Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Haya maisha bwana, kuna miaka kadhaa nyuma nilikuwa ninaweza kusahau hata Tsh 60,000 kwenye suruali chafu, ila siku hizi sasa, sikumbuki ni siku gani nilisahau hata buku kwenye nguo ya kuvaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Elimu gani, we kiazi bado upo na mm? hujui kudharauliwa?

Hapo ulipo AIBU ZIMEKUJAA INSIDER MAN hiki kichwa ni Smart sana toka muda huwa nawaona mnatafuta sehemu ya kumnanga lakini mnaambulia AIBU.

Huna exposure ya maisha bado kuendelea ku argue na mjinga kama wewe napoteza muda tu.

Mkiendelea kuleta ufedhuli wenu nitakuwa nawagonga SPANA.
 
Haya maisha bwana, kuna miaka kadhaa nyuma nilikuwa ninaweza kusahau hata Tsh 60,000 kwenye suruali chafu, ila siku hizi sasa, sikumbuki ni siku gani nilisahau hata buku kwenye nguo ya kuvaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ukiwa na hela hizi buku 5 kama una mke atakuwa anakutana nazo kama kamisheni[emoji23][emoji23], fulia sasa hata 100 kwa konda unadai dadeki
 
Nii adjeee mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…