Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ndugu INSIDER MAN Mimi mwanao wa faida naomba napasie hiyo pisi ya kitanga Asma nizeeke nayo, Kwa sifa ulizozitaja kwake huyo ni mambo yangu kabisa umepita mule mule, utanikatili kama hukunipasia hiyo pisi I swear. Fanya mambo nimikiki pisi ya kitanga Mimi japo sio muajemi wa kukupa maokoto lkn unaweza kuwa Na rafiki wa faida
 
Nilishasema hapa bwana INSIDER MAN

Mwaga hizo episode zote halafu potea isahau hii sredi .

Watu walianza tukanana humu hata sura hawajuani.

This time wanaanza chimba familia Yako wakihoji uhalali wa mkeo this is not right!!!.

Malizia hizo episodes upumzike na Hawa wajuaji wapumzike.
[emoji16][emoji16][emoji16]people watu wa humu usiombe wapate vi details vyako utajuta
 
Nilishasema hapa bwana INSIDER MAN

Mwaga hizo episode zote halafu potea isahau hii sredi .

Watu walianza tukanana humu hata sura hawajuani.

This time wanaanza chimba familia Yako wakihoji uhalali wa mkeo this is not right!!!.

Malizia hizo episodes upumzike na Hawa wajuaji wapumzike.
Tatizo ni kwamba hata yeye mwenyewe (fanani) uzi umemnogea! Fanani haamini kilichotokea,response ya hadhira imekuwa kubwa tofauti na mategemeo yake! Nampa big up sana kwa hilo,story tamu
 
Back
Top Bottom