka kuwa kina sijampenda shes cheap whore af still anataka kwenda kwako kusalimia bla bla nawewe insaida njaa zitakuua mtoto wa kiume mpk unasahau familia sasa ngoja mke akuache uone venye utaokota makopo sipendi mianaume ya bei rahisi isio na msimamo inanunulika na kupelekeshwa mazafanta na hii fiction siendelei tena kusoma
Utakuwa ni dada yake mama J
 
Back
Top Bottom