Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Aisee insider
Sio mchezo INSIDER MAN hapo nitakua nimepatia utabiri wa chapter 15
 
Fanya kazi, acha kukaa bila kazi ndio maana unawaza hii story ya uongo. Msaidie hata sister ako kuogesha wajomba zako na kuwafulia vidaso vyao au hata kuosha vyombo hapo kwa shemeji yako na sio kukaa bure na kuanza kusumbua watu humu JF we dogo
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mtu kaulizwa mara ya mwisho simu yako alishika nani akataja wewe iryn anaangalia jinsi ya ku spy maongezi ya asmah anaona hapati kitu duh, kweli apo moto unao mzee kama mama j umemuonea basi huyo iryn ni balaa vipi sasa kuhusu simu yako hiyo je hakuweka program ya kukufatilia?
 
Sema mwanangu ulikua na tamaa sana kwa Asmah, pisi kali nyingi mtaani za kupiga ilibidi ukaze sana maeneo yako ya kazi usiwe na mahusiano especially hapo ambako boss unatoka nae.
Ni fala sana huyu insider. Ana utoto mwingi sana, sema tu ana ngekewa kali sana. Akipunguza huu utoto wa kifala fala especially anavyo play idiotic games kwa mkewe na family life, angekua smart zaid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…