ni njaa na umasikini hajitambui na yuko cheap he has price hapo atokeee mtoto wa mama janet kumpenda na ampe ela zaidi au kama irene atatoka nae hana tofauti na kujiuza he is a valueless man hana pride mwili wake na hisia zake ziko sokoniInaonekana Love yako ni kubwa kwa Iryn kuliko kwa Mama J..angalia namna ya kurekebisha hilo...
Kwani kinachokuuma wewe nini??au wewe ndiye ulipigwa chini na sterling INSIDER MAN??😀ni njaa na umasikini hajitambui na yuko cheap he has price hapo atokeee mtoto wa mama janet kumpenda na ampe ela zaidi au kama irene atatoka nae hana tofauti na kujiuza he is a valueless man hana pride mwili wake na hisia zake ziko sokoni
NDio ni mimiKwani kinachokuuma wewe nini??au wewe ndiye ulipigwa chini na sterling INSIDER MAN??😀
Makasiriko pro max.......!ni njaa na umasikini hajitambui na yuko cheap he has price hapo atokeee mtoto wa mama janet kumpenda na ampe ela zaidi au kama irene atatoka nae hana tofauti na kujiuza he is a valueless man hana pride mwili wake na hisia zake ziko sokoni
Yuko ukonga kivule na ni jirani YANGU.
Haya anayoandika HAPA kuna muda nikimuona naishia kujisonya na kumsonya ni vile tu sitaki kumuambia.
HUYU anaemuita iyrin kuna sehemu namuona nae na picha nimempiga bila kujua,,,akisema suu naituma HAPA.
Kuhusu Mama j ni mtu anaeniheshimu na rafiki wa mke wangu na picha zake ninazo na akisema suu nazituma.
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Kwa Nini humuoi mama J?nusura Iyrne akubebe chezeyaMtuombee sana wanaume, tunapitia mengi sana.
Roho ya koroshoni njaa na umasikini hajitambui na yuko cheap he has price hapo atokeee mtoto wa mama janet kumpenda na ampe ela zaidi au kama irene atatoka nae hana tofauti na kujiuza he is a valueless man hana pride mwili wake na hisia zake ziko sokoni
Ni wivu tu anatamani angekuwa yeyeRoho ya korosho
acha kupenda mteremko utafikwaRoho ya korosho
Umetisha mkuu👏👏Mwisho Imekua ghafla sana 😂!
Hakuna kitu kitamu kama papuchi! Uikute kwa manzi msafi, mzuri na anayejitambua! Utaichakata mpaka utake kufia hapo! Wanaume hapo Mungu alituweza! Tulitokea kwenye papuchi tukaingia duniani na tunatumia maisha yetu yote kutaka kurudi tulikotokea kukiwa wima badala ya kutanguliza kichwa chenye nywele tunatanguliza kichwa cha mkuyenge!Dah maoni yamekuwa mengi itabid huu Uzi uchapishwe kwenye jarida maarufu la Bongo magazine na Kisha kupelkwa marekani kuchapishwa kwenye magazine ya Washington Post
Sawa Mr insider man mzee wa papuchi
Shukrani sana Yaani.sasa.tumejua vijiwe vingi sana kutoka kwako.Na Tunashukuru Sana kwa kuwa na moyo mzuri wa kutenga muda wako adimu na kutusimulia.mengi.Wengi tumejifunza tumeburudika na hasa somo kwa.no body knows tomorrow.Kikubwa kutokata tamaa na kutokuwa na tamaa.Watu wengi hawajui.Kilichomsaidia Sana Insider no ule moyo wake wa kutokuwa na tamaa ila tamaa baada ya kuikataa ikaanza kumfuata yeye Yaani Hawa watu wenye pesa we onyesha tu uaminifu kwao basi umeula.Ridhika tamaa weka nyumaKaribuni Dinner ndugu zangu[emoji1544]
Weekend huwa natoka na mama J wangu tuna enjoy kama hivi.
View attachment 2811866
Kumbeee umezima Pm sawa Ila umefanya jambo jema si unajua wabongo wangesumbua Sana kutaka kuona pic ya IreneKaribuni Dinner ndugu zangu[emoji1544]
Weekend huwa natoka na mama J wangu tuna enjoy kama hivi.
View attachment 2811866
Asante sana. Unamaoni yoyote kuhusu ChahwaNzugu Yes, Chamwino Yes, Ntyuka sipapend, ila kwa kuanzia nzuguni, ihumwa, mtumba huko ni pazuri sanaa maana ndio ulipo mji wa Serikal na maofisi yote ya kimataifa ukiangalia ramani, nitakusaidia mtu wa ardh umcheck akusaidie, na kama uko Dodoma unaweza kufika ofcn kwake utapata control namba nadhani unaweza lipia for 90 days ila huyo anaweza pia kukusaidia kwa ushauri pia
Hahahahaa dini hairuhusu kuoa wake wawili ila nimekupa heshima ya kuwa mama mtoto wangu. Hahahhaa kampa heshima ya kumfanya Single mother wonders aisee.Shukrani sana Yaani.sasa.tumejua vijiwe vingi sana kutoka kwako.Na Tunashukuru Sana kwa kuwa na moyo mzuri wa kutenga muda wako adimu na kutusimulia.mengi.Wengi tumejifunza tumeburudika na hasa somo kwa.no body knows tomorrow.Kikubwa kutokata tamaa na kutokuwa na tamaa.Watu wengi hawajui.Kilichomsaidia Sana Insider no ule moyo wake wa kutokuwa na tamaa ila tamaa baada ya kuikataa ikaanza kumfuata yeye Yaani Hawa watu wenye pesa we onyesha tu uaminifu kwao basi umeula.Ridhika tamaa weka nyuma
nakwambia yatakukuta Kama ya insider.Kitu kingine siombei asiwe na mama J Ila Kuna kauli alikuwa anamtamkia Ryne sikuzipenda mfano 'nipp tayari niwe mkeo wa pili 'eti insider akajibu dini yangu hairuhusu wake wawili Ila kuwa.mama mtoto wangu..Jamani kauli hii si ya kiungwana hata kidogo mtu hajaoa bado hayo anayatoa wapi?Kama kuwa na mahusiano nje ni yeye na especially kwa mtu anayemtoa kwenye Hali flan ya maisha kumpeleka mahala Kuna namna angejibi.sio rude.vole japo ndo ukweli.Insider anajifanya anampenda Sana Mama J lkn Matendo yake hayasadifu anachofanya nje.Kama kumnafikia Mama J akiwa na Irene Mara kamsalimie akirudi wapo wote Yaani hufanyi hivi kwa mtu unayempenda ndo Mana hata jibu lile sikulipenda Kama umeamua umeamua Bora angesema nitangalia Cha kufanya sio eti Dini.hairuhusu so hairuhusu ivyo ila inaruhusu kucheat????
Mtu hajaoa halafu anasema dini hairuhusu? Kwa hiyo dini inaruhusu kuwa na mchepuko?Hahahahaa dini hairuhusu kuoa wake wawili ila nimekupa heshima ya kuwa mama mtoto wangu. Hahahhaa kampa heshima ya kumfanya Single mother wonders aisee.
Hakika MUNGU anamakusud na ww mkuu,, nikuombe tu usisahau kutuletea mlejesho wa mtt akizaliwa na ulimuowa kabsa lryn Kwa ndoa? Na ulifanikiwa kumtambulisha kijacho au vip,, big up insider na ujuwe tu lryn tumemla ote Kwa kuemagine hahahahahahYou know nilikuwa nam challenge jamaa na sikutaka watu wajue mwisho utakuwaje, na mmekuwa suprised. [emoji23]
Sio kwamba wengine wanakutana nao Ila hawajashare tu story zao? biashara yoyote inayohusu kukutana na Watu tofauti lazima haya yatokee Ila inategemea na wewe ulivyo na unavyohandle your issues.Mfano yule Dada wa Kenya Akothee unajua mwanzo wa mafanikio yake ni biashara ya Tax baada ya kutoka kuwa mama Ntilie na akanza kukutana na Different foreigners na Khaaaa akala bingo la mzungu akazaa Naye kwa hiyo hapa inategemea na mtu anavyochezesha karatasa haya uaminifu ndo SiriThis was very touching indeed, kuna nyakati unasoma mpaka unajiona wewe ndo muhusika. Imenikumbusha miaka ya 2007 ama 2008 nikiwa geto Sinza nacheki ki-tv cha hitachi (chogo) nikamuona mrembo kutoka UG, nikajisemea moyoni "kumbe jirani zetu nao si haba!" Nikaja kujua anaitwa Zari, sina hakika kama Diamond tayari alisha trend, baada ya hawa wawili kuwa pamoja nikesema "kweli kabisa you never know what life might be to you " maana sikuwahi kuwaza kama ipo siku hawa wa2 wangekuja kuwa pamoja. Mlango 1 ukifungwa mwingine unafunguliwa, maana tazama, mkataba wa Insider ulipo koma akaona Uber ndo suluhu kwa wakati huo. Uber ni nyingi na jamaa kakuta kuna wakongwe kwenye game, ila kwanini ikawa yeye kukutana na mrembo Iryn? Maana yake, kuna mambo ni lazima yatokee kwa kila mwanadamu kwa namna yoyote iwayo. All in all life goes on...