Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

h
Arsenal akichukua ubingwa J2, nitapost picha nikiwa na Iryn kwa dakika 1 na nitaifuta. Otherwise tukutane kesho kwa chapter 10 ✅
apo ni kweli kjana wa mungu mana s unajua kuna wengne makenge hawaamini mpaka watoke damu
ila uwe unatupia na pcha yan kama ulkua fild yani ili upate credit za kutosha mana iman imetoweka sana uzi wa uhakika watu makenge yan haiamn
 
h

apo ni kweli kjana wa mungu mana s unajua kuna wengne makenge hawaamini mpaka watoke damu
ila uwe unatupia na pcha yan kama ulkua fild yani ili upate credit za kutosha mana iman imetoweka sana uzi wa uhakika watu makenge yan haiamn
Mpaka sasa credit anazo mbona we fatilia tu kuna wale wanafatilia kimya kimya na kuna sisi ambao tumejiweka wazi tu kufatilia na comment juu mi jamaa nimemkubali ana hadithia vizur wala sioni haja ya picha tusije kutoka nje ya reli bure uoneshwe picha ya iryn au ya hiyo audi upanic bure,, bora twende hivi hivi mkuu
 
Kiongozi leo J5 kaka
Kwani imeisha ndugu. Piga hata push ups,tembea kidogo,ama soma kitabu Fulani ,control your mind. Cheza na mwanao,mkeo,ongea na mama mzazi umwambie unampenda like muethiopia na baba mpe neno la kiume. Mwambie baba ulipambana mno mpaka nikawa mkubwa.
Do something don't let your emotions control you.
 
Ushauri murua kabisa, shukran sana Chief!
 
hahaaa emotions are scum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…