Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Pale ambapo mwanamke na mwanamme, wenye sifa za kufunga ndoa, wameishi pamoja kwa miaka isiyopungua miiwili kwa namna ambayo inawatambulisha kama mke na mme watachukuliwa kama wanandoa hadi pale itakapothibitika vinginevyo.

Je mwanamke na mwanaume walioishi pamoja kwa kipindi fulani bila kufunga ndoa wanaweza kuhesabika kuwa wanandoa?

[emoji3578][emoji736]Sheria inatambua dhana ya kuwepo kwa ndoa kati ya mwanamke na mwanaume walioishi pamoja bila kufunga ndoa iwapo mambo yafuatayo yatatimizwa:
• [emoji127] Iwapo watu hao wawili wameishi kwa zaidi ya miaka miwili mfululizo pamoja.

• [emoji127]Majirani wanaowazunguka wanawachukulia kuwa ni mke na mume.

• [emoji127]Hakuna ndoa inayoendelea kutokana na maisha yao ya awali.

• [emoji127]Wametimiza umri unaokubalika kisheria wa kuoa au kuolewa (umri wa18 au zaidi).

[emoji3578][emoji736]Iwapo mambo hayo manne yametimizwa, mahakama inaweza kuthibitisha kuwepo
kwa ndoa kati ya watu hao wawili.

#KUMBUKA
• [emoji3516][emoji736]Ni mahakama pekee yenye uwezo kisheria kuthibitisha kuwepo au kutokuwepo kwa dhana ya ndoa. kwa maana hiyo mahakama inaweza kataa kama vigezo tajwa hapo juu havijakamilika, na hii ilianzishwa kwa lengo la kumlinda mwanamke na watoto ili asionewe na akaachwa patupu. lakini kumbuka pia mahakama ikitangaza dhania ya ndoa haiwezi toa talaka lakini itatoa hukumu juu ya malezi ya watoto na mgawanyo wa mali ambazo mahawala hao walichuma pamoja kipindi wanaishi pamoja. lakini ni muhimu mlalamikaji akaleta ushahidi kudhibitisha dhana hiyo ya ndoa

• [emoji3516][emoji736]Ni vigumu kuthibitisha kuwepo kwa dhana ya ndoa iwapo mmoja wa wanandoa amefariki dunia. Wanandoa wanaoishi bila ndoa wanashauriwa kuhalalisha ndoa yao ili kuwa katika mazingira mazuri ya kudai haki hasa pale mmoja wa wanandoa anapofariki. utaratibu wa kuhalalisha ndoa nimewahi kuelezea kipindi cha nyuma, Haya na kulingana na Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 kifungu Cha 160.


Kwa upande wangu Insider hapo siwezi kuchomoa sababu

1. Nimelipa mahari mpaka pete nilimvalisha
2. Tunaishi pamoja mwaka wa tatu huu.
3. Tuna mtoto mmoja wa miaka 2
4. Wazazi wana mtambua mama J mpaka kwenye kutoa mahari walikuwepo.
5. Wazazi wake wananitambua mimi kama mkwe
6. Marafiki, ndugu zangu wa karibu wanamtambua kama mke.
7. Tunashare maendeleo kama biashara tunatumia jina la kampuni as Directors, bado magari nimeandika jina lake.

Hapa nakataaje sio mke wangu???
Upo vizuri kisheria MChumi wetu[emoji28]
 
Presumption of marriage inaweza kuwa rebutted simply Kwa one spouse ku prove yeye na mwenza wake hawajawahi kupitia utaratibu wowote wa kisheria wa kufunga ndoa Kwa mjibu wa LMA. The question is, kati ya hayo uliyotaja kipo hata kimoja kinachothibitisha kuwa utaratibu wa kufungwa Kwa any kind of marriage under LMA umefatwa. Mind you kutoa mahali siyo moja ya vitu vinavyo prove kuwepo Kwa ndoa!
Kutoa mahari ni kufunga NDOA YA KIMILA. hadi hapo mila na desturi zimefuatwa.
 
Kugawana mali haimanishi walikuwa wanandoa. Mali zinaweza gawanywa under two circumstances.
1. Baada ya oda ya separation or divorce.
2. Pale ambapo Kuna presumption of marriage and imekuwa rebutted. Parties watakuwa entitled to all reliefs available Kwa parties kwenye ndoa iliyotenganishwa au kuvunjwa, including mgawanyo wa mali na custody of children, Hali pekee watakosa ni haki ya talaka na kutenganishwa, Kwa sababu hizi ni Kwa watu ambao wamefunga ndoa Kwa mjibu wa shera.
1. Una separate vipi kama HAKUNA ndoa?

2. Una DIVORCE kitu gani pasi na Ndoa?
 
Nmependa jinsi mama j anavyokusikiliza na kukutiii
Ni mwanamke asiye na makelele na anapenda maelewano na anajali zaidi amani yenu wote wawili kuliko red flags anazoziona kwako.
Sasa usichukulie poa utulivu wake kwa kumpiga matukio.
Hii ni moja ya sifa za mke mwema, wake kama Mama J wamebaki wachache kwa nyakati hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishasema hapa bwana INSIDER MAN

Mwaga hizo episode zote halafu potea isahau hii sredi .

Watu walianza tukanana humu hata sura hawajuani.

This time wanaanza chimba familia Yako wakihoji uhalali wa mkeo this is not right!!!.

Malizia hizo episodes upumzike na Hawa wajuaji wapumzike.
Iryn nimekuja sasa naona mnaniita huku na kunitafuta. Nimekuja mwenyewe sasa.
 
@INSIDER MAN respond kwa huyu ana mzigo wako, ameguswa na fundisho kupitia story ya maisha yako japo kwa ufupi, so anataka akupe japo shukrani yake. Binafsi nimependa sanaaa sio mijitu inakuja kuomba hela sijui picha ya Iryn
Watu wanaomba hela 😳 😳
 
Mimi navyoona mwisho wa story ni kwamba 1. Unaendelea na masters yako
2. Mliachana na irene mlibaki kua mshkaji na irene anaondoka zake kwenda kusoma wewe na mama J mnamipango ya kubariki ndoa mwakani.
3. Mzee amekupa deal lingine baada ya Irene kukuachisha kazi.
Hajaachana na mimi, ila mimi ndio nilimuacha huyo dereva wa uber
 
"Ila Sumaiya bhana hivi wewe na Iryn kwanini hampatanagi?"

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii statement sijui kwanini nimecheka hata 🤣🤭!!

Naendelea kusoma 🙇
Sina ugomvi na sumaiya kwanza maskini tu yule.
 
Back
Top Bottom