kondoomwema
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 240
- 159
Memo wa muuza madafuKwaiyo insider ni Mzee wa kugawa wastani kwa idadi....nimeipenda iyo
Ahaaaa watu tunasubiri episode mpaka Sasa hatujalala, ndo unakuja na hizo swaga....daa ujuwe weekend hii kaka..unatupa majaribu kinoma.Kesho mapema sana baada ya kutoka church tutaendelea. Ungekuwa wewe ndo Insider ungekubali kwenda Ethiopia??
ππππINSIDER MAN hii story ikiisha tunaomba uje na edition nyingine ya namna hii story ilivyokupa ma manzi wa Jf πππ
Naomba ni we mmojawapoππππ
Ila nikimaliza hii story kuna watu nitaonana nao hata tupate drinks kwa pamoja, hili na promise kuna watu nitaonana nao.
Hil Iko too technically zaidi kaka maana hii msisitizo wa nitaonana nao naona imekaa kimkakati zaidi ππ shusha hata episode 3 za chap kaka , weekend tusikae kinyongeππππ
Ila nikimaliza hii story kuna watu nitaonana nao hata tupate drinks kwa pamoja, hili na promise kuna watu nitaonana nao.
KARIBU MWANZA mkuuππππ
Ila nikimaliza hii story kuna watu nitaonana nao hata tupate drinks kwa pamoja, hili na promise kuna watu nitaonana nao.
Ambao hatuko dar inamaana tumeungua hatutakula/kunywa nawe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nikimaliza hii story kuna watu nitaonana nao hata tupate drinks kwa pamoja, hili na promise kuna watu nitaonana nao.
Ulisema wiki ijayo itakuwa bandika bandua na iwe ivo mkuu utakuwa umesuuza nyoyo zetuKesho mapema sana baada ya kutoka church tutaendelea. Ungekuwa wewe ndo Insider ungekubali kwenda Ethiopia??
Kesho mapema sana baada ya kutoka church tutaendelea. Ungekuwa wewe ndo Insider ungekubali kwenda Ethiopia
Mmeshaambiwa mtabakwa na kutapeliwa haujakoma tuu ππππππππNaomba ni we mmojawapo
Waje tubakwe wote au tutapeliwe woteMmeshaambiwa mtabakwa na kutapeliwa haujakoma tuu ππππππππ
Mimi nisikosee mkuuπ€£π€£ππππ
Ila nikimaliza hii story kuna watu nitaonana nao hata tupate drinks kwa pamoja, hili na promise kuna watu nitaonana nao.
Umepiga kwenye mshono π€£π€£π€£Acheni shobo, mtakuja kutapeliwa na kubakwa kisa hizi story za uongo humu JF.
Njoo nikutapeli mkuu sanaWaje tubakwe wote au tutapeliwe wote