Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


KUMUWEKA MTOTO MBALI NA FAMILIA PIA NI JAMBO BAYA SANA. anaweza hold on kumueleza ukwelI Mama Jr kwa sasa hilo nakubaliana bnalo 100% ila angalau familia wajue kuwa kuna damu yao.
 
Best ushauri from mwanamke wa kichaga INSIDER MAN Pita hapa kuna kitu
 
Good advice kama mtoto keshazaliwa na no way mama j asije kujua Cha kufanya ni Bora Insider akamueleza yeye mwenyewe kwamba ana mtoto na bi dada Iryn na anataka kumfanya kuwa mke mdogo najua mwanzo ata mind lakini atatulia .
Unajua wakati mwingine tunafanya mambo kuwa magumu bure.
 
KUMUWEKA MTOTO MBALI NA FAMILIA PIA NI JAMBO BAYA SANA. anaweza hold on kumueleza ukwelI Mama Jr kwa sasa hilo nakubaliana bnalo 100% ila angalau familia wajue kuwa kuna damu yao.

Nakuelewa Mkuu, kumbuka akishaliweka wazi jambo la mtoto kwao litapokelewaje na litaishia wapi, ndio maana nashauri akamilishe kwanza zoezi la kubariki ndoa hayo mengine yatafuata baadae.

Mama Jr machale yalishamcheza, anaweza kuvumilia mtoto Kwa mwanamke mwingine lakini sio Iryn, itamtafuna sana akiwaza jinsi mambo yalivyokua yanaenda. Itakua ngumu sana kwake kuamini kwamba safari za awali Zanzibar hapakua na mahusiano. Kila mara jamaa alipochelewa kurudi nyumbani atandindoshewa jumba Bovu Iryn.

Hata Iryn alivyokua anaenda nyumbani kuwasalimia Junior na Mama yake itaonekana alikua anawakebehi tu.
Hasira zake usipime, weka mbali kabisa.
 
Sasa si bora tu ajue ukweli ili mwenyewe aamue kuendelea kuishi na Baba J yaani kuhalalisha ndoa ama kusitisha process za ndoa? Sema duh hili.jambo sio jepesi eti ujue!!!!! Nawaza tu kwa akili zangu hizi mi ningesepa aisee 😁😁😁😁 na mama J naona ndio walewale aisee unakumbuka Issue ya Prisca alirudi home???
 
Yani kwa namna yoyote mama J lazima aje kufanya jambo.....tujijuavyo wanawake
 
KUMUWEKA MTOTO MBALI NA FAMILIA PIA NI JAMBO BAYA SANA. anaweza hold on kumueleza ukwelI Mama Jr kwa sasa hilo nakubaliana bnalo 100% ila angalau familia wajue kuwa kuna damu yao.
Kama kaamua kuwa na wake 2 ni Bora aijulishe familia na mama J mapema ili kumuweka huru kuliko kukaa kimya then akajua hiyo siri baadae
 

Kama ni hivyo asitishe jambo la kubariki ndoa, aweke wazi hili la mtoto na msimamo wake na Iryn baada ya vumbi kutulia ndio itaamuliwa kama ndoa itakua ya wake wawili, Mke mmoja ( Iryn au Mama J).

Nimeshauri suala la mtoto liwekwe kando kwanza Kwa sababu halina madhara makubwa Kwa Sasa. Kutojulikana kwake hakufanyi mtoto akose matunzo, hakufanyi Iryn alalamike Wala hakuna shida yoyote Kwa Mama J na haiathiri utensaji kazi wa insider.

Nakuhakikishia kujulikana Kwa hili jambo Sasa hivi sakata linaweza kuchukua sura mpya Kila kitu kikavurugika.

Watu8 tia neno Mkuu.

Sie tunataka tule ubwabwa Harusi ya kapteni mwenzetu. Umekwepa mishale mingi tupe uzoefu kidogo
 
Mimi bora mtu aniambie mapema tu kuliko kunificha. Toka niujue ukweli kwamba ni asilimia moja tu ya wanaume ambao hawachepuki nimeshakubaliana na ukweli kwamba hakuna mwanaume wa peke yako. Ukianza sijui ohh naachana naye labda ubaki single maisha, ila kwa hawa wanaume wa kibongo sidhani kama utampata ambaye sio mchepukaji.
 
Hiyo Haina ubishi. Ni suala la timing tu
Tena timing za ke zinakua timing zilizoenda shule......kama ni story ya kweli I feel sorry for Insider maana hadhira tumeburudika ila fanani yuko kwenye mgogoro wa nafsi
 
Shida hata ukibaki inakua kama aliyeng'atwa na nyoka....akiona ung'ong'o lazima ashtuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…