Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hii story inafanya niitamani kazi ya uber... Ila akili ikirudi kwenye uhalisia napotezea
 

Insider unatembelea audi Q7 nyeupe namba za usajil T…………EAX
prove me wrong
 
😂😂😂
Kwan ww huna Yule ex ambaye ni addictive?
Nina ex mmoja ile tunadate mara ya kwanza aliwah niambia siku tumeachana ndo mazima siwezagi kurudiana na mtu nkishaachana nae ... ila hadi sasa tusharudiana mara 5 na tushaachana 😂
 
H
Nina ex mmoja ile tunadate mara ya kwanza aliwah niambia siku tumeachana ndo mazima siwezagi kurudiana na mtu nkishaachana nae ... ila hadi sasa tusharudiana mara 5 na tushaachana 😂
Huyo hamtakaa muachane milele. Popote utakapomuona mtaenda chemba tu.
😂😂😂 ex wangu ninapokuwepo na yeye awepo lazima hali ya hewa ichafuke ndo mioyo itulie.
But Sisi tunafikiria kuoana ili Mambo yasiwe mengi
 
H

Huyo hamtakaa muachane milele. Popote utakapomuona mtaenda chemba tu.
😂😂😂 ex wangu ninapokuwepo na yeye awepo lazima hali ya hewa ichafuke ndo mioyo itulie.
But Sisi tunafikiria kuoana ili Mambo yasiwe mengi

Huu mjadala wenu umenikumbusha ex wangu mmoja, tuliachana na hatukuonana kama miezi 5, paaap tulikuja kukutana kkoo hakuna aliyeweza kuvunga kumchangamkia mwenzake, hapo hapo tukaanza kusaidia shopping .... kuna mda tupo duka moja nikajikuta "daah naona tunapoteza tu muda bora tungeenda zetu kupeana mambo" alinipiga jicho tukaendelea na shopping..

Tulivomaliza muda wa kuagana, ananiuliza kile kitu ulichosema mda ulitaka tukafanyie wapi, haooooooo lodge moja kwa moja
 
😂😂😂😂😇😇 kile kitu 🤣🤣
Hapo mwisho kabisa ndo hatma ya ex asiyeachika kirahisi.
My ex my temptation.
Dee wherever u are I already miss u😍
I envy your msukuma....
 
Story ilashaisha mkuu hapa anachofanya ni muendelezo baada ya maombi wadau kuipenda story wakataka kujua nini kiliendelea baada ya kumla Iryn na kumpa mimba na mengine mengi. Hivyo kuwa mpole
 
Story ilashaisha mkuu hapa anachofanya ni muendelezo baada ya maombi wadau kuipenda story wakataka kujua nini kiliendelea baada ya kumla Iryn na kumpa mimba na mengine mengi. Hivyo kuwa mpole
we una uhakika gan kama iliisha
anyway skujua kumbe iliisha na hamsem
 
😂😂😂😂😇😇 kile kitu 🤣🤣
Hapo mwisho kabisa ndo hatma ya ex asiyeachika kirahisi.
My ex my temptation.
Dee wherever u are I already miss u😍
I envy your msukuma....
Ex ni hatari sana 🤣🤣
 
Haya sasa, wapembuzi na wadurusu maamuzi na mahusiano ya watu uwanja ni wenu kwa muda.
 
Kuanzia next week tutaanza kwenda mchakachaka. Ndo kwanza mambo bado huko mbele ndo balaa, tuombe uzima tu.
tuwekee hata kwa wiki mara tatu jamani maana kila siku lazima nichungulie kama umeweka mpya aisee hii arosto hatarii
 
Mkuu hongera kwa utunzi mahiri. Nimependa jinsi unavyoweza kuunganisha matukio k2a mtiririko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…