Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

😂aaah dadeq
 
You have nailed it all brother! but try to change your approach for you to get the trophy.
 
Mapenzi na umaskini haviendani, angalia mazingira ya kina Iryn, Asmah, Jane, Prisca etc. Sasa we unaenda kwa madem hata uhakika wa kula yake shida.
 
Daraja la Salander ndo kivutio pekee cha Dar es Salaam. Nakumbuka nikiwa na endesha Uber foreigners walikuwa wanaliongelea sana hili daraja, kama video walikuwa wanachukua za kutosha.

Ukitoka Coco mpaka Kivukoni utasema sio Tanzania hii barabara ilijengwa kwa viwango, na mazingira yake ni tulivu na masafi.
 
Naona nyoya la chombo ya fundi
 

Sio daraja la Salander, hilo linaitwa daraja la Tanzanite. Daraja la Salander ni lile chini kule la zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…